Kanisa Katoliki la hamasisha waumini wake kujiandisha kwa ajiri ya serikali za mtaa

chikutentema

JF-Expert Member
Dec 10, 2012
7,695
4,947
Leo ktk Kongamano la ibada ya pamoja jimbo la Dar ikiwa ni kilele cha sikukuu ya mavuno jimbo ibada iliyoongozwa na kardinal Pengo, moja kati ya vitu walivyohamasisha watumishi hawa ni kujiandikisha kwa ajiri ya kupiga kura serikali za mtaa

My take ile kazi ya kumaliza uharamia wa watawala ndio itakuwa imeanza nadhani watumishi hawa wamejipanga sasa kama alivyo ambiwa sitta na BMK yake kuwa tutawaambia watu wetu nini cha kufanya
------------------
Up dates

Leo makanisani(katoliki) kazi ni mja tu magubiri hayakuwa marefu ila mapadri wametumia muda mwingi na hasa kanisa nililosari mimi nimeuliza sehemu nyingine hali haikuwa tofauti sana

Padri wetu kaweka msisitizo na kusema kila mtu ajiandikisha atapitia kukagua kupitia jumuiya ndogo ndogo na ole wake muumini anayekaidi kwani ni utovu wa nidham kwa mamlaka za kichungaji
Zaidi amesema tuchagua viongozi watakao tuvusha amesema msiangalie dini ila kwenye chama muwe makini(ukawa).

Hongereni viongozi wetu
 
Ha ha haa
Wanawaandaa waumini ili wawe viongozi waisaidie kupitisha pesa za wizi benki ya mkombozi ili cash flow iwe active na benki ikopesheke wafungue matawi mengi
 
Safi sana na kwenye ibada Jumapili ya leo watangaze makanisa yoote na misiktini ijumaa watangaze waumini wao wakajiandikishe na wawambie wenzao ambao hawakuwepo kanisani.
 
Na wasiojiandikisha na kutimiza wajibu wao wa kiraia bila kujali imani zao. Wasije wakalalamika baadaye maana nchi hivi sasa kila mtu ni mlalamishi hata yule alishindwa kutimiza wajibu wake wa kiraia na yule aliyekabidhiwa madaraka kwa manufaa ha umma wote wakalalamika. Sasa dawa ni kuchagua ngano kati ya pumba
 
Hilo sio tusi. Ukweli unabaki na Escrol na Benki ya mkombozi.
Joka la mdimu hilo na kansa ya nchi!
 
Safi sana na kwenye ibada Jumapili ya leo watangaze makanisa yoote na misiktini ijumaa watangaze waumini wao wakajiandikishe na wawambie wenzao ambao hawakuwepo kanisani.

Hili ndilo la muhimu kazi hii ikisimamiwa vyema hawa wezi ni walaini sana kuwang'oa
 
Na wasiojiandikisha na kutimiza wajibu wao wa kiraia bila kujali imani zao. Wasije wakalalamika baadaye maana nchi hivi sasa kila mtu ni mlalamishi hata yule alishindwa kutimiza wajibu wake wa kiraia na yule aliyekabidhiwa madaraka kwa manufaa ha umma wote wakalalamika. Sasa dawa ni kuchagua ngano kati ya pumba

Ifike mahali tuseme kulalamika sasa basi
 
Hilo sio tusi. Ukweli unabaki na Escrol na Benki ya mkombozi.
Joka la mdimu hilo na kansa ya nchi!

Ulitaka benki imuulize kila mteja umapata pesa wapi, usalama kazi yao ku trap pesa chafu wamemwachia nani hiyo kazi miaka hii?
 
Leo ktk Kongamano la ibada ya pamoja jimbo la Dar ikiwa ni kilele cha sikukuu ya mavuno jimbo ibada iliyoongozwa na kardinal Pengo, moja kati ya vitu walivyohamasisha watumishi hawa ni kujiandikisha kwa ajiri ya kupiga kura serikali za mtaa

My take ile kazi ya kumaliza uharamia wa watawala ndio itakuwa imeanza nadhani watumishi hawa wamejipanga sasa kama alivyo ambiwa sitta na BMK yake kuwa tutawaambia watu wetu nini cha kufanya

Msije na fikira potofu ...Serikali Mara nyingi hutoa matangazo yake Muhimu yasomwe kwenye nyumba Za ibada...mfano kujiandikisha Sensa ,uchaguzi ,Tahadhari Za magonjwa,Chanjo etc ukizingatia kwenye Jamii zetu hasa vijijini sehemu pekee ambayo ni rahisi kupata mkusanyiko ni makanisani au misikitini
 
Leo ktk Kongamano la ibada ya pamoja jimbo la Dar ikiwa ni kilele cha sikukuu ya mavuno jimbo ibada iliyoongozwa na kardinal Pengo, moja kati ya vitu walivyohamasisha watumishi hawa ni kujiandikisha kwa ajiri ya kupiga kura serikali za mtaa

My take ile kazi ya kumaliza uharamia wa watawala ndio itakuwa imeanza nadhani watumishi hawa wamejipanga sasa kama alivyo ambiwa sitta na BMK yake kuwa tutawaambia watu wetu nini cha kufanya

Mkuu Maharamia wa CCM mbona watakwisha kabla hata ya uchaguzi…Hii skendo ya Singa mbona CCM chali kaka mwaka huu…wenyewe ccm wanajua hilo…tembea na tv na jenerata yako siku ya juamatau…maana mboga na ugali vitamwagwa siku hiyo
 
Kanisa Katoliki ni kanisa makini sana, neno la uzima linakaa vichwani mwa watu wenye maisha mazr yanayoletwa na viongozi wenye maono, mimi muumini wenu nitajiandikisha na nitapga kura kumchagua kiongozi mwenye maono
 
fedha imetoka BOT benki ya taifa imeingia kwenye account ya mtu binafsi pale mkombozi ulitararaji BENKI MKOMBOZI ifanye nini?
 
Leo ktk Kongamano la ibada ya pamoja jimbo la Dar ikiwa ni kilele cha sikukuu ya mavuno jimbo ibada iliyoongozwa na kardinal Pengo, moja kati ya vitu walivyohamasisha watumishi hawa ni kujiandikisha kwa ajiri ya kupiga kura serikali za mtaa

My take ile kazi ya kumaliza uharamia wa watawala ndio itakuwa imeanza nadhani watumishi hawa wamejipanga sasa kama alivyo ambiwa sitta na BMK yake kuwa tutawaambia watu wetu nini cha kufanya
Kongamano na ibada!?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom