Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

ni kwambie tyu huyo mtu anajielewa vizuri tyu tena sana

ispokua anapost kishabiki

uislam sio dini ya kutengenezwa kama ulivyo uktisto ndo maana katika quran huwezi kuta mikanganyiko kama ilivyo katika biblia

ni dhaili kwamba kilicho tungwa na binadamu lazima kitakua na kasolo nyingi tu

mfano

biblia imesema yesu ni mwana wa myngu

biblia hiyo hiyo ikasema yesu mungu

biblia hiyo hiyo ikasema yesu ni mtu

while katika quran

waadhiri wa kikristo wanaumiza vichwa mpaka leo

ispokua tu wanaakazia vitu visivyo na msingi


kwamba sijui mtume alioa binti wa miaka sita(although its true)

kwamba mtume kasambaza uislam kwa vita

na mambo mengi


anaacha kumjua Paulo ambaye ndiye aliye uanzisha ukristo

kwani ni ukweli uliodhahili kua yesu hakuwai kuingia kanisani ila aliingia katika masinagogi (ukitakakujua ni nn fungua nyuma ya bible)

sasa mi nikwambie tu kua kuna vitu vingi vya kujua kabla ujaamua kupost ujinga kama huu mtandaoni
ilhali hajui kua dini yake ya ukristo ni dini ya kiseng**
na u qoumor

kabisa


someni kwanza kabla hamja kulupuka kupost

hata quran imesema

iqra bismillabika

na mtume kasema itafuteni elimu hata kama iko china
l
Sasaa ndugu mwana wa mungu hawezi kuwa mungu?? Nini kigumu hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni kwambie tyu huyo mtu anajielewa vizuri tyu tena sana

ispokua anapost kishabiki

uislam sio dini ya kutengenezwa kama ulivyo uktisto ndo maana katika quran huwezi kuta mikanganyiko kama ilivyo katika biblia

ni dhaili kwamba kilicho tungwa na binadamu lazima kitakua na kasolo nyingi tu

mfano

biblia imesema yesu ni mwana wa myngu

biblia hiyo hiyo ikasema yesu mungu

biblia hiyo hiyo ikasema yesu ni mtu

while katika quran

waadhiri wa kikristo wanaumiza vichwa mpaka leo

ispokua tu wanaakazia vitu visivyo na msingi


kwamba sijui mtume alioa binti wa miaka sita(although its true)

kwamba mtume kasambaza uislam kwa vita

na mambo mengi


anaacha kumjua Paulo ambaye ndiye aliye uanzisha ukristo

kwani ni ukweli uliodhahili kua yesu hakuwai kuingia kanisani ila aliingia katika masinagogi (ukitakakujua ni nn fungua nyuma ya bible)

sasa mi nikwambie tu kua kuna vitu vingi vya kujua kabla ujaamua kupost ujinga kama huu mtandaoni
ilhali hajui kua dini yake ya ukristo ni dini ya kiseng**
na u qoumor

kabisa


someni kwanza kabla hamja kulupuka kupost

hata quran imesema

iqra bismillabika

na mtume kasema itafuteni elimu hata kama iko china
l
Sasa ndugu mtu kaoa binti wa miaka sita bado unamuamini tu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba kununua kesi (ndani ya mjadala)
kama mtu aliweza kutengeneza ushawishi wa kuunda islam kama ndicho chombo mbadala, anashindwaje mbinu ndogo ya kuendelea kuedit biblia?
Na kwa kuongezea mkuu adui hawezi kuangaikia kitu ambacho ni chake bali ataangakia kitu cha mpinzani wake wa kweli. Ndio maana wanajaribu kuharibu biblia lakini sio quran kwasababu tayari ni yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi Uislam unavopigwa vita dunian ungekuwa umeanzishwa na mtu au kikundi cha watu ungekuwa ushafail na kufutika kwenye uso wa dunia, bila kuonekana dalili ya historia ya uislam!

Ila kwa sbb uislam ndo dini pekee ya kweli itaendelea kudumu daima dumu!
Dini ya kweli kivipi yani? Ushaidi unao au kwasababu baba na mama yako waislamu basi na wewe umekuwa muislamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
coz ni mada ya kipuuzi aliyepost hana elimu yeyote ya tahlil(mambo ya kale na historia)

kama angekua anajua hicho kitu angejua na ukristo ulivyo anzishwa na paulo na yesu alikua dini gani

mi ndomaana nawatukana coz ni wajinga

unajua usianze ku jaji dini ya mwenzio wakati we yako huiju
Kwani mtoa mada amekwambia yeye ni dini gani?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuma utofauti wa ukatoliki na uislam...wote wafia dini (mmoja anakwambia Mungu ni muislam mwingine anakwambia yesu ameanzisha Ukatoliki)
Huku ROZALI kule TASBIHI
Angalia sheria za MAUSTADH NA MAPAROKO zinafanana
Hapa Catholic walicheza kama pele...hata BI KHADIJA ALITOKA ROMA NA ALIKUWA MKATOLIKI...NA NDIO ALIYEMPA MODI UTUME/UNABII......maana MO aliamini kuwa ni mashetani yamempanda.
SEMA WATU WANAOGOPA UKWELI....MAANA UKWELI KIUKWELI UNATISHA SANA...ILA UKWELI UNAKUWEKA HURU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanachekesha wanaosema Uislamu umeanzishwa na roma katoliki.
Mkajifunze upya kwa makini na mfanye vitu kwa uchunguzi kwa hali ya juu kabisa.
UISLAMU PEKEE NDIYO DINI YA ALLAH(S.W) NA MTUME WAKE MUHAMMAD (S.A.W).HAYO MENGINE MMEDANGANYWA NA MTAELEA KUDANGANYWA.
 
Japo ungerudi tu miaka 200 iliyopita ili kujua umri was kuolewa, usingeweza kushangaa juu ya Muhammad aliyeoa miaka 1400 iliyopita.
Sasa ndugu mtu kaoa binti wa miaka sita bado unamuamini tu???

Sent using Jamii Forums mobile app
Age Of Marriage In Medieval Times Or Paedophilia? by Nobody: 5:04pm On
May 23 , 2010
In the Medieval Times, with parental permission it was legal for boys to marry at 14 and girls at 12.
A betrothal often took place when the prospective bride and groom were as young as 7 years old and in the case of higher nobility many were betrothed as babies. But a marriage was only legal once the marriage had been consummated.
(According to the book Marriage in Medieval Times By Rachelle Carter )
Noble Women in Middle Ages
Until perhaps the 1200s it was common to marry earlier than now. For example, age 12 (and even younger) was quite common for girls. Nowadays, it would be assumed that they should be at high school or college at that age.
For girls in particular the age of marriage was much closer than now to the onset of fertility. In the 1600s the minimum legal age for marriage in England was 12. Parliament raised the minimum age for marriage (and the age of consent) to 16 in 1885
The above is just 200 years ago. Now compare it to the reality of 1200 years earlier! (with reference to 1885)
The age of consent in one of the American States was just 7 years, just 120 years ago! But the Western people did not know that and just criticized Islam and Muslims for the marriage of the Mohammed and Aisha more than 1400 years ago .
Traditionally, the age at which individuals could come together in a sexual union was something either for the family to decide or a matter of tribal custom. Probably in most cases this coincided with the onset of MENARCHE in girls and the appearance of pubic hair in boys, that is, between 12 and 14, but the boundaries remained fluid.
In the Semitic tradition , betrothal could take place earlier than PUBERTY , perhaps as early as 7-9 years, but the marriage was not supposed to be consummated until the girl menstruated and was of age. This is analogous to what is obtainable in most part of Africa
In medieval Europe , Gratian, the influential founder of Canon law in the twelfth century, accepted the traditional age of puberty for marriage (between 12 and 14) but he also said consent was "meaningful" if the children were older than seven. Some authorities said consent could take place earlier. It was this policy which was carried over into English common law. Similarly Gratian's ideas about age became part of European civil law.
Though Shakespeare set his Romeo and Juliet in Verona, the fact that Juliet was 13 probably reflects the reality in England. Her mother, who was 26 calls her almost an old maid.
The American colonies followed the English. For example in Virginia in 1689, Mary Hathaway was only 9 when she was married to William Williams.
Judges honored marriages based on mutual consent at age younger than 7, and there are recorded marriages of 2 and 3 year olds. The 17th-century lawyer Henry Swinburne distinguished between the marriages of those under seven and those between seven and puberty. He wrote that those under seven who had said their vows had to ratify it afterwards by giving kisses and embraces, by lying together, by exchanging gifts or tokens, or by calling each other husband or wife. A contemporary, Philip Stubbes, wrote that in sixteenth-century East Anglia, infants still in swaddling clothes were married. The most influential legal text of the seventeenth century in England, that of Sir Edward Coke, made it clear that the marriage of girls under 12 was normal, and the age at which a girl who was a wife was eligible for a dower from her husband's estate was 9 even though her husband be only 4 years old.
In England for example in the parish of Middlesex County, Virginia, there is a record of 14-year-old Sarah Halfhide marrying 21-year-old Richard Perrot. Of the 98 girls on the 10-year register, three probably married at age 8, one at 12, one at 13, and two at 14.
Noble Women in Middle Ages
Encyclopedia of Children and Childhood in History and Society - A-Ar.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuma utofauti wa ukatoliki na uislam...wote wafia dini (mmoja anakwambia Mungu ni muislam mwingine anakwambia yesu ameanzisha Ukatoliki)
Huku ROZALI kule TASBIHI
Angalia sheria za MAUSTADH NA MAPAROKO zinafanana
Hapa Catholic walicheza kama pele...hata BI KHADIJA ALITOKA ROMA NA ALIKUWA MKATOLIKI...NA NDIO ALIYEMPA MODI UTUME/UNABII......maana MO aliamini kuwa ni mashetani yamempanda.
SEMA WATU WANAOGOPA UKWELI....MAANA UKWELI KIUKWELI UNATISHA SANA...ILA UKWELI UNAKUWEKA HURU

