Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,228
- 88,059
Nilikua simjui. Wakaja rafiki zangu wakasema twende top garage. Njia ya kwenda top garage kutokea Kinondoni tunapita kwake. Alikua ametoka safari akasema tushuke akaweke mizigo ili tuwe free. Kuingia kwake sasa ikawa kosa. Yaani kwanza alivyoniona tu utasema mtoto kaona mama yake. Sasa kufika kwake akaona nafasi ndo hii.Mzigua90 saa9 usiku kweli upo nyumbani kwa mwanaume? Daaa ndio mana sipendagi msichana wangu awe na urafiki na mwanaume.. Hivi unategemea nini hata kama ingekuwa Mimi na unavutia ningetaka mzigo tu..
Duuu saa 9 usiku si muda wa chakula kabisa huo tena mvua inanyesha.
Ulichofanya kumnyima mwenzio ni uchoyo...