Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
BARAZA la Makanisa ya Pentekoste (PCT) limeeleza kuwa hakuna mgombea ambaye anapewa kipaumbele na baraza hilo kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili.
Akizungumza kwenye mkutano na vyombo vya habari jana, mwenyekiti wa PCT, Askofu David Batenzi alisema, PCT inaitaka Tume ya Uchaguzi (Nec) kusimamia kwa haki uchaguzi mkuu na kutoa haki bila kupindisha, likisema kuwa jaribio lolote la kuupindisha ukweli ni hatari kwa amani ya Taifa.
"PCT inatoa tamko kwa umma wa Watanzania kwamba haina chama au mgombea anayepewa kipaumbele au kupigiwa kampeni ndani ya umoja wake katika uchaguzi mkuu wa 2010, lakini ni vizuri Tume ya Uchaguzi isimamie kwa haki uchaguzi huo na itoe matokeo kwa haki kwa kadiri yatakavyokuwa kwa kuwa kupindisha matokeo ni hatari kwa amani ya taifa", alisema Askofu Batenzi.
Mytake: Ni maneno ya hekima hayana udini wowote lakini wasiopendezwa nayo watayapindisha. Jaji Lewis Makame, Rajabu Kiravu including John Tendwa are the victims of this message.
Akizungumza kwenye mkutano na vyombo vya habari jana, mwenyekiti wa PCT, Askofu David Batenzi alisema, PCT inaitaka Tume ya Uchaguzi (Nec) kusimamia kwa haki uchaguzi mkuu na kutoa haki bila kupindisha, likisema kuwa jaribio lolote la kuupindisha ukweli ni hatari kwa amani ya Taifa.
"PCT inatoa tamko kwa umma wa Watanzania kwamba haina chama au mgombea anayepewa kipaumbele au kupigiwa kampeni ndani ya umoja wake katika uchaguzi mkuu wa 2010, lakini ni vizuri Tume ya Uchaguzi isimamie kwa haki uchaguzi huo na itoe matokeo kwa haki kwa kadiri yatakavyokuwa kwa kuwa kupindisha matokeo ni hatari kwa amani ya taifa", alisema Askofu Batenzi.
Mytake: Ni maneno ya hekima hayana udini wowote lakini wasiopendezwa nayo watayapindisha. Jaji Lewis Makame, Rajabu Kiravu including John Tendwa are the victims of this message.