Kaniambia ''Hujui Kuvaa''

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,097
Nimeamua kuanzisha uhusiano wa kimataifa na kasamsingi kamoja. Tabu kanalalamika sijui kuvaa na mimi nimejitahidi kuvunja kabati lakini wapi. Hivi ndivyo inavyokuwa au?...:pound::angry::A S 20:
 
mpaka nitakapojua hujui kuvaa nini ndo ntaweza kuchangia, for the time being :shut-mouth:
 
Hebu tueleze wakati anakueleza hayo mlikuwa mmejiandaa kwenda wapi labda? church? disco? Msibani? etc
 
Hebu tueleze wakati anakueleza hayo mlikuwa mmejiandaa kwenda wapi labda? church? disco? Msibani? etc

:confused2::confused2::confused2::confused2:

Now you make me feel like this banana!!!

banana.jpg
 
Mshirikishe next time ukinunua nguo au mpe nafasi akushauri kuvaa. Lazma uwe na swaga kama unavavaa kama watoka kijijini lazima utakuwa unampa bonge la sooo kwa rafiki zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom