Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,341
- 217,367
Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema