The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 954
- 1,035
Habari wakuu kuna demu mmoja hivi ni kama mshikaji wangu bana kumbe yule demu alikua ananizimia kinima noma sema ajawahi kunambia bana sasa siku ikipita sijamtumia text anaumia kinoma noma yaani ... akaona bora Tuu aniblock ili awe na Amani kwa maana akiniiona online halafu nisipomtext anaumia sana so akanona eti aniblock eti jamani kweli wanwake wana mabmbo ya ajabu sana ha ha h ah if you love someone tell him....
akadai anaipenda etii................................
Nimewasilisha.....
Na humu yumooo
akadai anaipenda etii................................
Nimewasilisha.....
Na humu yumooo