chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,947
Leo ktk Kongamano la ibada ya pamoja jimbo la Dar ikiwa ni kilele cha sikukuu ya mavuno jimbo ibada iliyoongozwa na kardinal Pengo, moja kati ya vitu walivyohamasisha watumishi hawa ni kujiandikisha kwa ajiri ya kupiga kura serikali za mtaa
My take ile kazi ya kumaliza uharamia wa watawala ndio itakuwa imeanza nadhani watumishi hawa wamejipanga sasa kama alivyo ambiwa sitta na BMK yake kuwa tutawaambia watu wetu nini cha kufanya
------------------
Up dates
Leo makanisani(katoliki) kazi ni mja tu magubiri hayakuwa marefu ila mapadri wametumia muda mwingi na hasa kanisa nililosari mimi nimeuliza sehemu nyingine hali haikuwa tofauti sana
Padri wetu kaweka msisitizo na kusema kila mtu ajiandikisha atapitia kukagua kupitia jumuiya ndogo ndogo na ole wake muumini anayekaidi kwani ni utovu wa nidham kwa mamlaka za kichungaji
Zaidi amesema tuchagua viongozi watakao tuvusha amesema msiangalie dini ila kwenye chama muwe makini(ukawa).
Hongereni viongozi wetu
My take ile kazi ya kumaliza uharamia wa watawala ndio itakuwa imeanza nadhani watumishi hawa wamejipanga sasa kama alivyo ambiwa sitta na BMK yake kuwa tutawaambia watu wetu nini cha kufanya
------------------
Up dates
Leo makanisani(katoliki) kazi ni mja tu magubiri hayakuwa marefu ila mapadri wametumia muda mwingi na hasa kanisa nililosari mimi nimeuliza sehemu nyingine hali haikuwa tofauti sana
Padri wetu kaweka msisitizo na kusema kila mtu ajiandikisha atapitia kukagua kupitia jumuiya ndogo ndogo na ole wake muumini anayekaidi kwani ni utovu wa nidham kwa mamlaka za kichungaji
Zaidi amesema tuchagua viongozi watakao tuvusha amesema msiangalie dini ila kwenye chama muwe makini(ukawa).
Hongereni viongozi wetu