Kanisa latoa hatua za kukabiliana na COVID-19, hawatasubiria Serikali

mulwanaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
5,262
12,835
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini leo limeweka maazimio ya hatua za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya korona kwa waumini wa kanisa hilo na jamii kwa ujumla.

Uamuzi huo umetolewa na Halmashauri kuu ya Dayosisi hiyo na kutiwa saini na Askofu wa Dayosisi hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Kanisa Rev.Dr.Frederick Shoo (PhD), umeelekezwa kwa Sharika zote za Dayosisi hiyo na utaanza kutekelezwa kuanzia leo, April 05 mwaka 2020.

Baadhi ya maazimio hayo ni pamoja na;

1. Ibada ziwe fupi (zisizidi dakika 45).
_
2. Waumini wakiwa ibadani wahakikishe wamekaa umbali wa mita 1 kati ya muumini mmoja na mwingine.

3. Kuwe na ibada mbili au tatu kwa siku za jumapili ili kuzuia mkusanyiko mkubwa wa watu kwenye ibada moja.

4. Kabla na baada ya ibada viti, meza na vipaza sauti visafishwe kwa dawa.

5. Wazee wa zaidi ya miaka 70 na wagonjwa wapate ushauri wa wataalamu wa afya kabla ya kuamua kushiriki ibada.

6. Ibada za jumuiya zifanyike katika jumuiya ndogondogo za nyumba 3 hadi 4 na si kwa mtaa mzima kama ilivyokua awali.

7. Mtu yeyote mwenye dalili za kikohozi, mafua au kichwa kuuma amuone kwanza daktari kabla ya kushiriki ibada.

8. Sharika zote ziwe na ndoo ya maji safi na sabuni ambapo waumini watanawa mikono kabla ya kuingia ibadani.

9. Ibada za jumuiya zifanyike nje ya nyumba, mahali penye hewa ya kutosha (watu wasijifungie ndani).
_
10. Kila nyumba itakayoandaa ibada ya jumuiya ihakikishe washarika wamenawa mikono kwa maji safi na sabuni.

11. Ibada za ndoa na ibada za mazishi zihudhuriwe na watu wachache tu hususani wanafamilia na majirani.

12. Kanisa linashauri pasiwepo na sherehe za harusi wala sendoff. Na kama italazimu basi zihudhuriwe na watu wachache sana (jamaa wa karibu) na mazingira ya ukumbi yaandaliwe kwa kufuata kanuni za afya.

13. Hakutakuwa na kushikana mikono wakati wa ibada au wakati wa kushiriki neema (baada ya ibada).
_
14. Hospitali, Vituo vya afya na Zahanati zinazomilikiwa na KKKT Dayosisi ya kaskazini zifuate maagizo yanayotolewa na serikali juu ya kujikinga na kudhibiti virusi vya Corona.

15. Watumishi wa Dayosisi ambao si wa sekta ya Afya wameshauriwa kuchukua likizo kwa kupokezana.!

C&p
 
Ushauri mzuri sana.
Nimependa baadhi ya hatua zilizo chukuliwa na KKT na baadhi ya zile za kanisa Katoliki.
Wangeunganisha hizo hatua nzuri kutoka kila taasisi na kupata muongozo mmoja wa kufuatwa na wote.
 
Ushauri mzuri sana.
Nimependa baadhi ya hatua zilizo chukuliwa na KKT na baadhi ya zule za kanisa Katoliki.
Wangeunganisha hizo hatua nzuri kutoka kila taasisi na kupata muongozo mmoja wa kufuatwa na wote.

Mratibu Mkuu ni tuliyemchagua na team yake watuongeze, je anayaona haya?
 
Hili Kanisa halijitambui. Halijui majukumu yake. Shetani hakimbiwi, anakemewa. Kanisa la Mungu liko duniani kuharibu na kuangamiza kazi za ibilisi. Hakuna ubishi kuwa kirusi cha corona kimetokea kuzimu (hata kama kimetengenezwa na mwanadamu, mwanadamu huyo amepata maelekezo kutoka kuzimu)

Kanisa la kweli duniani lina wajibu wa kuangamiza kazi za shetani yaani linatakiwa kuzama katika ulimwengu wa roho kwa kutumia Jina la Yesu na kuharibu mipango yote ya giza. Kanisa halitakiwi kutumia mipango ya kiakili-akili tu kukabiliana na shetani. Hayo ya kutumia akili - akili hayo tuyaachie serikali (ila pia tufuate maelekezo tutakayopewa na serikali) ila Kanisa kama Kanisa tunapaswa kudili na yale mambo ya kiroho. Maana vita vyetu si katika mwili, bali ni katika roho.
2WAKORINTHO 10:3-5., WAEFESO 6:12-18.
....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa mbona mnajikwaaa
Ibada ya 45min ina tofauti gani na ibada ya 1min??

Mikusanyiko ndio sumu mbona wagumu kuelewa?!

Ibada zifanywe kwa njia nyingine tofauti online video conference kama mnaweza
 
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini leo limeweka maazimio ya hatua za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya korona kwa waumini wa kanisa hilo na jamii kwa ujumla.

Uamuzi huo umetolewa na Halmashauri kuu ya Dayosisi hiyo na kutiwa saini na Askofu wa Dayosisi hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Kanisa Rev.Dr.Frederick Shoo (PhD), umeelekezwa kwa Sharika zote za Dayosisi hiyo na utaanza kutekelezwa kuanzia leo, April 05 mwaka 2020.

Baadhi ya maazimio hayo ni pamoja na;

1. Ibada ziwe fupi (zisizidi dakika 45).
_
2. Waumini wakiwa ibadani wahakikishe wamekaa umbali wa mita 1 kati ya muumini mmoja na mwingine.

3. Kuwe na ibada mbili au tatu kwa siku za jumapili ili kuzuia mkusanyiko mkubwa wa watu kwenye ibada moja.

4. Kabla na baada ya ibada viti, meza na vipaza sauti visafishwe kwa dawa.

5. Wazee wa zaidi ya miaka 70 na wagonjwa wapate ushauri wa wataalamu wa afya kabla ya kuamua kushiriki ibada.

6. Ibada za jumuiya zifanyike katika jumuiya ndogondogo za nyumba 3 hadi 4 na si kwa mtaa mzima kama ilivyokua awali.

7. Mtu yeyote mwenye dalili za kikohozi, mafua au kichwa kuuma amuone kwanza daktari kabla ya kushiriki ibada.

8. Sharika zote ziwe na ndoo ya maji safi na sabuni ambapo waumini watanawa mikono kabla ya kuingia ibadani.

9. Ibada za jumuiya zifanyike nje ya nyumba, mahali penye hewa ya kutosha (watu wasijifungie ndani).
_
10. Kila nyumba itakayoandaa ibada ya jumuiya ihakikishe washarika wamenawa mikono kwa maji safi na sabuni.

11. Ibada za ndoa na ibada za mazishi zihudhuriwe na watu wachache tu hususani wanafamilia na majirani.

12. Kanisa linashauri pasiwepo na sherehe za harusi wala sendoff. Na kama italazimu basi zihudhuriwe na watu wachache sana (jamaa wa karibu) na mazingira ya ukumbi yaandaliwe kwa kufuata kanuni za afya.

13. Hakutakuwa na kushikana mikono wakati wa ibada au wakati wa kushiriki neema (baada ya ibada).
_
14. Hospitali, Vituo vya afya na Zahanati zinazomilikiwa na KKKT Dayosisi ya kaskazini zifuate maagizo yanayotolewa na serikali juu ya kujikinga na kudhibiti virusi vya Corona.

15. Watumishi wa Dayosisi ambao si wa sekta ya Afya wameshauriwa kuchukua likizo kwa kupokezana.!

C&p
Maaskofu wawe wakweli, kama ugonjwa upo je dakika 45 hazitoshi kuambukizana? Wasiangalie mapato tu na kuharibu ibada. Options ni mbili tu.
1. Wafunge kabisa ibada
2. Wawaache watu waabudu Kwa uhuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini leo limeweka maazimio ya hatua za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya korona kwa waumini wa kanisa hilo na jamii kwa ujumla.

Uamuzi huo umetolewa na Halmashauri kuu ya Dayosisi hiyo na kutiwa saini na Askofu wa Dayosisi hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Kanisa Rev.Dr.Frederick Shoo (PhD), umeelekezwa kwa Sharika zote za Dayosisi hiyo na utaanza kutekelezwa kuanzia leo, April 05 mwaka 2020.

Baadhi ya maazimio hayo ni pamoja na;

1. Ibada ziwe fupi (zisizidi dakika 45).
_
2. Waumini wakiwa ibadani wahakikishe wamekaa umbali wa mita 1 kati ya muumini mmoja na mwingine.

3. Kuwe na ibada mbili au tatu kwa siku za jumapili ili kuzuia mkusanyiko mkubwa wa watu kwenye ibada moja.

4. Kabla na baada ya ibada viti, meza na vipaza sauti visafishwe kwa dawa.

5. Wazee wa zaidi ya miaka 70 na wagonjwa wapate ushauri wa wataalamu wa afya kabla ya kuamua kushiriki ibada.

6. Ibada za jumuiya zifanyike katika jumuiya ndogondogo za nyumba 3 hadi 4 na si kwa mtaa mzima kama ilivyokua awali.

7. Mtu yeyote mwenye dalili za kikohozi, mafua au kichwa kuuma amuone kwanza daktari kabla ya kushiriki ibada.

8. Sharika zote ziwe na ndoo ya maji safi na sabuni ambapo waumini watanawa mikono kabla ya kuingia ibadani.

9. Ibada za jumuiya zifanyike nje ya nyumba, mahali penye hewa ya kutosha (watu wasijifungie ndani).
_
10. Kila nyumba itakayoandaa ibada ya jumuiya ihakikishe washarika wamenawa mikono kwa maji safi na sabuni.

11. Ibada za ndoa na ibada za mazishi zihudhuriwe na watu wachache tu hususani wanafamilia na majirani.

12. Kanisa linashauri pasiwepo na sherehe za harusi wala sendoff. Na kama italazimu basi zihudhuriwe na watu wachache sana (jamaa wa karibu) na mazingira ya ukumbi yaandaliwe kwa kufuata kanuni za afya.

13. Hakutakuwa na kushikana mikono wakati wa ibada au wakati wa kushiriki neema (baada ya ibada).
_
14. Hospitali, Vituo vya afya na Zahanati zinazomilikiwa na KKKT Dayosisi ya kaskazini zifuate maagizo yanayotolewa na serikali juu ya kujikinga na kudhibiti virusi vya Corona.

15. Watumishi wa Dayosisi ambao si wa sekta ya Afya wameshauriwa kuchukua likizo kwa kupokezana.!

C&p
Ibada za jumuia zisitishwe kwani hazina usalama kutokana na uwezekano baadhi ya watu kuweza kuficha mgonjwa. Hili naiomba serikali izuie kwani si sala.
 
Hili Kanisa halijitambui. Halijui majukumu yake. Shetani hakimbiwi, anakemewa. Kanisa la Mungu liko duniani kuharibu na kuangamiza kazi za ibilisi. Hakuna ubishi kuwa kirusi cha corona kimetokea kuzimu (hata kama kimetengenezwa na mwanadamu, mwanadamu huyo amepata maelekezo kutoka kuzimu)

Kanisa la kweli duniani lina wajibu wa kuangamiza kazi za shetani yaani linatakiwa kuzama katika ulimwengu wa roho kwa kutumia Jina la Yesu na kuharibu mipango yote ya giza. Kanisa halitakiwi kutumia mipango ya kiakili-akili tu kukabiliana na shetani. Hayo ya kutumia akili - akili hayo tuyaachie serikali (ila pia tufuate maelekezo tutakayopewa na serikali) ila Kanisa kama Kanisa tunapaswa kudili na yale mambo ya kiroho. Maana vita vyetu si katika mwili, bali ni katika roho.
2WAKORINTHO 10:3-5., WAEFESO 6:12-18.
....

Sent using Jamii Forums mobile app

Unapotea kwa kukosa maarifa
 
Covid19 imeleta changamoto hasa kwenye namna ya kutii na kufuata matakwa ya tunachokiamini kiroho dhida ya kinachotusibu kimwili.
 
Sawa kabisa, kuchukua tahadhari haiwezi kutafsiriwa kama kupungukiwa imani kwa Mwenyezi, vinginevyo usipochukua tahadhari zozote utaonekana kama unamjaribu Muumba.
 
Hili Kanisa halijitambui. Halijui majukumu yake. Shetani hakimbiwi, anakemewa. Kanisa la Mungu liko duniani kuharibu na kuangamiza kazi za ibilisi. Hakuna ubishi kuwa kirusi cha corona kimetokea kuzimu (hata kama kimetengenezwa na mwanadamu, mwanadamu huyo amepata maelekezo kutoka kuzimu)

Kanisa la kweli duniani lina wajibu wa kuangamiza kazi za shetani yaani linatakiwa kuzama katika ulimwengu wa roho kwa kutumia Jina la Yesu na kuharibu mipango yote ya giza. Kanisa halitakiwi kutumia mipango ya kiakili-akili tu kukabiliana na shetani. Hayo ya kutumia akili - akili hayo tuyaachie serikali (ila pia tufuate maelekezo tutakayopewa na serikali) ila Kanisa kama Kanisa tunapaswa kudili na yale mambo ya kiroho. Maana vita vyetu si katika mwili, bali ni katika roho.
2WAKORINTHO 10:3-5., WAEFESO 6:12-18.
....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiyo hujitambui
 
Walokole bhana!!! We ndo unaejitambua sasa? Maana hapo juu umesema hili kanisa halijitambui. Kazi kupinga madhehebu mengine tu.
Hili Kanisa halijitambui. Halijui majukumu yake. Shetani hakimbiwi, anakemewa. Kanisa la Mungu liko duniani kuharibu na kuangamiza kazi za ibilisi. Hakuna ubishi kuwa kirusi cha corona kimetokea kuzimu (hata kama kimetengenezwa na mwanadamu, mwanadamu huyo amepata maelekezo kutoka kuzimu)

Kanisa la kweli duniani lina wajibu wa kuangamiza kazi za shetani yaani linatakiwa kuzama katika ulimwengu wa roho kwa kutumia Jina la Yesu na kuharibu mipango yote ya giza. Kanisa halitakiwi kutumia mipango ya kiakili-akili tu kukabiliana na shetani. Hayo ya kutumia akili - akili hayo tuyaachie serikali (ila pia tufuate maelekezo tutakayopewa na serikali) ila Kanisa kama Kanisa tunapaswa kudili na yale mambo ya kiroho. Maana vita vyetu si katika mwili, bali ni katika roho.
2WAKORINTHO 10:3-5., WAEFESO 6:12-18.
....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili Kanisa halijitambui. Halijui majukumu yake. Shetani hakimbiwi, anakemewa. Kanisa la Mungu liko duniani kuharibu na kuangamiza kazi za ibilisi. Hakuna ubishi kuwa kirusi cha corona kimetokea kuzimu (hata kama kimetengenezwa na mwanadamu, mwanadamu huyo amepata maelekezo kutoka kuzimu)

Kanisa la kweli duniani lina wajibu wa kuangamiza kazi za shetani yaani linatakiwa kuzama katika ulimwengu wa roho kwa kutumia Jina la Yesu na kuharibu mipango yote ya giza. Kanisa halitakiwi kutumia mipango ya kiakili-akili tu kukabiliana na shetani. Hayo ya kutumia akili - akili hayo tuyaachie serikali (ila pia tufuate maelekezo tutakayopewa na serikali) ila Kanisa kama Kanisa tunapaswa kudili na yale mambo ya kiroho. Maana vita vyetu si katika mwili, bali ni katika roho.
2WAKORINTHO 10:3-5., WAEFESO 6:12-18.
....

Sent using Jamii Forums mobile app
Tiini mamlaka,au wewe ndio wale wa kusafiri bila paspoti?
 
Back
Top Bottom