Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,575
Haifai hata kidogo Kama utalishwa na MANASWARA mfano ndo tunaona kanisa watu wa imani tofauti na yakoWenyewe wanasemaje, inaswihi kulishwa ftari na mtu yoyote?.
Hao ni WAROHO
Haifai hata kidogo Kama utalishwa na MANASWARA mfano ndo tunaona kanisa watu wa imani tofauti na yakoWenyewe wanasemaje, inaswihi kulishwa ftari na mtu yoyote?.
Sema wakristo mungu kawatunuku hekima sana, mara nyingi kwenye mijadala kama unakuta waislamu wanaonesha chuki ya waziwazi, hata huko mitaani waislamu wale washika dini haswa, unakuta wanaonesha chuki ya wazi wazi, na mara nyingi hua hawachangamani na wakristo, na hilo nimeloshuhudia sana hata kwenye viwanda... Kama HR atakuwa muislamu, mkiristo kupata kazi ni mpaka wajiridhishe kuwa hakuna muislamu mwenye sifa!! Hili jambo ni pana na wakristo ni vile hawapendi shali, lakini kuna shida taki ya mambo haya!HAO NI WAISLAMU JINA HAO TANGU LINI DINI IKARUHUSU ULE FUTARI ILIYOPIKWA NA MANASWARA
HAO NI WAROHO MUISLAMU ALIYEIJUA DINI YAKE VIZURI HAWEZI KUBALI HUO UPUUZI
SIO KAMA MI NI MCHOCHEZI HAPANA NAIHESHIMU DINI YENU WAKIRSTO NA NAHESHIMU UWEPO WENU HAPO NAJARIBU KUWASEMA WANAOTUHARIBIA DINI PASI KUWA NA ELIMU
HAO NI WAISLAMU JINA HAO TANGU LINI DINI IKARUHUSU ULE FUTARI ILIYOPIKWA NA MANASWARA
HAO NI WAROHO MUISLAMU ALIYEIJUA DINI YAKE VIZURI HAWEZI KUBALI HUO UPUUZI
SIO KAMA MI NI MCHOCHEZI HAPANA NAIHESHIMU DINI YENU WAKIRSTO NA NAHESHIMU UWEPO WENU HAPO NAJARIBU KUWASEMA WANAOTUHARIBIA DINI PASI KUWA NA ELIMU
Yuko shule yule..Makonda atafuturisha lini ? tumezoea wakati wa Ramadhan anashirikiana na Le Mutuz kuandaa futari
Hizi ni itikadi kali za dini.Hivi unajua Ukristo na Uislam zote zimetoka kwa Ibrahim,wote ni watoto wa Baba mmoja.Wewe ukiwa na chuki ni yako mwenyewe.Musa ambaye muisrael alipotoroka Misri alikimbilia kwa Yethro Kuhani wa mediani ambaye ulikuwa ni uzao wa Ismaili(Ishmaili),Ambaye ni ndugu yake.Isaka alizaa waisrael,Ishamaili alizaa Waarabu.Ibrahim ni baba yao,Isaka na Ishmaeli. Na shangaa sana sisi watu weusi tukiwa na chuki Kali sbb ya dini.HAO NI WAISLAMU JINA HAO TANGU LINI DINI IKARUHUSU ULE FUTARI ILIYOPIKWA NA MANASWARA
HAO NI WAROHO MUISLAMU ALIYEIJUA DINI YAKE VIZURI HAWEZI KUBALI HUO UPUUZI
SIO KAMA MI NI MCHOCHEZI HAPANA NAIHESHIMU DINI YENU WAKIRSTO NA NAHESHIMU UWEPO WENU HAPO NAJARIBU KUWASEMA WANAOTUHARIBIA DINI PASI KUWA NA ELIMU
Kuna chuki gani hapo mi nimesema nimekubali uwepo wenu wala sijawaponda na wakiristo ni rafiki zetu tu mi nilikuwa naongelea hao WAROHO kuna vitu wanakosea kwenye funga zao ambavyo ni tofauti na diniHizi ni itikadi kali za dini.Hivi unajua Ukristo na Uislam zote zimetoka kwa Ibrahim,wote ni watoto wa Baba mmoja.Wewe ukiwa na chuki ni yako mwenyewe.Musa ambaye muisrael alipotoroka Misri alikimbilia kwa Yethro Kuhani wa mediani ambaye ulikuwa ni uzao wa Ismaili(Ishmaili),Ambaye ni ndugu yake.Isaka alizaa waisrael,Ishamaili alizaa Waarabu.Ibrahim ni baba yao,Isaka na Ishmaeli. Na shangaa sana sisi watu weusi tukiwa na chuki Kali sbb ya dini.
Na Mtume Mohamed SWA alikuwa akiwaita wakristo rafiki zake sbb yeye alikuwa akipigana vita kupingana na ibada ya sanamu uarabuni.Ambayo na wakristo vile vile walikuwa wakipinga ibada ya sanamu.Na wakristo walikuwa ni watu wa Amani.
Kuna kikundi cha Wayahudi kilikuwa kikimpinga ,ndiyo hao akawaita MAYAHUDI.Kikikundi kile kile kilikuwa kikimpinga na Yesu Kristo.Ndiyo kilimshitaki kwenye serikali ya kikoroni kwa wakati huo ya Warumi ndiyo kupelekea kuuwawa msalabani.Yesu alikiita hicho kikundi "Wajiitao wayahudi bali sinagogi la Shetani".
Huwa na shangaa sana ndugu zetu waislamu kuwaita wakristo ni Mayahudi.Mayahudi na Wakristo ni vitu viwili tofauti.Mayahudi hao walikuwa washupavu wa dini walifikia stage mpaka wanapingana na Mungu.
Na sisi wengine waelewa wala hatuna shida na nyinyi kama ambavyo hapo awali nnilivyokubali uwepo wenu na naheshimu dini yenu natunachangamana huko kwenye jamiiSema wakristo mungu kawatunuku hekima sana, mara nyingi kwenye mijadala kama unakuta waislamu wanaonesha chuki ya waziwazi, hata huko mitaani waislamu wale washika dini haswa, unakuta wanaonesha chuki ya wazi wazi, na mara nyingi hua hawachangamani na wakristo, na hilo nimeloshuhudia sana hata kwenye viwanda... Kama HR atakuwa muislamu, mkiristo kupata kazi ni mpaka wajiridhishe kuwa hakuna muislamu mwenye sifa!! Hili jambo ni pana na wakristo ni vile hawapendi shali, lakini kuna shida taki ya mambo haya!
Hiyo haki imethibitishwa na nani, Mungu alishuka akasema islamic ndo dini ninayoipokea tuHata mimi nilikuwa kwenye Ukafiri. Nikaachana nao nikaingia kwenye Uislamu dini ya haki.
Pamoja sana mkuu, lazima tuwaelimishe kuwa kila kiumbe kilicho umbwa na Mungu kina thamani yake Duniani, hakuna aliye bora zaidi ya mwenzake maana hakuna binadamu aliyewahi kuumba binadamu mwenzakeWewe kama mimi. Hasira zangu nikisikia hilo neno hazipimiki.
Wala sijajitetea, ila ndio ukweli huoUnavyo jitetea CharmingLady....
Kafiri wewe na mama yakoKafiri means a Non-believer. Na sote tunajua kwamba dini ya haki ni Uislamu pekee. Hivo kama wewe ni Non-Muslim basi ni Kafiri.