Elections 2010 Kanisa laionya NEC

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
BARAZA la Makanisa ya Pentekoste (PCT) limeeleza kuwa hakuna mgombea ambaye anapewa kipaumbele na baraza hilo kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili.

Akizungumza kwenye mkutano na vyombo vya habari jana, mwenyekiti wa PCT, Askofu David Batenzi alisema, PCT inaitaka Tume ya Uchaguzi (Nec) kusimamia kwa haki uchaguzi mkuu na kutoa haki bila kupindisha, likisema kuwa jaribio lolote la kuupindisha ukweli ni hatari kwa amani ya Taifa.

"PCT inatoa tamko kwa umma wa Watanzania kwamba haina chama au mgombea anayepewa kipaumbele au kupigiwa kampeni ndani ya umoja wake katika uchaguzi mkuu wa 2010, lakini ni vizuri Tume ya Uchaguzi isimamie kwa haki uchaguzi huo na itoe matokeo kwa haki kwa kadiri yatakavyokuwa kwa kuwa kupindisha matokeo ni hatari kwa amani ya taifa", alisema Askofu Batenzi.

Mytake: Ni maneno ya hekima hayana udini wowote lakini wasiopendezwa nayo watayapindisha. Jaji Lewis Makame, Rajabu Kiravu including John Tendwa are the victims of this message.
 
Mungu aibariki Tanzania, Damu ya Yesu inafunika kila kitu kipindi cha uchaguzi na kila hila itagoma na kuwa wazi. Amina
 
Tendwa, makame, kiravu, na njama zenu zinatizamwa sana na kila mtanzania. kama mkidhani mtafanya uvurugaji utokee, ICC, Mahakama ya kimataifa itawabeba wote ninyi. hakuna la kuficha ktk hili. liepukeni.
 
BARAZA la Makanisa ya Pentekoste (PCT) limeeleza kuwa hakuna mgombea ambaye anapewa kipaumbele na baraza hilo kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili.

Akizungumza kwenye mkutano na vyombo vya habari jana, mwenyekiti wa PCT, Askofu David Batenzi alisema, PCT inaitaka Tume ya Uchaguzi (Nec) kusimamia kwa haki uchaguzi mkuu na kutoa haki bila kupindisha, likisema kuwa jaribio lolote la kuupindisha ukweli ni hatari kwa amani ya Taifa.

"PCT inatoa tamko kwa umma wa Watanzania kwamba haina chama au mgombea anayepewa kipaumbele au kupigiwa kampeni ndani ya umoja wake katika uchaguzi mkuu wa 2010, lakini ni vizuri Tume ya Uchaguzi isimamie kwa haki uchaguzi huo na itoe matokeo kwa haki kwa kadiri yatakavyokuwa kwa kuwa kupindisha matokeo ni hatari kwa amani ya taifa", alisema Askofu Batenzi.

Mytake: Ni maneno ya hekima hayana udini wowote lakini wasiopendezwa nayo watayapindisha. Jaji Lewis Makame, Rajabu Kiravu including John Tendwa are the victims of this message.

Mkuu Luteni,

Sio busara kabisa kwa kanisa au kundi lingine lolote la kidini kuja na statements kama hizi. Ni sawa na ambavyo haikuwa sahihi kwa jeshi kutoa ile statement yao.

Kama wana ushahidi wowote basi waikabe NEC kwa makosa inayofanya na sio kutoa statements vague kama hii ambayo inaweza kuwa na matokeo mabaya kwani inawaandaa wananchi kwamba kuna kitu cha ajabu NEC inapanga.

Kama huamini au huna ushahidi kwamba NEC itapindisha mambo kwanini utoe tamko?

Haya mambo ya dini yanaenda pabaya Tanzania. Kuna vyombo vingi vya kuhakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na kama sio wa haki vitasema. Hatuhitaji kuhubiriwa na makanisa au misikiti kila siku wakati wameshindwa hata kuwapa somo hao waumini wao wakawa raia wema.
 
BARAZA la Makanisa ya Pentekoste (PCT) limeeleza kuwa hakuna mgombea ambaye anapewa kipaumbele na baraza hilo kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili.

Akizungumza kwenye mkutano na vyombo vya habari jana, mwenyekiti wa PCT, Askofu David Batenzi alisema, PCT inaitaka Tume ya Uchaguzi (Nec) kusimamia kwa haki uchaguzi mkuu na kutoa haki bila kupindisha, likisema kuwa jaribio lolote la kuupindisha ukweli ni hatari kwa amani ya Taifa.

"PCT inatoa tamko kwa umma wa Watanzania kwamba haina chama au mgombea anayepewa kipaumbele au kupigiwa kampeni ndani ya umoja wake katika uchaguzi mkuu wa 2010, lakini ni vizuri Tume ya Uchaguzi isimamie kwa haki uchaguzi huo na itoe matokeo kwa haki kwa kadiri yatakavyokuwa kwa kuwa kupindisha matokeo ni hatari kwa amani ya taifa", alisema Askofu Batenzi.

