Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,141
- 20,785
Usiogope! SILENT MEANS YES.! Hapo kaka ni hivi, ni ngumu sana kwa mtoto wa kike au hata kwangu mimi kumkubali mtu hasa kwa mazingira uliyoyajenga(sms)! Ila jua kuwa angekua wa kukukataa angeshakujibu ila huyo ni wako, mpigie simu omba mtoko, then malizia kazi. Umeanza vizuri thou imekua ni so official..!