Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,502
- 23,685
Huyu dada ni karibia mwaka...ananisumbua sana kila nikitaka kumla anapiga chenga... Mara aseme anaogopa hajazoea mara aseme yupo siku mbaya mara ....yaani shida tu.
Nlimwona siku ya kwanza kituo anasubiri usafiri asubuhi.mimi nlikuwa namsubiria mwenzangu ambaye huwa nampa lift twende kazini. Huyu dada amegawanyika hasa ilikuwa ijumaa kavaa suruali ana likitumbua limetuna kama la 1,000 acha vile vitumbua vya 300 au jero. Yeye kama kingeuzwa kile kitumbua ni BUKU.huku nyuma ana vijungu viwili na hips mashallah.
basi nikawa namcheck... Nameza mate...namcheck nameza mate.zikija gari akienda jaribu kugombea anashindwa anarudi.nikaona si vema dada huyu apate shida.nikashuka nikaenda kumwomba kistaarabu hakutia hiyana.akaja kwenye gari hata jamaa yangu sikutaka tena kumsubiri. Wa nini nipo na mtoto mkali.
Basi tukafahamiana hapo...sasa nikawa nashangaa dada wa mjini anaogopaje kutiwa? Mbona hapa mjini ni kawaida sana mdada kutiwa hata mara mbili tatu kwa siku?anaosha tu mashine anahifadhi for future use.
Ndo nmekija shtuka huwa hataki hata nipime oil.yaani zaidi ya kiss anasema ananitunzia kama nipo serious niende kwao nikajitambulishe.ila vihela vidogo anaomba sana. Mara 50,000 mara 80,000.
Nmekuja gundua tatizo baada ya kuangalia hii video hapa. Tupate habari kamili.
Nlimwona siku ya kwanza kituo anasubiri usafiri asubuhi.mimi nlikuwa namsubiria mwenzangu ambaye huwa nampa lift twende kazini. Huyu dada amegawanyika hasa ilikuwa ijumaa kavaa suruali ana likitumbua limetuna kama la 1,000 acha vile vitumbua vya 300 au jero. Yeye kama kingeuzwa kile kitumbua ni BUKU.huku nyuma ana vijungu viwili na hips mashallah.
basi nikawa namcheck... Nameza mate...namcheck nameza mate.zikija gari akienda jaribu kugombea anashindwa anarudi.nikaona si vema dada huyu apate shida.nikashuka nikaenda kumwomba kistaarabu hakutia hiyana.akaja kwenye gari hata jamaa yangu sikutaka tena kumsubiri. Wa nini nipo na mtoto mkali.
Basi tukafahamiana hapo...sasa nikawa nashangaa dada wa mjini anaogopaje kutiwa? Mbona hapa mjini ni kawaida sana mdada kutiwa hata mara mbili tatu kwa siku?anaosha tu mashine anahifadhi for future use.
Ndo nmekija shtuka huwa hataki hata nipime oil.yaani zaidi ya kiss anasema ananitunzia kama nipo serious niende kwao nikajitambulishe.ila vihela vidogo anaomba sana. Mara 50,000 mara 80,000.
Nmekuja gundua tatizo baada ya kuangalia hii video hapa. Tupate habari kamili.