Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,175
- 25,446
- Thread starter
- #21
Mkuu, wakati ule majina matatu ya kupigiwa kura yalitokea Kamati Kuu halafu yakapigiwa kura na kurejea huko. Kwasasa, wote waliotia nia wamepigiwa kura kwanza kabla ya kupelekwa Kamati Kuu kwa maamuzi. Huo ndiyo upya. Tena, wakati ule wanachama wote wa CCM jimboni walipiga kura. Kwasasa ni Kamati ya Jimbo tu ndiyo iliyopiga kura. Kanuni zimebadilika.Ndugu yangu Peter upo kwenye jukwaa hili la siasa muda mrefu kwelii wewe wakusema "KANUNI MPYA" wakati hata 2010,2015 zilikuwepo, na mifano hai ipo wakina Kigwangala.