ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Sidhani. 10 years itakuwa bado sana yaani. Labda makabila yatapotea mjini. Ila vijijin bado.sana mkuu. Haswa kwa hapa tz bado
Vijijini kuna watu hawajui kiswahili kabisa walahi
Jamaa kakaa mjini sana huyo walahi