Sio kanuni ni atakavyoamkaAtakavyoamka siku hiyo hajasema kuwa atahamisha mtu kutoka kusini akagombee kaskazini. Na kanuni za chama zipo wazi kuwa majina matatu ndio yataenda kamati kuu kujadiliwa, washindi watatu wa mwanzo.
Watu hawawi wa ajabu bali wasiwasi wao unatokana na tabia ya Chama Tawala kubadili gia angani wakati wowote. Kamati ina wajumbe wachache sana inakuwa rahisi zaidi kugawa bahasha nzito hata kubadili misimamo ya Chama kama ipo. Kikao cha Kamati kinaongozwa na Mwenyekiti ambaye maamuzi yake yanategemea alivyoamka siku hiyo ielewke kuwa wahusika waliotupwa na kura za maoni ni wapendwa wake. Mwenyewe kwa kauli yake amesema na amewahi kufanya kuwa wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza ndo maana orodha yote ya wahusika wa kura za maoni inawakilishwa kwenye Kikao cha uteuzi cha Kamati. Waliotemwa na kura za maoni walikuwa na kazi za madaraka makubwa lakini kwa maagizo toka juu waliyaacha kwenda kugombea Ubunge na nafasi zao kujazwa mara mojà kukiwa na uhakika wa kupita kwenye kura za maoni lakini hata hivyo hakuna lililoharibika Mpendwa atarekabisha. CCM mpya na mapya!Watu mnakuwa wa ajabu,Magu angetaka apite angepita Kigamboni,huko kapigwa chini na kamati itampiga chini
Kma alivyofanya kwenye uchaguzi wa marudio kinondoniWatu mnakuwa wa ajabu,Magu angetaka apite angepita Kigamboni,huko kapigwa chini na kamati itampiga chini
Kosa jingine la kiufundi litakalo izamisha ccm kwenye uchaguzi mkuu, haiwezekani kamati kuu ya watu 24 tu kuwa na maamuzi ya kibabe.Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao wamezidiwa kwenye kura za maoni kwenye Majimbo yao: wengine wameachwa mbali sana na wengine wamepitwa kiasi kidogo.
Kwa mujibu wa Kanuni 'mpya' za kiuchaguzi ndani ya CCM kadiri ninavyozifahamu, makabrasha ya waliopigiwa kura za maoni yatawasilishwa Kamati Kuu kwa ajili ya uamuzi kufanyika. Kamati Kuu ndiyo itakayoamua juu ya mgombea halisi wa Jimbo lolote la kiuchaguzi kwa tiketi ya CCM.
Naamini, bado akina Dr. Mwakyembe wana imani ya kuwa wagombea. Wana imani ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya CCM itakayoketi kuamua chini ya Rais Magufuli. Kama ilivyowahi kushuhudiwa huko nyuma (kama ilivyotokea kwenye lililokuwa jimbo la NZEGA mwaka 2010 ambapo mshindi wa tatu Dr. Kingwangala ndiye aliyeteuliwa akiachwa Bashe na Selelii).
Kura za Maoni za jana na leo zinatoa tu sura na dalili za ushindi kwa wanaoongoza Majimboni. Si kura za kuhitimisha. Kamati Kuu bado yaweza kuteua kinyume na matarajio ya wengi. Kamati Kuu, hakika, inabaki kuwa tumaini pekee la washindwa wa jana na leo.
Tatizo ni kwamba safari hii uchaguzi wameamua kuufanya wazi hakuna figusu wala rushwa so far, unamkata mtu kwa kigezo gani?
Labda kama alishahukumiwa kwa kosa kubwa kisheria huko nyuma au mgombea misimamo yake ina utata na mlengo wa CCM. Nje ya hapo kukata mtu inakuwa kama ni uporaji wa maamuzi ya kidemokrasia.
Watu mnakuwa wa ajabu,Magu angetaka apite angepita Kigamboni,huko kapigwa chini na kamati itampiga chini
Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao wamezidiwa kwenye kura za maoni kwenye Majimbo yao: wengine wameachwa mbali sana na wengine wamepitwa kiasi kidogo.
Kwa mujibu wa Kanuni 'mpya' za kiuchaguzi ndani ya CCM kadiri ninavyozifahamu, makabrasha ya waliopigiwa kura za maoni yatawasilishwa Kamati Kuu kwa ajili ya uamuzi kufanyika. Kamati Kuu ndiyo itakayoamua juu ya mgombea halisi wa Jimbo lolote la kiuchaguzi kwa tiketi ya CCM.
Naamini, bado akina Dr. Mwakyembe wana imani ya kuwa wagombea. Wana imani ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya CCM itakayoketi kuamua chini ya Rais Magufuli. Kama ilivyowahi kushuhudiwa huko nyuma (kama ilivyotokea kwenye lililokuwa jimbo la NZEGA mwaka 2010 ambapo mshindi wa tatu Dr. Kingwangala ndiye aliyeteuliwa akiachwa Bashe na Selelii).
Kura za Maoni za jana na leo zinatoa tu sura na dalili za ushindi kwa wanaoongoza Majimboni. Si kura za kuhitimisha. Kamati Kuu bado yaweza kuteua kinyume na matarajio ya wengi. Kamati Kuu, hakika, inabaki kuwa tumaini pekee la washindwa wa jana na leo.
Haya hayatuhusu muhimu ni hakubaliki...full stop!
hata akimbeba ampe unaibu waziri mkuu atajua mwenyewe
Umesema poa sana kwa maoni yangu ila hilo la kulia kanisani alikuwa sawa alilia mbele ya Mungu wake si mbele ya watu.
Hivi jamaa si ana viti vyake kumi vya mfukoni, shida iko wapi?
Aiseee. Muhimu zaidi wanaoitwa wanyonge huku chini wamesha amua. Hayo ya kamati kuuu hayata badili mtazamo mpana wa jamii husika juu ya hao walio kataliwa.
Wakipitishwa na kamati kuu ni sahihi na haki wakiitwa wagombea wa viti maalumu.
Shida inatarajia ataamka vipi ? Hapo tu, vinginevyo wanaccm wa Kgamboni wameshafanya maamuzi sahihi
Wacha tuone nguvu ya demokrasia CCM.
Siyo rahisi kurudishwa mtu ambaye amepata kura 2 akaondolewa aliyepata kura 200Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao wamezidiwa kwenye kura za maoni kwenye Majimbo yao: wengine wameachwa mbali sana na wengine wamepitwa kiasi kidogo.
Kwa mujibu wa Kanuni 'mpya' za kiuchaguzi ndani ya CCM kadiri ninavyozifahamu, makabrasha ya waliopigiwa kura za maoni yatawasilishwa Kamati Kuu kwa ajili ya uamuzi kufanyika. Kamati Kuu ndiyo itakayoamua juu ya mgombea halisi wa Jimbo lolote la kiuchaguzi kwa tiketi ya CCM.
Naamini, bado akina Dr. Mwakyembe wana imani ya kuwa wagombea. Wana imani ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya CCM itakayoketi kuamua chini ya Rais Magufuli. Kama ilivyowahi kushuhudiwa huko nyuma (kama ilivyotokea kwenye lililokuwa jimbo la NZEGA mwaka 2010 ambapo mshindi wa tatu Dr. Kingwangala ndiye aliyeteuliwa akiachwa Bashe na Selelii).
Kura za Maoni za jana na leo zinatoa tu sura na dalili za ushindi kwa wanaoongoza Majimboni. Si kura za kuhitimisha. Kamati Kuu bado yaweza kuteua kinyume na matarajio ya wengi. Kamati Kuu, hakika, inabaki kuwa tumaini pekee la washindwa wa jana na leo.