Mh. Kangi Lugora yawezekana tukafika kwenye hatua ya kupumzika kutuma rambirambi kuhusiana na ajali za barabarani lakini kufika hapo mlima wa kupanda slope yake ni balaa. There's a very steep mountain to climb.
Angalia haya kwa wenzetu:
US lawmaker caught speeding tells cop he often does so
Kumbuka katika zilizokuwa reported peke yake, jana wamekufa wawili wakiwa na gari ya serikali (SM).
Leo affiliate wa channel Ten kafariki na gari binafsi.
Kufika katika hatua hiyo ambayo sote tunaitamani sana ya kumaliza ajali, sense nzima ya slope ninayoiongelea ni kama hii hapa:
1. Karibisha maoni ya wadau wakupe uzoefu. Penye wengi hapa haribiki Jambo.
2. Jifunze uzoefu wa nchi nyingine na ajali. Tanzania si kisiwa. Nchi nyingine utaratibu wao barabarani ukoje? Uko kama kwetu? Je kwetu ni bora zaidi? Je una mapungufu?
3. Rekebisha vipaumbele vya polisi tokea kushinikiza na kukusanya mapato vs usalama barabarani kama msingi wao wa kwanza wa kuwapo kwao kama institution.
4. Wekeza katika kuona kuwa haki inatendeka kivitendo kila linapohusishwa jeshi la polisi. Kwa nini semi hizi ziendelee kuwapo?: " kuingia polisi ni bure bali kutoka kwa pesa." Matumizi ya nguvu peke yake kushinikiza mambo hakujengi.
5. Kuwa macho na polisi watoa matamko na hasa yanayo kinzana na sheria zilizopo. Simamia polisi kusimamia sheria na si kutunga sheria kupitia katika matamko yao. Asiwepo aliye juu ya sheria.
Ni ukweli usiopingika kuwa ukifungua milango utapata michango ya mawazo itakayopalilia ahadi yako kuhusiana na ajali kuwa ya mafanikio.
Mafanikio yako katika hili ni mafanikio yetu.
Hatupo nyuma yako bali tuko bega kwa bega nawe, kama alivyopenda kusema hayati Kenyatta (rip).
Angalia haya kwa wenzetu:
US lawmaker caught speeding tells cop he often does so
Kumbuka katika zilizokuwa reported peke yake, jana wamekufa wawili wakiwa na gari ya serikali (SM).
Leo affiliate wa channel Ten kafariki na gari binafsi.
Kufika katika hatua hiyo ambayo sote tunaitamani sana ya kumaliza ajali, sense nzima ya slope ninayoiongelea ni kama hii hapa:
1. Karibisha maoni ya wadau wakupe uzoefu. Penye wengi hapa haribiki Jambo.
2. Jifunze uzoefu wa nchi nyingine na ajali. Tanzania si kisiwa. Nchi nyingine utaratibu wao barabarani ukoje? Uko kama kwetu? Je kwetu ni bora zaidi? Je una mapungufu?
3. Rekebisha vipaumbele vya polisi tokea kushinikiza na kukusanya mapato vs usalama barabarani kama msingi wao wa kwanza wa kuwapo kwao kama institution.
4. Wekeza katika kuona kuwa haki inatendeka kivitendo kila linapohusishwa jeshi la polisi. Kwa nini semi hizi ziendelee kuwapo?: " kuingia polisi ni bure bali kutoka kwa pesa." Matumizi ya nguvu peke yake kushinikiza mambo hakujengi.
5. Kuwa macho na polisi watoa matamko na hasa yanayo kinzana na sheria zilizopo. Simamia polisi kusimamia sheria na si kutunga sheria kupitia katika matamko yao. Asiwepo aliye juu ya sheria.
Ni ukweli usiopingika kuwa ukifungua milango utapata michango ya mawazo itakayopalilia ahadi yako kuhusiana na ajali kuwa ya mafanikio.
Mafanikio yako katika hili ni mafanikio yetu.
Hatupo nyuma yako bali tuko bega kwa bega nawe, kama alivyopenda kusema hayati Kenyatta (rip).