M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Hawa sasa ndiyo viongozi wa kiroho wa ukweli na wanaojitambua na kujua nafasi yao katika Taifa, siyo kama wale wengine wajasiriadini na wasaka tonge.
Kongole kwenu KKKT chini ya Baba Askofu Fredrick Shoo.
Natamani sana kanisa langu RC waje na tamko zito kama hili au zaidi ya hapa.
Kongole kwenu KKKT chini ya Baba Askofu Fredrick Shoo.
Natamani sana kanisa langu RC waje na tamko zito kama hili au zaidi ya hapa.