Eliya Dawa
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 270
- 164
Habarini Wakuu
Katika kukaa kwangu na kutafakari katika muonekano na katika biblia tunasoma siku ya sabato yapaswa kufuatwa sawa lkn nina mtazamo chanya ambao wasabato wanaupuuzia siku hizi na tunasema kuwa tunaifuata biblia
1 Suala la wanawake kuhudumu ni makosa ktk biblia limekataliwa na mtume paulo naambatanisha hapa
1 Timothy 2:8 Basi, nataka wanaume wasalishe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.
2: Suala la mavazi ni tatizo ikiwa tunaenda kwa kufuata biblia then wanawake ni lazima watii kwa kila namna
1 Timothy 2:9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
3: Maaskofu na Mashemasi ni lazima wawe wanaume na sio wanawake ktk kanisa letu tumekuwa tukiwapa wanawake kile kinachoitwa haki sawa ikiwa tunafuta Biblia basi hakutakiwi kuwa na usawa tena biblia imekataa kabisa mwanamke kusimama kanisani
Kisha kuna suala la Ellen G White ikiwa tunaamini Biblia kama. Kiongozi wetu mkuu basi Ellen G White sio nabii kwa kuwa biblia imesema mwanamke Alitenda Dhambi na akapotoka kabisa Mungu hawezi kusema leo hivi afu kesho hivi Biblia ni shahidi No1 ~ 1 Timothy 2:12
[12]Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.
Kuna mafungu pia kama 1Wakoritho 11: 3 na kuendelea
[14] Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.
Sasa kwa muktadha huu ikiwa tunifuata Biblia then Ellen G White sio Nabii Ndg Zangu wasabato naomba mje mnipe maelekezo huwenda mm sielewi mambo yanavyotakiwa kwenda
Lakini waislam wako sahihi kwenye maswala ya kuhudumu na mavazi.
Katika kukaa kwangu na kutafakari katika muonekano na katika biblia tunasoma siku ya sabato yapaswa kufuatwa sawa lkn nina mtazamo chanya ambao wasabato wanaupuuzia siku hizi na tunasema kuwa tunaifuata biblia
1 Suala la wanawake kuhudumu ni makosa ktk biblia limekataliwa na mtume paulo naambatanisha hapa
1 Timothy 2:8 Basi, nataka wanaume wasalishe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.
2: Suala la mavazi ni tatizo ikiwa tunaenda kwa kufuata biblia then wanawake ni lazima watii kwa kila namna
1 Timothy 2:9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
3: Maaskofu na Mashemasi ni lazima wawe wanaume na sio wanawake ktk kanisa letu tumekuwa tukiwapa wanawake kile kinachoitwa haki sawa ikiwa tunafuta Biblia basi hakutakiwi kuwa na usawa tena biblia imekataa kabisa mwanamke kusimama kanisani
Kisha kuna suala la Ellen G White ikiwa tunaamini Biblia kama. Kiongozi wetu mkuu basi Ellen G White sio nabii kwa kuwa biblia imesema mwanamke Alitenda Dhambi na akapotoka kabisa Mungu hawezi kusema leo hivi afu kesho hivi Biblia ni shahidi No1 ~ 1 Timothy 2:12
[12]Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.
Kuna mafungu pia kama 1Wakoritho 11: 3 na kuendelea
[14] Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.
Sasa kwa muktadha huu ikiwa tunifuata Biblia then Ellen G White sio Nabii Ndg Zangu wasabato naomba mje mnipe maelekezo huwenda mm sielewi mambo yanavyotakiwa kwenda
Lakini waislam wako sahihi kwenye maswala ya kuhudumu na mavazi.