Kanisa Katoliki kuwachunguza Watawa wawili ambao wamepata Ujauzito ghafla wakati wakiwa ziarani bara la Afrika

CELLULAIRE

Member
Mar 16, 2016
76
97
Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika.

Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika Mabara mengine na hawakupata Ujauzito lakini walipokuja tu Afrika wote wawili wamepatwa nazo.
 
Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika. Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika Mabara mengine na hawakupata Ujauzito lakini walipokuja tu Afrika wote wawili wamepatwa nazo.
Source?
Link?

Ila elewa mapadri sasa wameruhusiwa kuoa, wanapiga mashine kama kawaida.

 
Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika. Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika Mabara mengine na hawakupata Ujauzito lakini walipokuja tu Afrika wote wawili wamepatwa nazo.

Weka taarifa iliyojitosheleza. Kinyume na hapo, utaonekana umekurupuka. By the way, hao watawa nao ni binadamu tu kama wewe na wala siyo malaika!

Sioni kama kuna tatizo kihivyo. Zinapotokea changamoto kama hizo, wana sheria zao.
 
Weka taarifa iliyojitosheleza. Kinyume na hapo, utaonekana umekurupuka. By the way, hao watawa nao ni binadamu tu kama wewe na wala siyo malaika!

Sioni kama kuna tatizo kihivyo. Zinapotokea changamoto kama hizo, wana sheria zao.

Umekurupuka sana mazee, sasa kama wao ni binadamu kwanini wanazuiwa kuolewa na kuoa/?
Wacha wasuguliwe vizuri, tena ukute wamekutana na njemba za kikongo, mtu anasimamia kucha mpaka asubuhi
 
Weka taarifa iliyojitosheleza. Kinyume na hapo, utaonekana umekurupuka. By the way, hao watawa nao ni binadamu tu kama wewe na wala siyo malaika!

Sioni kama kuna tatizo kihivyo. Zinapotokea changamoto kama hizo, wana sheria zao.
walijijua kuwa ni binadamu sasa ikawaje wakawe watawa ,, wao wangekuwaje watawa bila wazazi wao Ku kwichi kwichi??
 
Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika. Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika Mabara mengine na hawakupata Ujauzito lakini walipokuja tu Afrika wote wawili wamepatwa nazo.
Nilisoma KITABU kimoja cha yule nabii Wa kisabato kiitwacho tumaini kuu hakika utajua pale vatcan ni pachafu kiasi gani
Hasa ukisoma ile hadithi MWANAUME LUTHER KING KATIKA ENZI ZAKE
 
walijijua kuwa ni binadamu sasa ikawaje wakawe watawa ,, wao wangekuwaje watawa bila wazazi wao Ku kwichi kwichi??

Watawa/Mapadre, na Maaskofu wa Kikatoliki, Ni binadamu tu kama sisi! Wapo wanaoweza kuishi maisha ya useja, na wapo wanaoshindwa kuvumilia.

Inapotokea mtawa/padre ameshindwa kuvumilia, huzini/huchepuka kwa siri kama tunavyozini sisi wengine! Akinogewa zaidi na hizo mambo, huacha huo Utawa/Upadre kama alivyofanya Dr. Slaa!
 
Last week.
Nawaza jinsi vibubu vyao vilivyojaa na walivyo na nagre wakikamatia lazma mtu atoke na nguo ya ndani
Mkuu sorry nje ya mada kidogo
We si ni jaji sheria kwako imekaa vyema

Nilikuwa nauliza hivi viwanafunzi vyote ni under 18 vikapeana mimba vinafungwa miaka 30 ? Vyote sheria imekaa vipi hapo
Maana kuna dogo kashaharibu huku
 
Uchunguzi rasmi umeanza kwa Watawa wawili wa Kanisa Katoliki ili kuweza kujua ni kivipi wameweza kupata Ujauzito wakati walipokuwa katika Ziara ya Kikanisa katika bara la Afrika. Na Kanisa hilo Katoliki linashangaa pia kwamba kumetokea nini wakati hao Watawa walishafanya Ziara kadhaa katika Mabara mengine na hawakupata Ujauzito lakini walipokuja tu Afrika wote wawili wamepatwa nazo.
Kanisa katoliki lapaswa kuwashona nyuzi watawa kunako papuchini au kuwakeketa ili kuondoa wasi wasi wa namna hii.

Tumsifu bikra Maria
 
Mkuu sorry nje ya mada kidogo
We si ni jaji sheria kwako imekaa vyema

Nilikuwa nauliza hivi viwanafunzi vyote ni under 18 vikapeana mimba vinafungwa miaka 30 ? Vyote sheria imekaa vipi hapo
Maana kuna dogo kashaharibu huku
under 18 ni mtoto na wanaongozwa na Sheria ya mtoto., LAW OF THE CHILD ACT, 2009 na kanuni zake za 2016.
Atapewa adhabu ndogo kama sheria hiyo inavyosema na si kufungwa kama akina babu seya waliovilambisha vitoto viddogo koni zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom