Uchaguzi 2020 Kangi Lugola: Nina makosa gani hadi nisigombee Ubunge?

mkiluvya

JF-Expert Member
May 23, 2019
802
725
1592405018175.png

"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
 
Kumekucha
Kumekucha
Naona Sasa Mpaka Ufie Kwenye Harakati
Changamoto Kwa Vijana
Jitokezeni Mzee Aangushwe
 
Atwambie ni kwanini mh rais alimwambia kuwa hata hakutakiwa kuudhuria kikao chake pale siku amemtimua kazi
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
 


View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
 
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Vipi yule muuza magazeti ya kufungia vitumbua msemaji wa lumumba nae si analitaka Hilo Jimbo ili aje awe waziri wa Mambo ya ndani ili awashughulikie wapinzani,itakuwaje Sasa.
 
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Cheki mdomo wake ulivyo , utafikiri unapuliza moto wa kuchomea mahindi shambani
 
Back
Top Bottom