sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
kukemea ni tofauti na kuhukumu, huyu anahukumu kwa nini kanisa limruhusu lowasa na achangie kwenye kanisa lakini kukemea ni kukataza mtu asifanye maovu na kanisa linakemea hilo ila halimhukumu mtu na kumkataza asihudhulie kanisani kisa ni muovu.Uko sahihi sister ila haina maana kuwa kwa kuwa sote ni wakosefu basi tusikemee maovu. Sidhani kama Jesus alimaanisha hilo!!!!