Pezzonovante
JF-Expert Member
- May 1, 2008
- 638
- 41
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
Hiyo ndo ilikuwa zangu ukiwa rafiki yangu then unambie me love u ndo mwisho wa mawasiliano ha ha ha
Wakuu hakika mmenipa changamoto za kutosha na niwashukuruni sana, nimeongea naye dakika chache zilizopita. Tumepanga tukutane kwa maongezi zaidi, japo amedai nimempa wakati mgumu na anahoji nilikuwa wapi miaka yote.
Si unaona sasa mkuu, ungeumia bure kwa mawazo, angalau sasa umepata ahueni. Sasa jipange kidume uandae hoja za maana.
Wakuu hakika mmenipa changamoto za kutosha na niwashukuruni sana, nimeongea naye dakika chache zilizopita. Tumepanga tukutane kwa maongezi zaidi, japo amedai nimempa wakati mgumu na anahoji nilikuwa wapi miaka yote.
haya mambo ya kutongoza kwa sms dah, kama watoto wa primary bana
Si unaona sasa mkuu, ungeumia bure kwa mawazo, angalau sasa umepata ahueni. Sasa jipange kidume uandae hoja za maana.
Acha woga wewe, mtoto wa kiume lazima ujiamini. Umefanya upumbavu kumtumia sms kqa issue muhimu kama hiyo, ulipaswa kutafuta muda wa kutosha umtoe outing ya nguvu mnaenda sehemu tulivu then mnakaa na kuongea vizuri mkiwa mmetulia sehemu isiyo na bughudha then unaongea naye vizuri kwa kujiamini huku ukimtazama usoni.
Ktk hayo maongezi yenu jitahidi sana kumhakikishia juu ya mustakabali wa maisha yake ya baadaye ktk uhusiano wenu, hayo mambo kwao ni muhimu sana.
Kuwa kwake kimya kusikutishe, huenda amepatwa na mshtuko coz haamini kama uko serious ama lah, na pia njia ulotumia ni ya kitoto zaidi inamfanya akuone kuwa hauko serious. Kama unaweza mpigie simu.
tindikali.... nimeongea naye dakika chache zilizopita. Tumepanga tukutane kwa maongezi ...amedai nimempa wakati mgumu na anahoji nilikuwa wapi miaka yote.[/QUOTE said:Mdogo wangu, nakutakia heri ila jiandae kwa majibu yoyote. Hofu yangu ni kuwa huenda ana mtu tayari na kazi yako ni kuprove you are the best. Ukweli ni kuwa kwa wadada mnapokuwa marafiki kwa muda mrefu bila kumwambia feelings zako unakuwa kama ndugu kwake.
Pia huenda alisubiri kauli yako muda mrefu lkn hukuonyesha kuwa na interst.
Ni rafiki yangu toka o'level, hatujawahi kwaruzana wala kupishana kauli. Kwa kipindi chote nimejitahidi kumuonesha kwa vitendo kwamba namjali na kumpenda. Miaka imepita tukiwa marafiki na nimeweza kumfahamu vizuri kitabia. Hivi majuzi niliamua kuvunja ukimya, na nimwandikia hivi "naomba unielewe ninachotaka kusema, sidhani kama itakuwa busara kwangu kumung'unya
maneno, kwa kifupi nakuhitaji uwe mpenzi wangu, sisemi haya kwa bahati mbaya kwani najua nini nafanya na
kumaanisha. Kumbuka ni ngumu kuukwepa ukweli, hata nisingesema leo basi ningesema kesho, naomba hekima na busara itawale maamuzi yako".....toka nimemtumia hiyo text kauchuna kimya wakati siyo tabia yake, sifikiri kama nimekosea kumwambia niliyomwambia, lakin nifanyeje ili
nimlete katika mud yake ya mwanzo, maana nahisi hata urafik unaweza kwisha. Ushaur wenu wadau unahitajika.
Timing, timing.... kila siku tunasema hapa, too early or too late is very bad kumtongoza demu, meaning inategemea na demu mwenyewe, wako wale wa maharage ya mbeya hao hawafai leo leo unakula mzigo sio hao naongelea, nasema mwanamke anayejiheshimu ukimtaka usiwahii sana au kuchelewa sana kumtongoza, sijui niseme vipi kuhusu timing ya kumtongoza na kumpata, mm najua, pia ushapu wa mwanaume, if u gooooo around the bush saaana humpati demu, SO THEIR IS A TIME WHEN U KICK A BALL U SCORE A GOAL, hapa ndio utundu unatakiwa, ndicho nisemacho, hapa demu hachomoi, kwani nitakuwa nimeshamandaa kisaikolojia sometime, kumfurahidha kwa vitu vidogo vidogo, then msupport, feel her, usichukue muuuda hapa, then shooot kumtongoza, kwani mazingira kabla hata ya kumwambia utayaona yamekamilika, then akikubali usichukue muda hata same day kaleeeee mzigo, tunawafundisha daily bana, gday