Kanisa Katoliki lasema ndoa zitaendelea kufungishwa ila watahusika Wanandoa na Wasimamizi wanne tu

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,438
3,333
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania anaitwa Padri Dr. Charles Kitima amefafanua tamko la Kanisa Katoliki kuzuia watu kufunga ndoa nakusema hawajazuia sakramenti hiyo ila wamezuia wale wanaotaka kufanya sherehe.

“Ibada ya kupokea Sakrament ya ndoa na kipaimara hizi shughuli zisiandamane na shamrashamra, ukishafunga ndoa kusiwepo sherehe, kinachofanyika ni mkusanyiko wa Ibada, kama unataka na sherehe subirisha” Katibu Mkuu TEC.

“Ndoa zinaendelea kufungwa, mtu amekaribia kufa huwezi mnyima Ubatizo, nyie Wachumba mmepanga kufunga ndoa April njooni Kanisani mtafunga mko wawili na wasimamizi wanne, distance mita moja moja lakini hamna sherehe” Katibu Mkuu TEC Padri Kitima.

“Tafsiri iliyotolewa na baadhi ya Vyombo vya Habari haikuwa sahihi, Askofu hakuwa na maana kwamba anasimamisha sakrament, hakuna anayeweza kusimamisha huduma za Yesu” Katibu Mkuu TEC Padri Kitima.
 
Hizi tahadhari za corona ni vituko tupu!

Hao watu wanne ndio hawawezi kuambukizana?

Kama mtu mmoja anaweza kuwaambukiza watu kumi kwa siku katika mazingira tofauti tofauti, na watu kumi nao wakawaambukiza watu mia wengine katika mazingira tofauti tofauti, seuze watu wanne wenye kila chances za kuambukizana na wakaenda kuwaambukiza wengine majumbani?

I see no point with this corona bullshits! Nawa mikono sijui sanitaiza! Upuuzi mtupu!

A contagious disease, unawaambia watu nawa mkono?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania anaitwa Padri Dr. Charles Kitima amefafanua tamko la Kanisa Katoliki kuzuia watu kufunga ndoa nakusema hawajazuia sakramenti hiyo ila wamezuia wale wanaotaka kufanya sherehe.

“Ibada ya kupokea Sakrament ya ndoa na kipaimara hizi shughuli zisiandamane na shamrashamra, ukishafunga ndoa kusiwepo sherehe, kinachofanyika ni mkusanyiko wa Ibada, kama unataka na sherehe subirisha” Katibu Mkuu TEC

“Ndoa zinaendelea kufungwa, mtu amekaribia kufa huwezi mnyima Ubatizo, nyie Wachumba mmepanga kufunga ndoa April njooni Kanisani mtafunga mko wawili na wasimamizi wanne, distance mita moja moja lakini hamna sherehe” Katibu Mkuu TEC Padri Kitima

“Tafsiri iliyotolewa na baadhi ya Vyombo vya Habari haikuwa sahihi, Askofu hakuwa na maana kwamba anasimamisha sakrament, hakuna anayeweza kusimamisha huduma za Yesu” Katibu Mkuu TEC Padri Kitima
Hii ni habari mbaya kwa shetani na timu yake (wakashifu dini & washabikia lock down)
 
Yohana mbatizaji Yule wa memba wa LB7 alileta Uzi uliopotosha taarifa iliyotolewa haya kupelekea ufafanuzi huu.
 
Fine, unapendekeza nini? Current data suggest hygiene and social distancing are working! Contagious diseases have been with us from time immemorial and have been combated in this way
Hizi tahadhari za corona ni vituko tupu!

Hao watu wanne ndio hawawezi kuambukizana?

Kama mtu mmoja anaweza kuwaambukiza watu kumi kwa siku katika mazingira tofauti tofauti, na watu kumi nao wakawaambukiza watu mia wengine katika mazingira tofauti tofauti, seuze watu wanne wenye kila chances za kuambukizana na wakaenda kuwaambukiza wengine majumbani?

I see no point with this corona bullshits! Nawa mikono sijui sanitaiza! Upuuzi mtupu!