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe unasemaje?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe unasemaje?.

Sent using Jamii Forums mobile app
MI NASEMA DINI ZOTE NI USANIII!!! HAKUNA ANAYEKWAMBIA NI VIBAYA KUMUUA MAMA YAKO...BALI UNAKIWA NA KUJUA TU HILO AUTOMATICALLY. SO UMEZALIWA KWA KUJUA MEMA NA MABAYA. ILA DINI INAKUFUNDISHA KUJIONA BORA ZAIDI YA KWINGINE INAKUFUNDISHA KUBAGUA MWINGINE ASIYE WA IMANI YAKO.....NA VITA ZOTE DUNIANI CHANZO NI HIZI DINI
NB:Silaha Kubwa ya shetani Dunia ni DINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MI NASEMA DINI ZOTE NI USANIII!!! HAKUNA ANAYEKWAMBIA NI VIBAYA KUMUUA MAMA YAKO...BALI UNAKIWA NA KUJUA TU HILO AUTOMATICALLY. SO UMEZALIWA KWA KUJUA MEMA NA MABAYA. ILA DINI INAKUFUNDISHA KUJIONA BORA ZAIDI YA KWINGINE INAKUFUNDISHA KUBAGUA MWINGINE ASIYE WA IMANI YAKO.....NA VITA ZOTE DUNIANI CHANZO NI HIZI DINI
NB:Silaha Kubwa ya shetani Dunia ni DINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeingia Chaka mkuu!.Watoto uyaendea mambo yenye kuwa dhuru kama vile kushika moto n.k,na kama hakuna mtu mzima karibu yao wa kuwazuia, uungua!.Ni nini basi uwapelekea kutojua ili hali wamezaliwa huku wakijua baya na zuri?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-
MI NASEMA DINI ZOTE NI USANIII!!! HAKUNA ANAYEKWAMBIA NI VIBAYA KUMUUA MAMA YAKO...BALI UNAKIWA NA KUJUA TU HILO AUTOMATICALLY. SO UMEZALIWA KWA KUJUA MEMA NA MABAYA. ILA DINI INAKUFUNDISHA KUJIONA BORA ZAIDI YA KWINGINE INAKUFUNDISHA KUBAGUA MWINGINE ASIYE WA IMANI YAKO.....NA VITA ZOTE DUNIANI CHANZO NI HIZI DINI
NB:Silaha Kubwa ya shetani Dunia ni DINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
haya maneno nishawahi kuyasikia kwa mtu mmoja anaitwa Eddie Griffin kama sikosei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kitu unachokisikia kuhusu dini/dhehebu lako, kifanyie kazi. Watu wengi tupo kwenye hizi Imani kwa kuzaliwa , na siyo kwa kujifunza na kuchagua. Na haitatokea zoote zikawa sahihi. Na kwenye familia zetu wanaamini wako sahihi , unapojaribu kuachana na dini ya familia utakiona cha mtema kuni, watakutenga.
Kwa mfano hizi habari za uislam kuanzishwa na Roman catholic zinasikika sana. Tuzifanyie utafiti tujue ukweli na mengine mengi tuyachunguze. Tatizo tunawaamini sana viongozi wetu. Kwanini tusiamini biblia inachosema/korani. Biblia/koran inaweza kuwa inasema kivingine na viongozi wetu wakasema kivingine, na sisi tunawaamini wao na blahblah zao.

Waefeso 4:5 ''Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja''
 
Sasa mkuu, hao kwenye red mbona walianzisha hicho chama mwaka 1544, wakati huo uislamu ulianza miaka ya 600? Unamaanisha kitabu kitukufu kiliandikwa kuanzia mwaka 1544? Na kama ni hivyo, inamaana waislamu walitumia nini kama kiongozi cha imani yao kabla kitabu kitukufu hakijaandikwa?

Hivi kuna mfuasi wa Ellen White aliejitokeza kujibu hili swali?
 
Back
Top Bottom