Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Wadau nisiongee mengi, inakuwaje uwe na waangalizi 40000 huku vituo vikiwa zaidi ya Elfu 70, kwa maana hawakuwa na waangalizi vituo zaidi ya elfu 30.
Sasa hiki kiburi cha kumjua mshindi halali kinatoka wapi wadau?
Sasa hiki kiburi cha kumjua mshindi halali kinatoka wapi wadau?