Mzee Chayai
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 409
- 735
Hongera kwenu KKKT, kufanya ibaada tu hakutoshi, toeni waraka na waambieni waumini wenu nini cha kuifanyia serikali hii ya kijinga kuwahi kutokea katika nchi yetu.
Angalieni Mola atakacho fanya masaa chache yajao.Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema
Kwani Maaskofu Bagonza na Mwamakula sala zao hazikupokelewa? Afu kama vipi si mkinukishe tu makamanda 😁😁😁😁Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema
Msongo wa mawazoKamjulie hali yake Gaidi huko Segerea itakuwa na maana sana kuliko kubwabwaja hapa JF tu!
Kwani Maaskofu Bagonza na Mwamakula sala zao hazikupokelewa? Afu kama vipi si mkinukishe tu makamanda 😁😆😆😆😆😁😁😁Mungu IBARIKI CHADEMA
Mungu mpiganie Mwenyekiti kisha mtie nguvu
Mungu wasamehe watesi wake kwakuwa hawajui walitendalo
Jambo Jema Kwa Taarifa Nzuri Sana
Wote Wanastahiri Kuombewa
Mwenye haki hatahukumiwa .!Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema
Yaani hawa ni watu wa ajabu sana. Wanafagilia ugaidi. Aibu na iwe kwaoMungu IBARIKI CHADEMA
Mungu mpiganie Mwenyekiti kisha mtie nguvu
Mungu wasamehe watesi wake kwakuwa hawajui walitendalo
Siku ya mwisho kila goti litapigwaHilo Kanisa la Makongoro haliwezi kufanya jambo hilo. Kumsalia Gaidi? Labda kama alitajwa tu nyumbu mkakimbilia humu eti Maombi. Acheni hizo!
Mungu ndio atakayetuongoza ikiwa kukinukisha au laKwani Maaskofu Bagonza na Mwamakula sala zao hazikupokelewa? Afu kama vipi si mkinukishe tu makamanda 😁😁😁😁
Ushamaliza zamu ya kumwagilia maua malaloni Chato. Ratiba ya kupalilia iko tayariBadala ya kwenda kumsalimia huyo Gaidi huko Segerea unatoa utopolo wako hapa JF.
Mungu ndie hakimu mkuu wa dunia,yeye aongei sana bali ukizingua anakuhamishia sayari nyingine ukapambane na magoliati uko.Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema
View attachment 1876505View attachment 1876504
View attachment 1876503
Natamani kusikia msimamo wa baba askofu Bagonza kuhusu kadhia anayoipitia Mbowe.Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema
View attachment 1876505View attachment 1876504
View attachment 1876503
Mbona ameshatoa.Natamani kusikia msimamo wa baba askofu Bagonza kuhusu kadhia anayoipitia Mbowe.
Binafsi namuomba Mungu amfanyie wepesi Mbowe, maana daaah hizo tuhuma ni Mungu tu ajuaye mtihani huu anaoupitia sahizi.
NB: Nadhani sasa watu wanaweza kuelewa tuliokuwa tunatoa tahadhari kuhusu awamu ya sita siyo wote tulikuwa MATAGA au Sukuma Gang. Tuliinusa hatari iliyokuwa mbele ya safari
😁😁😁...Mungu hahusiki na haya.Mungu ndio atakayetuongoza ikiwa kukinukisha au la
Kikolo huna kazi ya kufanya?kila siku wewe na Mbowe tu, tunataka na habari nyingine hayo ya Mbowe ni yake mwenyewe wacha tupambane na suala la kuchwanjwa au kutochanjwa, unakuwa kama wewe ndie Mnyika!Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.
Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.
Mungu ibariki Chadema
View attachment 1876505View attachment 1876504
View attachment 1876503