Kanisa la KKKT Makongoro, Furahisha Mwanza lafanya ibada ya kumuombea Freeman Mbowe, wafuasi wa Chadema wafurika

Hongera kwenu KKKT, kufanya ibaada tu hakutoshi, toeni waraka na waambieni waumini wenu nini cha kuifanyia serikali hii ya kijinga kuwahi kutokea katika nchi yetu.
 
Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.

Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.

Mungu ibariki Chadema
Angalieni Mola atakacho fanya masaa chache yajao.
 
Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.

Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.

Mungu ibariki Chadema
Kwani Maaskofu Bagonza na Mwamakula sala zao hazikupokelewa? Afu kama vipi si mkinukishe tu makamanda 😁😁😁😁
 
Waliomkamata Mbowe wanaona aibu isiyo kifani kila siku inapoisha, mateso wanayomsababishia bila kosa ni dhambi itakayowatafuna milele.
 
Mungu IBARIKI CHADEMA

Mungu mpiganie Mwenyekiti kisha mtie nguvu

Mungu wasamehe watesi wake kwakuwa hawajui walitendalo
Kwani Maaskofu Bagonza na Mwamakula sala zao hazikupokelewa? Afu kama vipi si mkinukishe tu makamanda 😁😆😆😆😆😁😁😁
 
Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.

Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.

Mungu ibariki Chadema
Mwenye haki hatahukumiwa .!
 
Leo_nimeungana_na_wanachama_wa_Chadema_Mwanza_katika_Kanisa_La_KKKT_Makongoro,_kumuombea_Mh._F...jpg
 
Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.

Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.

Mungu ibariki Chadema

View attachment 1876505View attachment 1876504
View attachment 1876503
Mungu ndie hakimu mkuu wa dunia,yeye aongei sana bali ukizingua anakuhamishia sayari nyingine ukapambane na magoliati uko.
 
Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.

Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.

Mungu ibariki Chadema

View attachment 1876505View attachment 1876504
View attachment 1876503
Natamani kusikia msimamo wa baba askofu Bagonza kuhusu kadhia anayoipitia Mbowe.
Binafsi namuomba Mungu amfanyie wepesi Mbowe, maana daaah hizo tuhuma ni Mungu tu ajuaye mtihani huu anaoupitia sahizi.
NB: Nadhani sasa watu wanaweza kuelewa tuliokuwa tunatoa tahadhari kuhusu awamu ya sita siyo wote tulikuwa MATAGA au Sukuma Gang. Tuliinusa hatari iliyokuwa mbele ya safari
 
Natamani kusikia msimamo wa baba askofu Bagonza kuhusu kadhia anayoipitia Mbowe.
Binafsi namuomba Mungu amfanyie wepesi Mbowe, maana daaah hizo tuhuma ni Mungu tu ajuaye mtihani huu anaoupitia sahizi.
NB: Nadhani sasa watu wanaweza kuelewa tuliokuwa tunatoa tahadhari kuhusu awamu ya sita siyo wote tulikuwa MATAGA au Sukuma Gang. Tuliinusa hatari iliyokuwa mbele ya safari
Mbona ameshatoa.
 
Serikali ya CCM isha-panic...suala la katiba mpya linawasumbua mno.

Mwisho wa kuilea CCM umekwisha- katiba wataitoa tu this time watake wasitake.
 
Leo tarehe 1.8.2021 ndani ya kanisa hilo kumefanyika ibada ya kumuombea Mwamba wa siasa za Tanzania Mh Freeman Mbowe ambaye amebambikwa kesi ya Ugaidi kutokana na kujitolea kwake kupigania demokrasia na haki nchini Tanzania.

Umati wa waumini umehudhuria huku sadaka za kumshukuru Mungu zikitolewa.

Mungu ibariki Chadema

View attachment 1876505View attachment 1876504
View attachment 1876503
Kikolo huna kazi ya kufanya?kila siku wewe na Mbowe tu, tunataka na habari nyingine hayo ya Mbowe ni yake mwenyewe wacha tupambane na suala la kuchwanjwa au kutochanjwa, unakuwa kama wewe ndie Mnyika!
 
Back
Top Bottom