Kanisa la KKKT Makongoro, Furahisha Mwanza lafanya ibada ya kumuombea Freeman Mbowe, wafuasi wa Chadema wafurika

Haha. Pala Kimara aliletwa Mchungaji siyo mchanga. Wachaga wote wakagoma kutoa sadaka.
Hivyo hivyo! Ndo tabia yao hiyo! kila sehemu wanajitakia wao tu! Siyo KKT tu, hata Katoliki. Uchagani hutakuta padri wa kabila jingine, hutakuta Askofu wa kabila jingine, lakini wao wako mikoa ya wengine wakiamini ni ujanja.
 
Back
Top Bottom