Habari wandugu,
Leo ni siku iko tofauti si kidogo, imetokea nikiwa sitarajii rafiki wa mpenzi wangu kaniletea bahasha najuwa ni zawadi kumbe ni line za simu na kaujumbe kakuachwa kenye maneno mafupi just simply.
NIMECHOKA NA MAHUSIANO NIMEAMUA KUWA SINGLE
Madada wa Arusha mbona changamoto hivi? Week days unamfrastrate mwenzio kiasi hiki yaani nahisi kila hali. Sasa kwa notice ya haraka hivi real nashindwa hata nitamjibu nini, na kwa njia gani line zake kanipa zote amepania mpaka basi.
Hebu nichachueni akilu maana kama siamini vile. Kupenda sana mwisho wake mbaya asee. Nahisi pia bora angenipa habari hizi weekend week days naona kama adhabu flani sasa nitajibanza wapi nilie wakati kazi ni nyingi.
Mpaka jasho lanitoka wadada wa Arusha ni sumu.
HIVI HALI KAMA HII NAPAMBANAJE NAYO NSIDHURIKE
Leo ni siku iko tofauti si kidogo, imetokea nikiwa sitarajii rafiki wa mpenzi wangu kaniletea bahasha najuwa ni zawadi kumbe ni line za simu na kaujumbe kakuachwa kenye maneno mafupi just simply.
NIMECHOKA NA MAHUSIANO NIMEAMUA KUWA SINGLE
Madada wa Arusha mbona changamoto hivi? Week days unamfrastrate mwenzio kiasi hiki yaani nahisi kila hali. Sasa kwa notice ya haraka hivi real nashindwa hata nitamjibu nini, na kwa njia gani line zake kanipa zote amepania mpaka basi.
Hebu nichachueni akilu maana kama siamini vile. Kupenda sana mwisho wake mbaya asee. Nahisi pia bora angenipa habari hizi weekend week days naona kama adhabu flani sasa nitajibanza wapi nilie wakati kazi ni nyingi.
Mpaka jasho lanitoka wadada wa Arusha ni sumu.
HIVI HALI KAMA HII NAPAMBANAJE NAYO NSIDHURIKE