Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 871
- 656
huyu jamaa huwa simuelewi kabisa.mkuu ina maana wewe kazi yako ni kufukua makaburi tu?
huyu jamaa huwa simuelewi kabisa.mkuu ina maana wewe kazi yako ni kufukua makaburi tu?
Hapa ndo huwa wanaharibu wanasahau kuwa mwanamke naye ana moyo...na siku akisema enough is enough ndo itakuwa mwisho wa mahusiano yenuHuyo hata akioa atamsaliti mkewe tena kwenye kitanda chao. Baadhi ya wanaume hawajui kucheat yaani ni dharau sana kucheat na best wa mpenzi wako. Haya basi..alishindwa kwenda nae sehemu nyingine wakamalizane huko?
Mi wala simuonei huruma, na huyo bidada ukute anaandaa revenge ya kufa mtu, waache tu wamsifie kuwa ni wife material.
Hlf wanaume walivyo wajinga wanapenda kupata mke wa hivyo ili aendeleze upuuzi akiamini kwamba mke hawezi fanya lolote atamsamehe tu ht afanyeje
Hapa ndo huwa wanaharibu wanasahau kuwa mwanamke naye ana moyo...na siku akisema enough is enough ndo itakuwa mwisho wa mahusiano yenu
Mleta Uzi Nina imani hata akikusamehe bado utarudia huo upuuzi tu maana huenda ndo tabia yako.
Halafu anajipa moyo atasemehewa tu maana Leo au kesho amesamehewaAkishasamehewa anasahau kila kitu anarudia yale yale
Hapa ndo huwa wanaharibu wanasahau kuwa mwanamke naye ana moyo...na siku akisema enough is enough ndo itakuwa mwisho wa mahusiano yenu
Mleta Uzi Nina imani hata akikusamehe bado utarudia huo upuuzi tu maana huenda ndo tabia yako.
Huyo mwanamke ana chembe za umalaika.....haujamuoa..umecheat na bado anafua na kupika!??
Ufe tu kwa ukimya wake
hahahahaahahah, kweliMpaka hapo ni liongo tu....mwanzo nasoma chai yake kuna kitu nilihisi btn the lines!
Ukute yuko kwa shemeji anacheki kipindi cha ' cheaters' then analeta matukio huku jf
hahaahhah, huwa tuna enda na ushahidi. hahahahahah. Nimefukua threads zake. hahahahaha...umetindinganya kila kitu NAHUJA
Hapo inategemea mtu na mtu kunawanaume wanawasamehe wake zao wakiwafumania au hujawahi ona ww?.Ndo maana ingekuwa mm ningewafukuza wote tena ningekuwa mkali kweli alafu baadae ningemtafuta bby mama wangu maisha yasongeSasa mkuu nikuulize unafikiri kwann mwanamke akichepuka huachwa? Na mwanaume akichepuka husamehewa?
hahaahhah, huwa tuna enda na ushahidi. hahahahahah. Nimefukua threads zake. hahahahaha
Hongera kwa utunzi uliotukuka.sasa mbona uli fail sana. maan watu waliendelea ku comment tu pasipo kusita toka ume jip ahiyo kazi angalia pages bado ziliendelea tu ku ongezeka. na watu wametoa maoni na ushauri wao kitu ndicho nlichohitaji. you have totally failed. the mission isnt completed na bado wenye uelewa wame ignore na kutoa ushauri wao nasaha. . umefukua ila watu wamezifukia.... yaani hawajajali. umejipa kazi isiyo na malipo.
mtoe out agiza kinywaji chake pendwa tia konyagi nunua kitimoto rudi home zama chumvini hata ya uongo tia dushwe lisaa ... busu denda usisahau, vizia ile anakojoa usitoe dushelele mwambie jinsi unampenda. singizia shetani habari kwisha-
Hongera kwa utunzi uliotukuka.
hayanashukuru sana. na bado... karibu uwe mtunza mafaili wangu.
haya