Kansa/saratani ya Ini

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
Ni kwanini ini ni muhimu?
Liver.jpg

liver2.jpg

Ini ni ogani ya pili kubwa zaidi katika mwili wako na inapatikana chini ya kizimba cha mbavu kwenye upande wa kulia. Ina uzani wa kama pauni tatu na umbo lake ni kama mpira wa soka ambao umelala upande mmoja.

Ini hufanya kazi nyingi katika mwili wako. Huwa inachakata kile unachokula na kunywa kuwa nguvu na virutubishi ambavyo mwili wako unaweza kutumia. Ini pia hutoa vitu vyinavyoweza kukudhuru kutoka kwa damu yako.

Saratani ya ini ni nini?

Saratani ya ini ni kukua na usambazaji wa seli zisizo na afya kwenye ini. Saratani ambayo huanza kwenye ini ni saratani ya kimsingi ya ini. Saratani ambayo inasambaa kwa ini kutoka kwa ogani nyingine ni saratani enezi ya ini.

Karibu Waamerika 21,000 wanapatikana na saratani ya kimsingi ya ini kila mwaka. Saratani ya kimsingi ya ini ni moja ya saratani chache zinazoongezeka huko Amerika. Saratani ya kimsingi ni kama mara mbili zaidi kwa wanaume kuliko wanawake.

Saratani ya ini inasababishwa na nini?
Kuna hatari kadhaa za saratani ya ini.


• Cirrhosis (vidonda kwenye ini) inaweza kusababisha saratani ya ini. Huko Amerika, unywaji pombe kupindukia na Homa ya Virusi ndio chanzo kubwa za cirrhosis.
• Uambukizaji wa muda mrefu wa Homa ya Maini na Homa ya Virusi unahusishwa na saratani ya ini kwa sababu mara nyingi husababisha ugonjwa wa cirrhosis. Homa ya Maini inaweza kusababisha saratani ya ini bila cirrhosis.

• Ugonjwa wa kunona sana huongeza hatari ya kupata saratani ya ini.
• Ugonjwa wa sukari unaweza kuongeza hatari ya saratani ya ini, haswa kwa wale ambao hunywa pombe sana au wanayo virusi vingi vya hepatisis.

Dalili za saratani ya ini ni nini?

Mara nyingi hakuna dalili za saratani ya ini hadi ugonjwa uwe katika kiwango cha juu zaidi. Wakati dalili zinatokea, zinaweza kuwa pamoja na, kufura tumbo, uchungu katika upande wa tumbo ya juu au mgongo na mabega, kichefuchefu, kupoteza hamu ya chakula, hisia za kushiba, upotezaji wa uzani, udhaifu, homa ya nyongo ya manjano (macho na ngozi kuwa manjano).

Je! saratani ya ini inagunduliwa vipi?

Saratani ya ini inagunduliwa kwa uchunguzi wa kimwili au kwa uchunguzi wa picha. Ili kudhibitisha uchunguzi wa saratani ya ini, madaktari hutumia upimaji damu, vipimo vya maabara, uchunguzi wa tomografia ya kompyuta (CT), uchunguzi wa picha za sumaku (MRI), na

andiogramu. Daktari wako pia anaweza kuhitaji uchunguzi wa giligili na tishu za kusababisha ugonjwa (biopsy). Wakati wa kuchunguza giligili, kipande kidogo cha tishu ya ini hutolewa na kuchunguzwa katika maabara.
 
endelea ndugu na tiba yake!maana mimi nimeshakata tamaa na dawa wanazosema eti zinatibu cancer!
 
ahsante kwa ushauri. kikubwa nilichojifunza ni kwamba pombe ni tatizo na especially pombe kali, jamani tuhamie kwenye bia. bora kitambi kuliko kuumwa ini, si eti wajameni???
 
[h=3]Definition[/h]Liver cancer is a form of cancer with a high mortality rate. Liver cancers can be classified into two types. They are either primary, when the cancer starts in the liver itself, or metastatic, when the cancer has spread to the liver from some other part of the body.Cirrhosis
Cirrhosis is scarring of the liver and poor liver function as a result of chronic liver disease.
Liver cirrhosis
[h=3]Definition[/h]Cirrhos
Cirrhosis is scarring of the liver and poor liver function as a result of chronic liver disease.
[h=3]Causes, incidence, and risk factors[/h]Cirrhosis is caused by chronic liver disease. Common causes of chronic liver disease is is scarring of the liver and poor liver function as a result of chronic liver disease.
Other causes of cirrhosis include:
  • Autoimmune inflammation of the liver
  • Disorders of the drainage system of the liver (the biliary system), such as primary biliary cirrhosis and primary sclerosing cholangitis
  • Hepatitis B
  • Medications
  • Metabolic disorders of iron and copper (hemochromatosis and Wilson's disease)
  • Nonalcoholic fatty liver disease (NAFLD) and nonalcoholic steatohepatitis (NASH)[h=3]Symptoms[/h]Symptoms may develop gradually, or there may be no symptoms.
    When symptoms do occur, they can include:
    • Abdominal indigestion or pain
    • Confusion or problems thinking
    • Impotence, loss of interest in sex, and breast development (gynecomastia) in men
    • Nausea and vomiting
    • Nosebleeds or bleeding gums
    • Pale or clay-colored stools
    • Small, red spider-like blood vessels on the skin
    • Swelling or fluid buildup of the legs (edema) and in the abdomen (ascites)
    • Vomiting blood or blood in stools
    • Weakness
    • Weight loss
    • Yellow color in the skin, mucus membranes, or eyes (jaundice)[h=3]Prevention[/h]Don't drink alcohol heavily. If you find that your drinking is getting out of hand, seek professional help.
      Measures for preventing the transmission of hepatitis B or C include:
      • Avoid sexual contact with a person who has acute or chronic hepatitis B or C.
      • Use a condom and practice safe sex.
      • Avoid sharing personal items, such as razors or toothbrushes.
      • Do not share drug needles or other drug paraphernalia (such as straws for snorting drugs).
      • Clean blood spills with a solution containing 1 part household bleach to 10 parts water.
 
hapo kwenye 'autoimmune'' kaka, hivi inakuwaje hiyo makitu? ama inakuwa ni intelligent guess? coz hata diabetes type 1 nayo wanadai autoimmune inachangia. halafu pia, how do u diagnose autoimmune kama kisababishi (kama unajua particular tests)
 
Back
Top Bottom