Uchaguzi 2020 Kanuni mpya CCM: Tumaini la pekee la Makonda, Mtulia, Mtolea, Nassari, Mwakyembe na Mwanri ni Kamati Kuu ya CCM chini ya Rais Magufuli

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,193
25,504
Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao wamezidiwa kwenye kura za maoni kwenye Majimbo yao: wengine wameachwa mbali sana na wengine wamepitwa kiasi kidogo.

Kwa mujibu wa Kanuni 'mpya' za kiuchaguzi ndani ya CCM kadiri ninavyozifahamu, makabrasha ya waliopigiwa kura za maoni yatawasilishwa Kamati Kuu kwa ajili ya uamuzi kufanyika. Kamati Kuu ndiyo itakayoamua juu ya mgombea halisi wa Jimbo lolote la kiuchaguzi kwa tiketi ya CCM.

Naamini, bado akina Dr. Mwakyembe wana imani ya kuwa wagombea. Wana imani ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya CCM itakayoketi kuamua chini ya Rais Magufuli. Kama ilivyowahi kushuhudiwa huko nyuma (kama ilivyotokea kwenye lililokuwa jimbo la NZEGA mwaka 2010 ambapo mshindi wa tatu Dr. Kingwangala ndiye aliyeteuliwa akiachwa Bashe na Selelii).

Kura za Maoni za jana na leo zinatoa tu sura na dalili za ushindi kwa wanaoongoza Majimboni. Si kura za kuhitimisha. Kamati Kuu bado yaweza kuteua kinyume na matarajio ya wengi. Kamati Kuu, hakika, inabaki kuwa tumaini pekee la washindwa wa jana na leo.
 
Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao wamezidiwa kwenye kura za maoni kwenye Majimbo yao: wengine wameachwa mbali sana na wengine wamepitwa kiasi kidogo.

Kwa mujibu wa Kanuni 'mpya' za kiuchaguzi ndani ya CCM kadiri ninavyozifahamu, makabrasha ya waliopigiwa kura za maoni yatawasilishwa Kamati Kuu kwa ajili ya uamuzi kufanyika. Kamati Kuu ndiyo itakayoamua juu ya mgombea halisi wa Jimbo lolote la kiuchaguzi kwa tiketi ya CCM.

Naamini, bado akina Dr. Mwakyembe wana imani ya kuwa wagombea. Wana imani ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya CCM itakayoketi kuamua chini ya Rais Magufuli. Kama ilivyowahi kushuhudiwa huko nyuma (kama ilivyotokea kwenye lilikuwa jimbo la NZEGA mwaka 2010 ambapo mshindi wa tatu Dr. Kingwangala ndiye aliyeteuliwa akiachwa Bashe na Selelii).

Kura za Maoni za jana na leo zinatoa tu sura na dalili za ushindi kwa wanaoongoza Majimboni. Si kura za kuhitimisha. Kamati Kuu bado yaweza kuteua kinyume na matarajio ya wengi. Kamati Kuu, hakika, inabaki kuwa tumaini pekee la washindwa wa jana na leo.
Acha uongo huo
 
Tatizo ni kwamba safari hii uchaguzi wameamua kuufanya wazi hakuna figusu wala rushwa so far, unamkata mtu kwa kigezo gani?

Labda kama alishahukumiwa kwa kosa kubwa kisheria huko nyuma au mgombea misimamo yake ina utata na mlengo wa CCM. Nje ya hapo kukata mtu inakuwa kama ni uporaji wa maamuzi ya kidemokrasia.
 
Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao wamezidiwa kwenye kura za maoni kwenye Majimbo yao: wengine wameachwa mbali sana na wengine wamepitwa kiasi kidogo.

Kwa mujibu wa Kanuni 'mpya' za kiuchaguzi ndani ya CCM kadiri ninavyozifahamu, makabrasha ya waliopigiwa kura za maoni yatawasilishwa Kamati Kuu kwa ajili ya uamuzi kufanyika. Kamati Kuu ndiyo itakayoamua juu ya mgombea halisi wa Jimbo lolote la kiuchaguzi kwa tiketi ya CCM.

Naamini, bado akina Dr. Mwakyembe wana imani ya kuwa wagombea. Wana imani ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya CCM itakayoketi kuamua chini ya Rais Magufuli. Kama ilivyowahi kushuhudiwa huko nyuma (kama ilivyotokea kwenye lililokuwa jimbo la NZEGA mwaka 2010 ambapo mshindi wa tatu Dr. Kingwangala ndiye aliyeteuliwa akiachwa Bashe na Selelii).

Kura za Maoni za jana na leo zinatoa tu sura na dalili za ushindi kwa wanaoongoza Majimboni. Si kura za kuhitimisha. Kamati Kuu bado yaweza kuteua kinyume na matarajio ya wengi. Kamati Kuu, hakika, inabaki kuwa tumaini pekee la washindwa wa jana na leo.

Ama kweli "Kanuni mpya", japo sii mpya sana kivile. Ile ya kutegemea mkulu kaamkaje hiyo ndio kiboko!
 
Sasa umma wa Tanzania unafahamu kuwa watajwa hapo juu ambao walitia nia kugombea Ubunge kwenye majimbo mbalimbali hapa nchini. Katika kura za maoni zilizoendeshwa hapo jana ndani ya CCM, wote hao wamezidiwa kwenye kura za maoni kwenye Majimbo yao: wengine wameachwa mbali sana na wengine wamepitwa kiasi kidogo.

Kwa mujibu wa Kanuni 'mpya' za kiuchaguzi ndani ya CCM kadiri ninavyozifahamu, makabrasha ya waliopigiwa kura za maoni yatawasilishwa Kamati Kuu kwa ajili ya uamuzi kufanyika. Kamati Kuu ndiyo itakayoamua juu ya mgombea halisi wa Jimbo lolote la kiuchaguzi kwa tiketi ya CCM.

Naamini, bado akina Dr. Mwakyembe wana imani ya kuwa wagombea. Wana imani ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya CCM itakayoketi kuamua chini ya Rais Magufuli. Kama ilivyowahi kushuhudiwa huko nyuma (kama ilivyotokea kwenye lililokuwa jimbo la NZEGA mwaka 2010 ambapo mshindi wa tatu Dr. Kingwangala ndiye aliyeteuliwa akiachwa Bashe na Selelii).

Kura za Maoni za jana na leo zinatoa tu sura na dalili za ushindi kwa wanaoongoza Majimboni. Si kura za kuhitimisha. Kamati Kuu bado yaweza kuteua kinyume na matarajio ya wengi. Kamati Kuu, hakika, inabaki kuwa tumaini pekee la washindwa wa jana na leo.
Ndugu yangu Peter upo kwenye jukwaa hili la siasa muda mrefu kwelii wewe wakusema "KANUNI MPYA" wakati hata 2010,2015 zilikuwepo, na mifano hai ipo wakina Kigwangala.
 
Back
Top Bottom