Mytake: Ni maneno ya hekima hayana udini wowote lakini wasiopendezwa nayo watayapindisha. Jaji Lewis Makame, Rajabu Kiravu including John Tendwa are the victims of this message.

Siri imefichuka.Pamoja na kujificha nyuma ya pazia. Kikwete ni Rais Tu. Padre Slaa Mmhhhhhhh
 
Mkuu Luteni,

Sio busara kabisa kwa kanisa au kundi lingine lolote la kidini kuja na statements kama hizi. Ni sawa na ambavyo haikuwa sahihi kwa jeshi kutoa ile statement yao.

Kama wana ushahidi wowote basi waikabe NEC kwa makosa inayofanya na sio kutoa statements vague kama hii ambayo inaweza kuwa na matokeo mabaya kwani inawaandaa wananchi kwamba kuna kitu cha ajabu NEC inapanga.

Kama huamini au huna ushahidi kwamba NEC itapindisha mambo kwanini utoe tamko?

Haya mambo ya dini yanaenda pabaya Tanzania. Kuna vyombo vingi vya kuhakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na kama sio wa haki vitasema. Hatuhitaji kuhubiriwa na makanisa au misikiti kila siku wakati wameshindwa hata kuwapa somo hao waumini wao wakawa raia wema.

Your completely off point. Soma kama unasoma sio kuperuzi
 
Mkuu Luteni,

Sio busara kabisa kwa kanisa au kundi lingine lolote la kidini kuja na statements kama hizi. Ni sawa na ambavyo haikuwa sahihi kwa jeshi kutoa ile statement yao.

Kama wana ushahidi wowote basi waikabe NEC kwa makosa inayofanya na sio kutoa statements vague kama hii ambayo inaweza kuwa na matokeo mabaya kwani inawaandaa wananchi kwamba kuna kitu cha ajabu NEC inapanga.

Kama huamini au huna ushahidi kwamba NEC itapindisha mambo kwanini utoe tamko?

Haya mambo ya dini yanaenda pabaya Tanzania. Kuna vyombo vingi vya kuhakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na kama sio wa haki vitasema. Hatuhitaji kuhubiriwa na makanisa au misikiti kila siku wakati wameshindwa hata kuwapa somo hao waumini wao wakawa raia wema.
Ni statement gani unayoiona mbaya kwako waliposema 'kupindisha matokeo ni hatari kwa amani' ulitaka wasemeje, je wanaosema tuchagueni sisi mdumishe amani wana wasiwasi gani wengine wakichaguliwa au wanaushahidi gani amani itatoweka, soma angalizo langu.
 
Kwa kawaida viongozi na watawala ktk Africa huwa hawataki kujifunza kutokana na kiburi. Pamoja na hayo napenda kutoa ushauri kwa NEC/ZEC kujifunza kutoka kwa tume ya Uchaguzi kenya mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwisho.
 
Your completely off point. Soma kama unasoma sio kuperuzi

Kama umeshindwa kuelewa nilichoandika basi kazi ipo! I am not off point! I stand by every word in my comment!

So far NEC has done a very good and transparent job in preparing this election! Kanisa wanatoa tamko ili iweje?
 
Nina wasi wasi Lewis Makame,Rajab Kiravu na John TENDWA,watakua wateja wa Moreno Ocampo mda si mrefu.
 
Kama umeshindwa kuelewa nilichoandika basi kazi ipo! I am not off point! I stand by every word in my comment!

So far NEC has done a very good and transparent job in preparing this election! Kanisa wanatoa tamko ili iweje?

Naona kama vile jembe la leo ulizidiwa na jua. Kapumzike kivulini
 
Ni tamko zuri sana kwa mustakabali wa taifa letu.......

swali," kwa nini masheikh na mamufti walianza kwanza kwa kuwaambia waumini wao wasimchague dr.slaa alafu baadaye ndiyo wa kwanza kuhubiri kuwa tusichanganye siasa na dini na huku wakionesha wakristo wakorofi wakati wao ndiyo wa kwanza kuonesha kwa vitendo?
 
Kwa hakika bwana amesikia kilio, masononeko, kupuuzwa na kunyanyaswa kwa watu wake.Mungu ni mwema na siku zote husimamia wale wenye haki.Sauti za walio wengi ni sauti ya Mungu.Wizi hautafanyika na jaribio lolote litazuiliwa na mwenye enzi Mungu na wale watakao husika tunamuomba Mora awape adhabu kama zile alizopewa Farao na watu wake wakati wa Musa.
 
Safi sana askofu lakini tuendelee kuliombea taifa letu kila mtu kwa dini yake.


CHAGUA CHADEMA CHAGUA DR.SLAA KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU
 
Back
Top Bottom