mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Mbona unatuuliza sisi,subiri huo uchunguzi wako ukamilike ndo utuambie huo umbea wakoMbona TV na radio zote zimezungumza sana kashfa yake na wabunge wenzie kudai Kwa mkurugenzi Gairo rushwa milioni 30 ili kamati yao isimlipue?
Walisomewa mashtaka baadae DPP akaondoa kesi.
Ila kuna tetesi ambazo tutaziweka baada ya uchunguzi kuhusu hatua hiyo ya kuondoa nini kilikua nyuma ya pazia
Sent using Jamii Forums mobile app