malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,638
Any way. Katika mijadala ndio kuna suluhisho la jambo. mara nyingine majibu yanapatikan akwenye mijadala hiyo. Kukataza ni kuminya upenyo wa kujua mengi nje ya pazia. Tusijiwekwe na kufungwa ndani ya box. kwenye mijadala mnaweza mkakusanya ushahidi wa kuwasaidia kuweza kumpata MO.
Ushauri tu na sio mjadala
Ushauri tu na sio mjadala