Kaninyima namba ya simu ila mzigo kanipa simuelewi

Ukikuta naye usimwambie ishu za kukupa namba fanya kama umeshapotezea au kusahau. Sasa mkiwa mnapovunjia amri ya 6 ficha simu yako then badae anza kuitafuta kuwa kama ume panic hivi hujui kama ulikuwa nayo then ghafla mwombe simu ujibipu

Akikunyima basi huyo ni hatari sana kwako achana naye maana Vaselin au kifo kinakusubiri mahali
Unajibip simu ina lock? How?
 
Jamani huyu manzi jana tena nimekutana nae nimemgalagaza ile mbaya imefika muda wa kumuambia namba ya simu kaniambia tena hana simu wakati juzi alikuja na simu, yaani jana kidogo nimchape makofi. Kaondoka tumenuniana sijui kama atanipa tena.
 
Jamani huyu manzi jana tena nimekutana nae nimemgalagaza ile mbaya imefika muda wa kumuambia namba ya simu kaniambia tena hana simu wakati juzi alikuja na simu, yaani jana kidogo nimchape makofi. Kaondoka tumenuniana sijui kama atanipa tena.
Ulikutana nae vipi??
 
Sawa Sasa we unataka namba ya nn wakati unajua pakumpata? Au unataka uoe?
Sasa yeye anakuja pale kwa manunuzi yake na mimi nakuja pale kwa manunuzi yangu kukutana ni kwa kubahatisha. Nataka niwe na uhahika wa mbunye muda wowote nikimuhitaji. Hataki kunipa namba yake.
 
Ukisoma tu kwa haraka inaonesha huyo si mkeo, si demu pia...
Sasa sijui walalama nini
 
Sasa yeye anakuja pale kwa manunuzi yake na mimi nakuja pale kwa manunuzi yangu kukutana ni kwa kubahatisha. Nataka niwe na uhahika wa mbunye muda wowote nikimuhitaji. Hataki kunipa namba yake.
Ahaa Ukiona hivyo ana mtu wake anaishi nae na hataki usumbufu anaona labda utakuja kumuharibia
 
Jamani huyu manzi jana tena nimekutana nae nimemgalagaza ile mbaya imefika muda wa kumuambia namba ya simu kaniambia tena hana simu wakati juzi alikuja na simu, yaani jana kidogo nimchape makofi. Kaondoka tumenuniana sijui kama atanipa tena.

Naona watu wengi hawakuelewi, lakin mi nlivyokuelewa ni kwamba huyo manzi umemwelewa yaan ndo maana unapata shida kuhusu mawasiliano yake, km ishu ingekuwa ni kumtia tu trust me usingepata tabu hiyo kuna watu wanakulana kimahasira miaka nenda rudi hata majina hawajuani wala namba hawana. Nakushaur ufanye uchunguzi wa kutosha kuhusu huyo dem kuna mawili.
 
Kuna manzi simuelewi sijui ana agenda gani yani nimemsomesha hadi kanipa mzigo nikamuomba namba ya simu kakataa katakata, tukionana ananipa mzigo bila tatizo ila namba yake amegoma kabisa kunipa.

Huyu atakua ana shida gani? Kuna mda huwa natamani nimpigie napata shida sana yani hadi nikutane naye ndio anipe mzigo.
Kila ukienda kumla uwe na kilainishi lolote laweza kukutokea,utakuja kunishukuru
 
Back
Top Bottom