sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 138
Yaani nakushangaa mtoa maada unaangalia uwingi wawaumini kwa Gwajima ndio unapata kujudge kanisa katoriki..Umechelewa sana ...Sisi tunajitambua hatukurupuki..Hatuna viongozi wasiokuwa na Elim na uelewa wakutosha. endelea kuhangaika iposiku utajuatu.