Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,305
- 772
Jamani hapa kinachotakiwa kwangu ni ushauri wenu tu basi.
Nikirejea nyuma kidogo kuna yule mdada niliyewahi kuwapa story zake hapa kuwa nilimlipia nauli kwenye daladala then jamaa yake akanirudishia shs Elfu 5, baada ya siku kadhaa tukaonana tena akaninunulia na bua moja ya kusindikiza lunch, baadae akanitambulisha tena kwa jamaa yake.
Jamaa akaniangalia kwa dharau sana hadi nikatamani kumnasa makofi baadae nikagundua kumbe dharau zake ni kwa sababu anamiliki bastola.
Hiyo sio habar niliyokuja nayo leo...hapo nilikuwa najaribu kuwarudisha nyuma ili muelewe ninachotaka kukiuliza kwenu, kama mtakumbuka yule mdafada alinipa simu yake nikaandika namba za simu yangu.
Sasa leo kwenye saa 5 hivi asubuhi kanipigia na kuniomba kuwa nifanye niwezavyo lakini nihakikishe kesho tunaonana, sasa hicho ndo ninachoomba ushauri kwenu wakuu, hivi niende au nisiende maana nahofia isijekuwa naingizwa kwenye mtego mbaya.
Nikirejea nyuma kidogo kuna yule mdada niliyewahi kuwapa story zake hapa kuwa nilimlipia nauli kwenye daladala then jamaa yake akanirudishia shs Elfu 5, baada ya siku kadhaa tukaonana tena akaninunulia na bua moja ya kusindikiza lunch, baadae akanitambulisha tena kwa jamaa yake.
Jamaa akaniangalia kwa dharau sana hadi nikatamani kumnasa makofi baadae nikagundua kumbe dharau zake ni kwa sababu anamiliki bastola.
Hiyo sio habar niliyokuja nayo leo...hapo nilikuwa najaribu kuwarudisha nyuma ili muelewe ninachotaka kukiuliza kwenu, kama mtakumbuka yule mdafada alinipa simu yake nikaandika namba za simu yangu.
Sasa leo kwenye saa 5 hivi asubuhi kanipigia na kuniomba kuwa nifanye niwezavyo lakini nihakikishe kesho tunaonana, sasa hicho ndo ninachoomba ushauri kwenu wakuu, hivi niende au nisiende maana nahofia isijekuwa naingizwa kwenye mtego mbaya.