Kanisa Katoliki na migogoro ya ardhi Tanzania

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,403
2,545
Naomba nianze kwa kusema kuwa Mimi sio mpumbavu wa kuongozwa na hisia za kidini wala kikabila, kirangi au kiitikadi katika kusema nacho jisikia na ninachokiamini kama kweli.
Hivyo sipendi watu wenye mihemko ya kidini kuchangia huu uzi.

Katika kujitambua kwangu nimegundua kua, ukiachana na migogoro ya kifamilia, migogoro mwingine mkubwa na unaogharimu maisha ya watu ni migogoro ya ardhi.

Naomba kila mtu ajue kuwa "ardhi ni zawadi tuliyopewa na Mungu" ni haki ya kila mtu kumiliki ardhi na kuendesha shughuli zake katika ardhi hii ambayo sote tumepewa na Mungu aliyeisimamisha mbingu bila nguzo.

Hapa nchini kwetu TZ, nimeshuhudia migogoro mingi ya ardhi ikiusishwa na Kanisa katoliki.

Yaani raia wamekuwa wakiingia ktk migogoro ya ardhi na Kanisa katoliki cha kushangaza kwa asilimia zote Kanisa linashinda kesi nimeshuhudia watu wakinyang'anywa ardhi zao eti kisa hawana uwezo wa kushindana na Kanisa. This is unfair!!!!

Naona wanyonge wengi wakinyang'anywa ardhi zao ambazo walipewa kisheria eti kisa inasemekana ni ardhi ya Kanisa.


Waziri wa ardhi ni mtu mwenye hekima sana na ninaamini katika utendaji wako na utendaji wa boss wako muheshimiwa magufuli. Lai yangu kwenu naombeni mpitie upya hati za ardhi zinazomilikiwa na Kanisa ili watu wapewe ardhi wafanye shughuli zao za kila Siku.

Naomba haki itendeke, yasitangalie mambo ya udini. Kumbukeni ardhi ni ya Mungu sio ya Kanisa wala msikiti wala sinagogi.

Kama serikali iliweza kutaifisha mashamba ya wafanyabiashara na wawekezaji ambayo yalikuwa hayatumiki naomba pia serikali itaifishe ardhi ya makanisa yote ikiwemo na katoliki ambayo hayatumiki tupewe sisi wanyonge tuyatumie. Huu ndio usawa na haki. Kama ikishindikana naomba wapinzani na wawekezaji waliochukuliwa mashamba yao warudishiwe tu maana....

Wenu ktk ujenzi wa taifa.
Nebuchadnezzar.
 
Naomba nianze kwa kusema kuwa Mimi sio mpumbavu wa kuongozwa na hisia za kidini wala kikabila, kirangi au kiitikadi katika kusema nacho jisikia na ninachokiamini kama kweli.
Hivyo sipendi watu wenye mihemko ya kidini kuchangia huu uzi.

Katika kujitambua kwangu nimegundua kua, ukiachana na migogoro ya kifamilia, migogoro mwingine mkubwa na unaogharimu maisha ya watu ni migogoro ya ardhi.

Naomba kila mtu ajue kuwa "ardhi ni zawadi tuliyopewa na Mungu" ni haki ya kila mtu kumiliki ardhi na kuendesha shughuli zake katika ardhi hii ambayo sote tumepewa na Mungu aliyeisimamisha mbingu bila nguzo.

Hapa nchini kwetu TZ, nimeshuhudia migogoro mingi ya ardhi ikiusishwa na Kanisa katoliki.

Yaani raia wamekuwa wakiingia ktk migogoro ya ardhi na Kanisa katoliki cha kushangaza kwa asilimia zote Kanisa linashinda kesi nimeshuhudia watu wakinyang'anywa ardhi zao eti kisa hawana uwezo wa kushindana na Kanisa. This is unfair!!!!

Naona wanyonge wengi wakinyang'anywa ardhi zao ambazo walipewa kisheria eti kisa inasemekana ni ardhi ya Kanisa.


Waziri wa ardhi ni mtu mwenye hekima sana na ninaamini katika utendaji wako na utendaji wa boss wako muheshimiwa magufuli. Lai yangu kwenu naombeni mpitie upya hati za ardhi zinazomilikiwa na Kanisa ili watu wapewe ardhi wafanye shughuli zao za kila Siku.

Naomba haki itendeke, yasitangalie mambo ya udini. Kumbukeni ardhi ni ya Mungu sio ya Kanisa wala msikiti wala sinagogi.

Kama serikali iliweza kutaifisha mashamba ya wafanyabiashara na wawekezaji ambayo yalikuwa hayatumiki naomba pia serikali itaifishe ardhi ya makanisa yote ikiwemo na katoliki ambayo hayatumiki tupewe sisi wanyonge tuyatumie. Huu ndio usawa na haki. Kama ikishindikana naomba wapinzani na wawekezaji waliochukuliwa mashamba yao warudishiwe tu maana....

Wenu ktk ujenzi wa taifa.
Nebuchadnezzar.
Takbir!!!!!!
 
Yaani raia wamekuwa wakiingia ktk migogoro ya ardhi na Kanisa katoliki cha kushangaza kwa asilimia zote Kanisa linashinda kesi nimeshuhudia watu wakinyang'anywa ardhi zao eti kisa hawana uwezo wa kushindana na Kanisa. This is unfair!!!!
Evidence on record ndizo zinawafanya washinde. Sijaona mantiki yako! Na hujatoa mifano ya kesi ambazo walishinda na ukatoa uhakikisho kuwa wanyonge walishindwa kwa vile hawawezi kushindana na kanisa.
Soma kesi hiyo and fault the decision of the justices of appeal. Tubishane kwa hoja na si mihemko kama ulivyosema
 

Attachments

  • ADVERSE POSSESSION CA REGISTERED TRUSTEES OF HOLY SPIRITY SISTERS T. VS JANUARY.pdf
    2.5 MB · Views: 7
Naomba nianze kwa kusema kuwa Mimi sio mpumbavu wa kuongozwa na hisia za kidini wala kikabila, kirangi au kiitikadi katika kusema nacho jisikia na ninachokiamini kama kweli.
Hivyo sipendi watu wenye mihemko ya kidini kuchangia huu uzi.

Katika kujitambua kwangu nimegundua kua, ukiachana na migogoro ya kifamilia, migogoro mwingine mkubwa na unaogharimu maisha ya watu ni migogoro ya ardhi.

Naomba kila mtu ajue kuwa "ardhi ni zawadi tuliyopewa na Mungu" ni haki ya kila mtu kumiliki ardhi na kuendesha shughuli zake katika ardhi hii ambayo sote tumepewa na Mungu aliyeisimamisha mbingu bila nguzo.

Hapa nchini kwetu TZ, nimeshuhudia migogoro mingi ya ardhi ikiusishwa na Kanisa katoliki.

Yaani raia wamekuwa wakiingia ktk migogoro ya ardhi na Kanisa katoliki cha kushangaza kwa asilimia zote Kanisa linashinda kesi nimeshuhudia watu wakinyang'anywa ardhi zao eti kisa hawana uwezo wa kushindana na Kanisa. This is unfair!!!!

Naona wanyonge wengi wakinyang'anywa ardhi zao ambazo walipewa kisheria eti kisa inasemekana ni ardhi ya Kanisa.


Waziri wa ardhi ni mtu mwenye hekima sana na ninaamini katika utendaji wako na utendaji wa boss wako muheshimiwa magufuli. Lai yangu kwenu naombeni mpitie upya hati za ardhi zinazomilikiwa na Kanisa ili watu wapewe ardhi wafanye shughuli zao za kila Siku.

Naomba haki itendeke, yasitangalie mambo ya udini. Kumbukeni ardhi ni ya Mungu sio ya Kanisa wala msikiti wala sinagogi.

Kama serikali iliweza kutaifisha mashamba ya wafanyabiashara na wawekezaji ambayo yalikuwa hayatumiki naomba pia serikali itaifishe ardhi ya makanisa yote ikiwemo na katoliki ambayo hayatumiki tupewe sisi wanyonge tuyatumie. Huu ndio usawa na haki. Kama ikishindikana naomba wapinzani na wawekezaji waliochukuliwa mashamba yao warudishiwe tu maana....

Wenu ktk ujenzi wa taifa.
Nebuchadnezzar.
umeanza vizuri, mwisho umeharibu na kuinajisi hoja kwa ujumla. Kwahiyo wewe unataka kanisa lipokonywe ardhi yake inayomiliki ki halali wapewe wanyonge? Kwani kanisa hiyo ardhi wameshukua nayo kutoka mbinguni? Si wameuziwa?
 
