Turudi studio kidogo kupata Burudani kutoka Kangi Music Entertainers
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mimi siyajui, ila ninachojua tu, waziri yoyote kama hakuliani na Serikali yake anawajibika kujitoa kwanza kwenye Serikali hiyo kabla hajaipinga hadharani.Uonavyo wewe kipindi akiwa waziri unahisi alikuwa anafuata kanuni za Uchumi ambazo tunaweza kusema yeye anaufahamu mzuri wa masuala ya Uchumi kumzidi Raisi?
Na kweli ni "sanaa" na bado haziwakinai !Heeee bado yupo bungeni? Ile kesi ya uhujumu uchumi imeishia wapi tena au ilikuwa muendelezo wa sanaa za Magufuli kwa wanyonge?
Asingethubutu kuwa na ujasiri wa kusema chochote kama ushahidi anauona upo. Ni 'sanaa' kama alivyoeleza mkuu 'sijjijui'.Huyu bado yupo uraiani? Au Double standards.
Au ushahidi bado haujakamilika.
Kwani huyu ni Lugola yupi ni yuleyule wa kukata mauno na kutembea na ilani ya ccm au huyu ni mwingine?
Mkuu nami ningependa fahamu.. Maana Siamini.Hii ni ya lini?
Kusifu kunaendana na kutegemea kupata chochote yaani pesa au teuzi.After being out of the palace ndiyo anakumbuka? Yeye alikuwa anamshauri nini zaidi ya kuvaa mikaunda suti ya kijita na kuabudu Ilani ya CCM?
Yeye alikuwa akisujudia kila Jambo kwa kuimba na kusifu.
Wanafiki hawa watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Africa ni tofauti maamuzi ya wengi huwa ayafatwi bali ni kile akitakacho mtawala.Ingekuwa ni taasisi tusingekuwa masikiniRaisi ni taasisi sio mtu mmoja..haiweziakani taasisi nzima isiwe na mtaalamu wa mambo ya uchumi..
Sent using Jamii Forums mobile app