A contagious disease, unawaambia watu nawa mkono?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu alisema mtumweusi bado yupo kwenye zile hatua za uumbwaji wa mwanadamu. Hizi kauli zinadhibitisha hili. Kule kwa madiba wanalalama wameminywa kuzika watu wao wkt huu wa korona. Wanadai waongezewe idadi ya wanaoruhusiwa kushiriki mazishi kutoka 50 iliyopo sasa hadi 150. Hii ni afrika aka 'Bara la giza'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katoliki nimewakubali Leo Kwa kauli hii....
Unafunga ndoa unasepa zako home na maisha yanaendelea hiyo nimeipenda
 
Kanisa Katoliki linajichanganya sana katika hili,Rais wa TEC alisema hakuna kufunga ndoa,wakasema agizo hilo ni jimboni kwake Mbeya,kila siku tutasikia matamko kutoka kwao.
 
Kipindi kizuri Kweli hiki kuoa aise
Humalizi hata laki mbili
Hakuna mambo ya kamati

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha huku nilipo kuna kipindi cha channel 4 wataanza kurusha live ndoa na kuangaliwa na maelfu ya watu kinaitwa Wedding in Lockdown
Baada ya kusitisha ndoa za kanisani
Yaani weeding online hii kiboko
Kweli dunia imebadilika


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nimewapenda bure wakatoliki, naamini itasaidia kutuondoa katika utumwa wa kuwa na masherehe makubwa wakati wanooana ni wawili tu! Katika hili nawapongeza wachina kuleta hii noma... kuna msemo kuwa if you can not learn in a soft way, then yuo will learn in a hard way!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa anaitwa Johnbaptist humu, nilimpinga kwenye Uzi wake wa kupotosha kuwa kanisa katoliki limesitisha ubatizo na ndoa. Anajifanya yeye anajua ukatoliki kuliko warumi wenyewe.
Hajui humu wengine ni mapadre.
Watu tumezaliwa misheni, tukakulia na kubalehe kwenye maseminari. Siyo seminary hizi uchwara za siku hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tahadhari za corona ni vituko tupu!

Hao watu wanne ndio hawawezi kuambukizana?

Kama mtu mmoja anaweza kuwaambukiza watu kumi kwa siku katika mazingira tofauti tofauti, na watu kumi nao wakawaambukiza watu mia wengine katika mazingira tofauti tofauti, seuze watu wanne wenye kila chances za kuambukizana na wakaenda kuwaambukiza wengine majumbani?

I see no point with this corona bullshits! Nawa mikono sijui sanitaiza! Upuuzi mtupu!

A contagious disease, unawaambia watu nawa mkono?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila kitu lazima kuchangia, kuna mambo mengine yanawataalam wake, ni ajabu hadi leo hujui umuhimu wa kunawa mikono, kwa sabuni kuwa ni njia bora ya kukabiriana na covid-19?!!!social distancing nayo hiitambui?!!!
 
adi rahaaaaa...msimu wa kufunga ndoa kwa gharama ndogo, kanisani ibada watu wanne tu (wazazi wanasimama kando) no wifi no kakaz....no ukumbini, mwarudi ome na kuserebukaaa 🍷
 
Hizi tahadhari za corona ni vituko tupu!

Hao watu wanne ndio hawawezi kuambukizana?

Kama mtu mmoja anaweza kuwaambukiza watu kumi kwa siku katika mazingira tofauti tofauti, na watu kumi nao wakawaambukiza watu mia wengine katika mazingira tofauti tofauti, seuze watu wanne wenye kila chances za kuambukizana na wakaenda kuwaambukiza wengine majumbani?

I see no point with this corona bullshits! Nawa mikono sijui sanitaiza! Upuuzi mtupu!

A contagious disease, unawaambia watu nawa mkono?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujui Haya mambo yalivyo ndo maana unachangia kulingana na ufahamu wako siwez kukulaumu maana hujui unachokisema ukilinganisha na Imani ya Kanisa Cathoric, Mambk matakatifu hayawezi kusitishwa kwa sababu ya korona.

Ni saws na kusema tuache kumtukuza Mungu kwa sababu ya korona hiyo haiwezekani. Kinyume cha hapo basi tutamtukuza shetani bila kutambua.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom