kama mna miaka yote hiyo hajawahi lazima kuna ukweli hujatuambia hapa! hawezi kukurupuka! jipange uje tena!
kuna something from no where mtu tu aje akuvunjie sim......There is something
Its a very very nice story, usihahau kutuletea part2 kutuelezea yaliyojiri nyuma ya pazia ( reasons haswaa za kuvunjiwa simu, najua unazo nyingi tu japo umeshindwa kuweka wazi) na pia utujuze yanayoendelea kwasasa baada ya kisanga kilichotokea oficn kwa Mume wa Mtu na wewe kutolala nyumbani kwako. Ila kumbuka, hata km mngejenga ghorofa hewani pamoja, mkawa na kampuni kuuuuubwa hata kuliko Microsoft, huyo bado SI MUMEO, kumbuka kuwa MUME WA MTU SUMU!!ucje ukajidai we ndo MOTHER HOUSE, shauri yako, yatakayokukuta usije ukasema hatukukuonya!!
Sijaelewa ni business colleague mwenzio au ni vipi?
kama huna kosa kabla ya kuja jf...ungeanzia hapa...
Uko naye kivipi? mpango wa kando au business partner? Sijaelewa Mkuu!
Natambua mkuu
Umeona hili nililokufanyia halikutoshi sasa umeamua kuja kuniaka mbele ya kadamnasi niache nitulie na my wife wangu
kha what non-sense yaani unakuja kujishebedua kabisa kama unatoka na mume wa mtu....twafanya biashara wte na pia tu wapenzi
Nadhani maombi ya mkewe yameanza kufanya kazi Chezea Mungu weye!!!!!!!!!!