Kanisa katoliki mmekubali kujichafua na pesa za Lowassa?

Mwakyembe ndiye alitusaliti kwa kutuficha ukweli wa Ripoti ya Richmond mpaka Lowasa akaja kuusema ukweli yeye mwenyewe mbele ya kikao cha NEC pale Dodoma na ndio maana mpaka leo zile ngonjera za Magamba zimeyuka.
Kanisa katoliki haliwezi kuentaertain watu wapuuzi kama Mwakyembe ambaye amekalia kufitinisha watu bila kutuambia ni nini anachoumwa. huyu ni mnafki.


Ndugu ile Report siku ile iliposomwa Bungeni, je, uliifuatilia??

Mbona kila kitu kiliwekwa wazi na kwenye TV alikuwa anaonyeshwa E.L akihangaika kiti cha moto. Kakunja Uso.

ULIIFUATILIA KWELI AU UNASIKILIZA USHABIKI WA MITAANI??


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Lini Kanisa katoliki limemsafisha Lowassa? Na limsafishe kwa lipi? Lowasa hajawahi kuhukumiwa popote!Hakuna mahali amewahi kuhukumiwa kuwa yeye ni fisadi! Kanisa haliwezi ingia katika mtego wa siasa! Mbinu za akina Sitta kuutafuta uraisi kwa kumchafua Lowassa kanisa haliwezi jiingiza! Embu jiulize, toka nchi hii imeumbwa fisadi ni Lowassa tu?


Mimi Sikubaliani kabisa na Kanisa Katoliki kumpa mwaliko maalumu huyu ambaye ni kiongozi wa Kisiasa. Kwa nini asishiriki kama Waumini wengine wanavyoshiriki. Je, kwani Waumini wengine nao wanapewa barua za Mwaliko au wanahamasishwa kushirikia na kuchangia hiyo hafla???

Mbona mimi ni Mkatoliki lakini sijapata barua ya mwaliko ili nikachangie?????? Zaidi Zaidi ni kuambiwa kanisani wakati wa Ibada kuwa tunatoa sadaka ya ziada kwa ajili ya kumuaga Askofu msaidizi wa Jimbo DSM. Ambyo waumini wote tunashiriki kama kawaida na hakuna mwaliko.

Sasa hii imekaaje hata E. L. apewe mwaliko kwa ajili hii na ikiwa ni kiongozi wa Kisiasa.

KANISA LINACHAGANYA DINI NA SIASA. AMBAYO KAMA NILIVYOCHANGIA HAPO AWALI KUWA NILIKATALIWA IBADA NA PAROKO KWA KISINGIZIO KUWA CARDINARY PENGO AMEKATAZA KUALIKA VIONGOZI WA KISIASA KATIKA SHUGHULI ZA KANISA.


Au yule Paroko aliyeninyima haki yangu yupo nchi gani???????


OMBI: HUU UTATA NAOMBA KAMA KUNA MWAKILISHI WA CARDINARY PENGO HUMU AU CARDINARY MWENYEWE ATUWEKE WAZI KWA HILI NDIPO BINAFSI NITAELEWA. KUCHANGANYA DINI NA SIASA.

MCHANGANYO MCHANGAYO BWANA YESU AMEKATAA X2 PESA ZA SIASA MNAPOKEA KANISANI NAPO......... MCHANGAYO HUUUO BWANA YESU AMEKATAAAA


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Dini nazo zichukuwe tahadhari katika baadhi ya mambo ...
Kanisa lisifanye kazi ya kusaidia siasa au wanasiasa kwa sababu kesho na keshokutwa litashindwa kukemea wanasiasa amabao liliwaunga mkono jana ama juzi ...

Yule askofu aliyewahi kusema Kiketwe ni chaguo la Mungu, hadi leo hajawahi kukemea udhaifu wa rais wala kukanusha kauli yake aliyowahi kuitowa hapo awali....

Kwa HAPA NAKUPA TANO MKUU!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
kwani lowasa anaenda makanisani kutubu? Ni ili akatubu lazima aarikwe?


Makanisa yote yaliyoingia kwenye mtego wa lowasa yamepotoka na yanajichimbia makaburi yake.....!

Babu dc!!


aendaye kutubu huenda mwenyewe kwani dhambi zake azijua yeye mwenyewe iweje mwenzetu walioona dhambi zake wengine hadi wanamwita kutubu?nyumba yangu imekua nyumba ya walanguzi?ipo siku mkono wake utashuka!
 
mkuu umeongea vizuri sana japo sio kwa akili! hao walokupa thanks wasije wakakupa bichwa ukajisikia na wewe umo kati ya wenye akili!

Lowassa mwizi , yes, kwa nini yuko mtaani??

ukijibu swali hili naacha kuwa member wa JF!


Mkuu naomba nikupe jibu ingawa sitopenda uache membership hapa JF kwani tutakosa michango yako mizuri.

E. L. ni mwanachama wa CCM, na ni chama kinachomiliki Dola (Polisi, Mahakama) ambayo ndiyo yenye jukumu la kumshitaki. Dola ya Tanzania kwa ule ukweli inafanya kazi kwa kupokea maagizo toka Serikalini (CCM) yaani haifanyi kazi kwa mujibu wa sheria za nchi, hii mimi nakataa.

E. L. na kundi lake ni wafadhili wakubwa wa CCM, hivyo kumshitaki kutasababisha chama kukosa ufadhili na kitayumba.

E. L. katika sakata la Richmond hakuwa peke yake bali na Mkulu pia yumo na analielewa vyema skendo lile. Hivyo ukimshitaki E. L. ina maana na Mkulu pia ashitakiwe. na ukizingatia mkulu ndiye amiri jeshi na anatoa maagizo kwa Dola.



Endapo kama Ufisadi ule waliofanya hawa ungelifanywa na Kiongozi wa Chama Pinzani, hapo maagizo yangelitoka Ikulu na kesi yake isingelienda muda kama zilivyo za EPA ambazo tumeshazisahau kutokana naukimya.

Hivyo E. L. kuwepo mitaani na ataendelea kuwa mitaani ni kutokana na sababu nilizozitaja hapo juu kwa mtamzamo wangu.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
e.l. Ni bingo!!! Ujanja ni kuwahi. Kanisa katoliki limewahi, wengine jaribuni bahati zenu bado miaka mitatu!!
 
Mkuu naomba nikupe jibu ingawa sitopenda uache membership hapa JF kwani tutakosa michango yako mizuri.

E. L. ni mwanachama wa CCM, na ni chama kinachomiliki Dola (Polisi, Mahakama) ambayo ndiyo yenye jukumu la kumshitaki. Dola ya Tanzania kwa ule ukweli inafanya kazi kwa kupokea maagizo toka Serikalini (CCM) yaani haifanyi kazi kwa mujibu wa sheria za nchi, hii mimi nakataa.

E. L. na kundi lake ni wafadhili wakubwa wa CCM, hivyo kumshitaki kutasababisha chama kukosa ufadhili na kitayumba.

E. L. katika sakata la Richmond hakuwa peke yake bali na Mkulu pia yumo na analielewa vyema skendo lile. Hivyo ukimshitaki E. L. ina maana na Mkulu pia ashitakiwe. na ukizingatia mkulu ndiye amiri jeshi na anatoa maagizo kwa Dola.



Endapo kama Ufisadi ule waliofanya hawa ungelifanywa na Kiongozi wa Chama Pinzani, hapo maagizo yangelitoka Ikulu na kesi yake isingelienda muda kama zilivyo za EPA ambazo tumeshazisahau kutokana naukimya.

Hivyo E. L. kuwepo mitaani na ataendelea kuwa mitaani ni kutokana na sababu nilizozitaja hapo juu kwa mtamzamo wangu.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

umeshindwa jibu

1. kushtaki ni jukumu la serikali na dola? umelitambua hilo lini?
2. sasa kwa nini wewe unamhukumu wakati hajashtakiwa ww uko kwenye dola ipi?
3. Hivi hao wengine unaowasema mbona haujawazuia kwenda kwenye ibada unawajua?

Nadhani majibu ya wengi humu umeona sio kila mtu anafikiria kama ww

Ukweli ni kuwa ondoa ccm madarakani hiyo ndiyo changamoto

soma signature yangu, kupoteza muda na EL siyo akili!!

wengine usiowajua ndio kabisa wanakubatiza na kukuwekea mikono kichwani

Leave catholic alone in this, they are smarter than you can imagine
 
umeshindwa jibu

1. kushtaki ni jukumu la serikali na dola? umelitambua hilo lini?
2. sasa kwa nini wewe unamhukumu wakati hajashtakiwa ww uko kwenye dola ipi?
3. Hivi hao wengine unaowasema mbona haujawazuia kwenda kwenye ibada unawajua?

Nadhani majibu ya wengi humu umeona sio kila mtu anafikiria kama ww

Ukweli ni kuwa ondoa ccm madarakani hiyo ndiyo changamoto

soma signature yangu, kupoteza muda na EL siyo akili!!

wengine usiowajua ndio kabisa wanakubatiza na kukuwekea mikono kichwani

Leave catholic alone in this, they are smarter than you can imagine


mkuu

Nitarudi kwako baadaye kidogo
 
Mnatuchanganya tu, wengine wanamuona jamaa kama "mwenye zambi" anayetaka toba,na wengine wanamuna "mtu safi"anayekubalika na chama na mahakama..
 
Mimi Sikubaliani kabisa na Kanisa Katoliki kumpa mwaliko maalumu huyu ambaye ni kiongozi wa Kisiasa. Kwa nini asishiriki kama Waumini wengine wanavyoshiriki. Je, kwani Waumini wengine nao wanapewa barua za Mwaliko au wanahamasishwa kushirikia na kuchangia hiyo hafla???

Mbona mimi ni Mkatoliki lakini sijapata barua ya mwaliko ili nikachangie?????? Zaidi Zaidi ni kuambiwa kanisani wakati wa Ibada kuwa tunatoa sadaka ya ziada kwa ajili ya kumuaga Askofu msaidizi wa Jimbo DSM. Ambyo waumini wote tunashiriki kama kawaida na hakuna mwaliko.

Sasa hii imekaaje hata E. L. apewe mwaliko kwa ajili hii na ikiwa ni kiongozi wa Kisiasa.

KANISA LINACHAGANYA DINI NA SIASA. AMBAYO KAMA NILIVYOCHANGIA HAPO AWALI KUWA NILIKATALIWA IBADA NA PAROKO KWA KISINGIZIO KUWA CARDINARY PENGO AMEKATAZA KUALIKA VIONGOZI WA KISIASA KATIKA SHUGHULI ZA KANISA.


Au yule Paroko aliyeninyima haki yangu yupo nchi gani???????


OMBI: HUU UTATA NAOMBA KAMA KUNA MWAKILISHI WA CARDINARY PENGO HUMU AU CARDINARY MWENYEWE ATUWEKE WAZI KWA HILI NDIPO BINAFSI NITAELEWA. KUCHANGANYA DINI NA SIASA.

MCHANGANYO MCHANGAYO BWANA YESU AMEKATAA X2 PESA ZA SIASA MNAPOKEA KANISANI NAPO......... MCHANGAYO HUUUO BWANA YESU AMEKATAAAA


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

kweli kabisaaa.na toba haina mwaliko!!
 
Back
Top Bottom