impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
- Thread starter
- #621
Uislam ulitengenezwa na Rumi jifunze ipo siku utajuaHahaha wewe unae jielewa twambie ukristo umeupata wa kuwa ni dini
Poleni sanaaaaaaa et Uislam ulianzishwa na Warumi teh teh Unahisi waweza mpotesha muislam? Uislam ulkuwepo kabla ya kuumbwa dunia...Kwan kuna pahala kwenye kitabu chako kulpoandkwa ukristo ni dini? au warumi ni dini? pole sana....Yan Uzi wako hauna mashiko kabisa....Mtu kujtia kajtoa na kusema hayo sio kgezo bal ni mipango ya kujarbu kuwapotosha watu ila uzuri waislam huwa hawateteleki na iman yao kazi ipo kwenu mnaomvaaa brayan deackon ...Kama kupotoka mlishapotoka miaka mingi na masanamu yetu acha sie tuendeleee na yetu...kama ulnunuliwa MB za bure mwambie akuongeee mashiko