Hili lijinga lijinga sanaaa. Toa evidence pumbavu zako.

Kanisa katoliki ndilo lenye watu wenye kuona mbali sanaaa duniani.

Ulisha ona kanisa katoliki linajenga vyumba vya ibada katikati ya miji ya watu?

Kanisa katoliki litabaki juu sanaaaaaa
 
Naomba nianze kwa kusema kuwa Mimi sio mpumbavu wa kuongozwa na hisia za kidini wala kikabila, kirangi au kiitikadi katika kusema nacho jisikia na ninachokiamini kama kweli.
Hivyo sipendi watu wenye mihemko ya kidini kuchangia huu uzi.

Katika kujitambua kwangu nimegundua kua, ukiachana na migogoro ya kifamilia, migogoro mwingine mkubwa na unaogharimu maisha ya watu ni migogoro ya ardhi.

Naomba kila mtu ajue kuwa "ardhi ni zawadi tuliyopewa na Mungu" ni haki ya kila mtu kumiliki ardhi na kuendesha shughuli zake katika ardhi hii ambayo sote tumepewa na Mungu aliyeisimamisha mbingu bila nguzo.

Hapa nchini kwetu TZ, nimeshuhudia migogoro mingi ya ardhi ikiusishwa na Kanisa katoliki.

Yaani raia wamekuwa wakiingia ktk migogoro ya ardhi na Kanisa katoliki cha kushangaza kwa asilimia zote Kanisa linashinda kesi nimeshuhudia watu wakinyang'anywa ardhi zao eti kisa hawana uwezo wa kushindana na Kanisa. This is unfair!!!!

Naona wanyonge wengi wakinyang'anywa ardhi zao ambazo walipewa kisheria eti kisa inasemekana ni ardhi ya Kanisa.


Waziri wa ardhi ni mtu mwenye hekima sana na ninaamini katika utendaji wako na utendaji wa boss wako muheshimiwa magufuli. Lai yangu kwenu naombeni mpitie upya hati za ardhi zinazomilikiwa na Kanisa ili watu wapewe ardhi wafanye shughuli zao za kila Siku.

Naomba haki itendeke, yasitangalie mambo ya udini. Kumbukeni ardhi ni ya Mungu sio ya Kanisa wala msikiti wala sinagogi.

Kama serikali iliweza kutaifisha mashamba ya wafanyabiashara na wawekezaji ambayo yalikuwa hayatumiki naomba pia serikali itaifishe ardhi ya makanisa yote ikiwemo na katoliki ambayo hayatumiki tupewe sisi wanyonge tuyatumie. Huu ndio usawa na haki. Kama ikishindikana naomba wapinzani na wawekezaji waliochukuliwa mashamba yao warudishiwe tu maana....

Wenu ktk ujenzi wa taifa.
Nebuchadnezzar.
Kanisa katoliki lipo kabla Nyerere na serikali yako haijazaliwa wala hii inaitwa Tanzania kuzaliwa hivyo unafikiri nani mwenye Data za kweli kati ya serikali na kanisa. Tanzania bado mbuga tupu kwanini unanga'ang'ania eneo la kanisa?.Watu wamelifuata kanisa sababu kuna shule,hospitali, Usafiri na mkusanyiko mkubwa wa watu lakini kanisa halijawaambia kuchukua eneo lao.Maeneo yote ya kanisa katoliki ndiyo maeneo ambayo yameendelea zaidi .Kanisa ni watu na hao watu wanamipango ya muda mrefu na mifupi hivyo kuacha eneo kwa muda mrefu bila shaka pamewekewa mpango wa muda mrefu.Angalia pale Msimbazi watu wamevamia eneo la kanisa kwa hoja dhaifu eti hapakuendelezwa .hivi centre vile pameshindikana?
 
Ndugu yangu,kanisa katoriki lilikuwa na msono ya mbali sana kuhusu ardhi
Wakati wanayatwaa maeneo mengi sehemu mbalimbali za dunia hii na siyo tanzania pekee,walikuwa wanahakikisha wanapata vibali vyote halali vya kiserikali na kama iliwezekana walipata na hati kabisa
Hawa ndugu walitumia ile kauli isemayo vya Mungu mpe Mungu na vya kaisari mpe kaisari,pia usisahau kwamba wanakumbuka usemi wa ZIHEDHIMUNI MAMLAKA ZINAZOTUTAWALA HAPA DUNIANI,kwa hiyo waliheshimu mamlaka za serikali kwa kuhakikisha wakinunua au kutwaaa ardhi basi wanajihakikishia kisheria kwamba document zote muhimu za kumiliki ardhi wanazo
Ndyo maana wanashinda kesi zote zinazoletwa na wale wanaovamia ardhi yao

Pia ukumbuke kanisa katoriki wanayatumia maeneo yao mengi na kuyaendeleza,ni machache sana ambayo hayatumiki na kuendelezwa
 
Ndugu yangu,kanisa katoriki lilikuwa na msono ya mbali sana kuhusu ardhi
Wakati wanayatwaa maeneo mengi sehemu mbalimbali za dunia hii na siyo tanzania pekee,walikuwa wanahakikisha wanapata vibali vyote halali vya kiserikali na kama iliwezekana walipata na hati kabisa
Hawa ndugu walitumia ile kauli isemayo vya Mungu mpe Mungu na vya kaisari mpe kaisari,pia usisahau kwamba wanakumbuka usemi wa ZIHEDHIMUNI MAMLAKA ZINAZOTUTAWALA HAPA DUNIANI,kwa hiyo waliheshimu mamlaka za serikali kwa kuhakikisha wakinunua au kutwaaa ardhi basi wanajihakikishia kisheria kwamba document zote muhimu za kumiliki ardhi wanazo
Ndyo maana wanashinda kesi zote zinazoletwa na wale wanaovamia ardhi yao

Pia ukumbuke kanisa katoriki wanayatumia maeneo yao mengi na kuyaendeleza,ni machache sana ambayo hayatumiki na kuendelezwa
Msono isomeke MAONO
 
Naomba nianze kwa kusema kuwa Mimi sio mpumbavu wa kuongozwa na hisia za kidini wala kikabila, kirangi au kiitikadi katika kusema nacho jisikia na ninachokiamini kama kweli.
Hivyo sipendi watu wenye mihemko ya kidini kuchangia huu uzi.

Katika kujitambua kwangu nimegundua kua, ukiachana na migogoro ya kifamilia, migogoro mwingine mkubwa na unaogharimu maisha ya watu ni migogoro ya ardhi.

Naomba kila mtu ajue kuwa "ardhi ni zawadi tuliyopewa na Mungu" ni haki ya kila mtu kumiliki ardhi na kuendesha shughuli zake katika ardhi hii ambayo sote tumepewa na Mungu aliyeisimamisha mbingu bila nguzo.

Hapa nchini kwetu TZ, nimeshuhudia migogoro mingi ya ardhi ikiusishwa na Kanisa katoliki.

Yaani raia wamekuwa wakiingia ktk migogoro ya ardhi na Kanisa katoliki cha kushangaza kwa asilimia zote Kanisa linashinda kesi nimeshuhudia watu wakinyang'anywa ardhi zao eti kisa hawana uwezo wa kushindana na Kanisa. This is unfair!!!!

Naona wanyonge wengi wakinyang'anywa ardhi zao ambazo walipewa kisheria eti kisa inasemekana ni ardhi ya Kanisa.


Waziri wa ardhi ni mtu mwenye hekima sana na ninaamini katika utendaji wako na utendaji wa boss wako muheshimiwa magufuli. Lai yangu kwenu naombeni mpitie upya hati za ardhi zinazomilikiwa na Kanisa ili watu wapewe ardhi wafanye shughuli zao za kila Siku.

Naomba haki itendeke, yasitangalie mambo ya udini. Kumbukeni ardhi ni ya Mungu sio ya Kanisa wala msikiti wala sinagogi.

Kama serikali iliweza kutaifisha mashamba ya wafanyabiashara na wawekezaji ambayo yalikuwa hayatumiki naomba pia serikali itaifishe ardhi ya makanisa yote ikiwemo na katoliki ambayo hayatumiki tupewe sisi wanyonge tuyatumie. Huu ndio usawa na haki. Kama ikishindikana naomba wapinzani na wawekezaji waliochukuliwa mashamba yao warudishiwe tu maana....

Wenu ktk ujenzi wa taifa.
Nebuchadnezzar.
Siyo bure, wewe utakuwa umetumwaa na umekosea njiaa.
Wenzako walimiliki hayo maeneo yakiwa mapori na hati wakapewaa na plan ya hayo maeneo wanayo.
Nenda na wewe kakamate eneo nje ya mji ujenge shule hspt vyuo uchimbe na maji , tuone kama hapataendelea.
Ukiona vinaelea ujue .........
 
Kanisa katoliki lipo kabla Nyerere na serikali yako haijazaliwa wala hii inaitwa Tanzania kuzaliwa hivyo unafikiri nani mwenye Data za kweli kati ya serikali na kanisa. Tanzania bado mbuga tupu kwanini unanga'ang'ania eneo la kanisa?.Watu wamelifuata kanisa sababu kuna shule,hospitali, Usafiri na mkusanyiko mkubwa wa watu lakini kanisa halijawaambia kuchukua eneo lao.Maeneo yote ya kanisa katoliki ndiyo maeneo ambayo yameendelea zaidi .Kanisa ni watu na hao watu wanamipango ya muda mrefu na mifupi hivyo kuacha eneo kwa muda mrefu bila shaka pamewekewa mpango wa muda mrefu.Angalia pale Msimbazi watu wamevamia eneo la kanisa kwa hoja dhaifu eti hapakuendelezwa .hivi centre vile pameshindikana?
Mkuuu umemalizaaa!!
 
Naomba nianze kwa kusema kuwa Mimi sio mpumbavu wa kuongozwa na hisia za kidini wala kikabila, kirangi au kiitikadi katika kusema nacho jisikia na ninachokiamini kama kweli.
Hivyo sipendi watu wenye mihemko ya kidini kuchangia huu uzi.

Katika kujitambua kwangu nimegundua kua, ukiachana na migogoro ya kifamilia, migogoro mwingine mkubwa na unaogharimu maisha ya watu ni migogoro ya ardhi.

Naomba kila mtu ajue kuwa "ardhi ni zawadi tuliyopewa na Mungu" ni haki ya kila mtu kumiliki ardhi na kuendesha shughuli zake katika ardhi hii ambayo sote tumepewa na Mungu aliyeisimamisha mbingu bila nguzo.

Hapa nchini kwetu TZ, nimeshuhudia migogoro mingi ya ardhi ikiusishwa na Kanisa katoliki.

Yaani raia wamekuwa wakiingia ktk migogoro ya ardhi na Kanisa katoliki cha kushangaza kwa asilimia zote Kanisa linashinda kesi nimeshuhudia watu wakinyang'anywa ardhi zao eti kisa hawana uwezo wa kushindana na Kanisa. This is unfair!!!!

Naona wanyonge wengi wakinyang'anywa ardhi zao ambazo walipewa kisheria eti kisa inasemekana ni ardhi ya Kanisa.


Waziri wa ardhi ni mtu mwenye hekima sana na ninaamini katika utendaji wako na utendaji wa boss wako muheshimiwa magufuli. Lai yangu kwenu naombeni mpitie upya hati za ardhi zinazomilikiwa na Kanisa ili watu wapewe ardhi wafanye shughuli zao za kila Siku.

Naomba haki itendeke, yasitangalie mambo ya udini. Kumbukeni ardhi ni ya Mungu sio ya Kanisa wala msikiti wala sinagogi.

Kama serikali iliweza kutaifisha mashamba ya wafanyabiashara na wawekezaji ambayo yalikuwa hayatumiki naomba pia serikali itaifishe ardhi ya makanisa yote ikiwemo na katoliki ambayo hayatumiki tupewe sisi wanyonge tuyatumie. Huu ndio usawa na haki. Kama ikishindikana naomba wapinzani na wawekezaji waliochukuliwa mashamba yao warudishiwe tu maana....

Wenu ktk ujenzi wa taifa.
Nebuchadnezzar.
MKUU KWA MANENO MAFUPI NI KUWA :HAKUNA POINT UMEYOONGEA ZAIDI YA KUENDESHA NA HISIA ZA KIDINI ULIZOANZA KUZIKATAA:
 
Back
Top Bottom