Kanumba na uraia wa Marekani

Me370

JF-Expert Member
Mar 10, 2008
985
293
ati kanumba kuolewa na jimama !
Friday, April 4, 2008

Msanii mahiri wa filamu nchini, Steven Kanumba anatarajiwa kurejea tena nchini Marekani kwa kile kilichodaiwa kwenda `kuolewa` na jimama la Kizungu, lililomzidi umri kwa zaidi ya miaka 20.

Mbali na `kuolewa` na jimama hilo pia Kanumba amepewa sharti kubwa la kuukana uraia wa Tanzania na kuchukua ule wa Marekani, mara tu atakapokanyaga katika ardhi ya nchi hiyo.

Akizungumza na gazeti hili, rafiki wa karibu wa Kanumba aliyeomba hifadhi ya jina lake, alisema habari hizo za mcheza filamu huyo kwenda `kuolewa` na jimama ni za kweli hata kama atakanusha.

Rafiki yake huyo alisema, tangu Kanumba aende Marekani mara ya kwanza na kupata jimama hilo, alitaka asirejee kabisa nchini lakini ilibidi amuonye na kumuomba arudi kwanza kuweka mambo sawa na ndiyo aondoke kabisa.

Chanzo hicho kilizidi kutupasha kuwa, akiwa Marekani msanii huyo alikuwa anatimiziwa mahitaji yake na jimama hilo, ambalo linasemekana lina fedha nyingi na za kutosha.

1207289632_kanumbawqebs.jpg

“Jamaa alibanwa mno na jimama lake, hakuwa anapata hata muda wa kupumua kwani kila saa mwanamke wake alikuwa anahakikisha hampi nafasi ya kukutana na wasichana wa rika lake.

“Ukweli ni kwamba Kanumba hata kabla hajarudi hapa alikuwa tayari ‘kashaolewa’ na jimama lake na hana hata wiki mbili kuanzia sasa kabla hajarudi huko,” alisema mtoa habari kwetu.Ukitaka kujua zaidi kazungumza nini kuhusiana na hilo sakata lake ingia globalpublisherstz.com
 
ati kanumba kuolewa na jimama !
Friday, April 4, 2008

Msanii mahiri wa filamu nchini, Steven Kanumba anatarajiwa kurejea tena nchini Marekani kwa kile kilichodaiwa kwenda `kuolewa` na jimama la Kizungu, lililomzidi umri kwa zaidi ya miaka 20.

Mbali na `kuolewa` na jimama hilo pia Kanumba amepewa sharti kubwa la kuukana uraia wa Tanzania na kuchukua ule wa Marekani, mara tu atakapokanyaga katika ardhi ya nchi hiyo.

Akizungumza na gazeti hili, rafiki wa karibu wa Kanumba aliyeomba hifadhi ya jina lake, alisema habari hizo za mcheza filamu huyo kwenda `kuolewa` na jimama ni za kweli hata kama atakanusha.

Rafiki yake huyo alisema, tangu Kanumba aende Marekani mara ya kwanza na kupata jimama hilo, alitaka asirejee kabisa nchini lakini ilibidi amuonye na kumuomba arudi kwanza kuweka mambo sawa na ndiyo aondoke kabisa.

Chanzo hicho kilizidi kutupasha kuwa, akiwa Marekani msanii huyo alikuwa anatimiziwa mahitaji yake na jimama hilo, ambalo linasemekana lina fedha nyingi na za kutosha.

1207289632_kanumbawqebs.jpg

“Jamaa alibanwa mno na jimama lake, hakuwa anapata hata muda wa kupumua kwani kila saa mwanamke wake alikuwa anahakikisha hampi nafasi ya kukutana na wasichana wa rika lake.

“Ukweli ni kwamba Kanumba hata kabla hajarudi hapa alikuwa tayari ‘kashaolewa’ na jimama lake na hana hata wiki mbili kuanzia sasa kabla hajarudi huko,” alisema mtoa habari kwetu.Ukitaka kujua zaidi kazungumza nini kuhusiana na hilo sakata lake ingia globalpublisherstz.com
kAMNI NI KWELI POA TU MANA MI MWENYEWE NINA WASHIKAJI KIBAO WAMEOLEWA NA MIMAMA INAYOIZIDI MAMA ZAO.MWACHENI APATE MAKARATASI.
 
Mbali na `kuolewa` na jimama hilo pia Kanumba amepewa sharti kubwa la kuukana uraia wa Tanzania na kuchukua ule wa Marekani, mara tu atakapokanyaga katika ardhi ya nchi hiyo.

Ingefaa kwanza muandishi ajifamiliarize na sheria za uhamiaji Marekani
 
Age aint nothing but a number wazungu wamesema, kinacho matter ni mapenzi tu- as long as they love each other and they are happy. Sidhani kama mwandishi wa makala hii ana proof yoyote kwamba huyu dogo 'anaolewa' tu kwa ajili ya uraia wa marekani na sio mapenzi.
 
Hii lazima ilikuwa ni April Fools Day joke. Kwanza Marekani huna haja ya kukana uraia wako wa asili maana wanatambua dual citizenship.
 
poaaa tu !!!..huyu eric shigongo alitaka aolewe yeye ...maana naye kama shoga vile!!!.....ama amekosa cha kuongea ....na kuandika.

hakuna la ajabu..mapenzi hayana mipaka!!!
 
ati kanumba kuolewa na jimama !
Friday, April 4, 2008

Msanii mahiri wa filamu nchini, Steven Kanumba anatarajiwa kurejea tena nchini Marekani kwa kile kilichodaiwa kwenda `kuolewa` na jimama la Kizungu, lililomzidi umri kwa zaidi ya miaka 20.

Mbali na `kuolewa` na jimama hilo pia Kanumba amepewa sharti kubwa la kuukana uraia wa Tanzania na kuchukua ule wa Marekani, mara tu atakapokanyaga katika ardhi ya nchi hiyo.

Akizungumza na gazeti hili, rafiki wa karibu wa Kanumba aliyeomba hifadhi ya jina lake, alisema habari hizo za mcheza filamu huyo kwenda `kuolewa` na jimama ni za kweli hata kama atakanusha.

Rafiki yake huyo alisema, tangu Kanumba aende Marekani mara ya kwanza na kupata jimama hilo, alitaka asirejee kabisa nchini lakini ilibidi amuonye na kumuomba arudi kwanza kuweka mambo sawa na ndiyo aondoke kabisa.

Chanzo hicho kilizidi kutupasha kuwa, akiwa Marekani msanii huyo alikuwa anatimiziwa mahitaji yake na jimama hilo, ambalo linasemekana lina fedha nyingi na za kutosha.

1207289632_kanumbawqebs.jpg

“Jamaa alibanwa mno na jimama lake, hakuwa anapata hata muda wa kupumua kwani kila saa mwanamke wake alikuwa anahakikisha hampi nafasi ya kukutana na wasichana wa rika lake.

“Ukweli ni kwamba Kanumba hata kabla hajarudi hapa alikuwa tayari ‘kashaolewa’ na jimama lake na hana hata wiki mbili kuanzia sasa kabla hajarudi huko,” alisema mtoa habari kwetu.Ukitaka kujua zaidi kazungumza nini kuhusiana na hilo sakata lake ingia globalpublisherstz.com

Acha wivu bwana mdogo. Kijana mwenzio kapendwa sasa wewe unakerwa na nini?. Umri usiwe ni kikwazo katika mapenzi. Pia makala yako inaonesha imejaa uwongo, umbea, udaku na kwamba hujui sheria za uhamiaji hata kidogo.
Fanya uchunguzi kabla hujaleta makala hapa JF
 
Nadhani hii ni persenal issue,tuko hapa duniani sio kwa ajili ya kutaabika.Kama amepata mwenza wa ki-usa mwacheni aende.kubwa la kwangu ni je wamepima ngoma na huyo mama?Haya ni mapenzi na nadhani mapenzi hayana formular ambazo zinambind mtu kuoa mwanamke wa aina fulani.

Kanumba wewe nenda tu,kama umeona huyo mama analipa kuliko filamu zako wewe nenda wala usisikie maneno ya watu,kula raha ya kikongwe mtu wangu.
 
Acha wivu bwana mdogo. Kijana mwenzio kapendwa sasa wewe unakerwa na nini?. Umri usiwe ni kikwazo katika mapenzi.

Watu wengine bana!!! wanajua kuwazushia watu uongo. Eti acha wivu kijana. Mimi nimeweka article nikatambaa aliyesema ninamuonea wivu nani? Usinichekeshe, unajuaje kuwa ninamuonea wivu? embu fafanua! Je kama nimeweka hii article hapa ili wadau wa JF tumsifu kwa pamoja? Ukiskia uzushi ndio huu. Punguza hiyo tabia yako mbaya ya kuwazulia watu maneno. Nikisema acha ntakuwa najidanganya maana inaonekana tabia yako hii chafu hukuanza kwa siku moja.
 
Pia makala yako inaonesha imejaa uwongo, umbea, udaku na kwamba hujui sheria za uhamiaji hata kidogo.
Fanya uchunguzi kabla hujaleta makala hapa JF

Uchunguzi wa makala huwa tunafanya kama vyanzo haviamniki. Mimi sheria za marekani sizijui sasa ningejuaje kama hazina ukweli? Hili ni gazeti lililopewa licence na serikali. Mwenzio pundit hapo kasema "mwandishi" ajielimishe kuhusu sheria za marekani wewe unanituhumu mimi moja kwa moja. Je aliyekwambia nimeiandika mimi nani? Niambie ndugu yangu hivi ni kweli huwa unachunguza kila habari unayosoma kwenye gazeti kama ni kweli?
Au kwa kuwa iko gazetini una assume ni kweli kama nilivyofanya mimi?
Mjumbe hauwawi ndugu yangu kama ni gazeti limekosea nenda kwenye site yao ukawatumie email.
 
Visitaduu vya siku hizi michemsho bora ya mijimama.......go Kanumba.....have a good luck
 
Back
Top Bottom