Kangi Lugola kuvua nguo kunaweza kumaliza kashfa hii ya jeshi la polisi?

Feb 18, 2019
50
532
Na Thadei Ole Mushi.

Huu ni utaalamu hauhitaji mtu avue nguo, tunahitaji utetezi wa kitaalamu.

UTAALAMU UNASEMAJE?. Ili uingize ku import mzigo wowote bandarini lazima uwe na Document zifuatazo kutoka kwa shipper/exporter BILL OF LADING, CERTIFICATE OF ORIGIN, SALES INVOICE, EXPORT PERMIT, INSPECTION CERTIFICATE, PACKING LIST n.k.

Lakin mizigo kama pamba, katani, sigara, tumbaku, nguo n.k zimekuwa classfied as dangerous cargo chin ya IMO- IMDG Code. (waweza kugoogle kujiridhisha. Nguo ziko code no 9.5. Hata upakiaji ndan ya mel lazima container zikae juu ya zingine na lazima zitenganishwe.

Baada ya containers kufika katika nchi husika na kabla ya kupakuliwa na kama zina ulazima wa kubaki ndan ya container basi isiwe zaid ya 90 to 120 days na containers must be stored in a condition that do not exceed 23 centgrade with a relatively humidity 55%. Hivyo kwa hali ya tz ni ngumu sana nguo kukaa ndan ya containers zaid ya mwaka zikavaliwa tena.

#Swali la pili ni who is owner of the empties containers? namaanisha containers zenyewe tofaut na kilichomo ndani. Je mali ni ya supplier, jesh la police au shipping line? kama ni mali ya supplier amewezaje kuacha containers zake pala kwa kipind chote hicho? kama ni za shipping line zimewezaji kukaa pale kwa miaka yote hiyo na ni nani analipia container demurrage zaid ya $1200 kwa mwezi per container? kama ni mali ya police je mzabuni alizichukua zikiwa empties aka zi export nje then zikapakia mzigo na kurud? je anayo empties bill of lading ya kuship out hizo empties? we call it HOUSE/HOUSE BILL OF LADING.

TUKATAE UBABAISHAJI.

Watanzania sio wajinga kwa kiwango hicho na hatuna shaka na Uprofesa wa CAG..... Tusimwachie CAG huu ulinzi wa Fedha zetu, yeye kashika Gobore sisi kwa usomi wetu tumsadie kwenye Kuwaumbua hawa wanasiasa.
Hatuhitaji kuona watu wakitembea Uchi nchi hii, hatuhitaji uwaziri wa Mh Lugola, tinachohitaji ni Documents. Data kwa data, facts na utaalamu.

#Kataa ubabaishaji, wenye akili wote tusimame na CAG.

Ole Mushi.
0712702602
 
Huu ndio mjadala wa.kujadili
Kama wao wameamua kujitoa ufahamu na kuongea hovyo ili maneno ya trend kwa weeks tusahau
Tunataka mtu ajibu kitaaluma sio mihemko
Tunasubiri
Lakini hayo ya kuvua nguo wakajadili fb
 
Hivi uchi wa Kangi Lugola una thamani ipi hata awaahidi watanzania uchi wake dhidi ya pesa zao.
Mimi nadhani ili kuumaliza huu mjadala kistaarabu ni busara Kangi Lugola ajitokeze hadharani na kuvua nguo tu basi.
 
Hivi uchi wa Kangi Lugola una thamani ipi hata awaahidi watanzania uchi wake dhidi ya pesa zao.
Mimi nadhani ili kuumaliza huu mjadala kistaarabu ni busara Kangi Lugola ajitokeze hadharani na kuvua nguo tu basi.
Awamu hii imelaanika.
Damu za watu wasiona hatia zinalia mbele za mungu.
Beni saanane,mawazo, azory gwanda,akwirina na wengine.
Maana kwa akili za kawaida waziri kuongelea kuvua nguo mbele ya watanzania!
Haiwezekani spika kumdharau Cag,huku akijua kufanya hivo ni kumdharau aliyemteu.
Alafu mamlaka ya uteuzi IPO kimya.
Wasipotubu wataangamia wote
 
Katika hili swala wakumlaumu sio Kangi Lugola, huyo anafahamika ni mropokajia na sampuli ya watu kama yeye wanakawaida ya kuongea wasiyoweza kutekeleza.

Hapa lawama zote mimi nazielekeza kwa spika wa Bunge na kwa wabunge wote wakongwe wa CCM kama kina Chenge, Zungu, na seniors wengine waliomo mle bungeni.

Hawa naweza kusema nao wameprove failure kwa asilimia kubwa.

Katika Jamii zetu tunaamini uzee ni dawa na palipo na wazee hapaharibiki kitu lakini hali imekuwa tofauti kabisa

Ndugai ndio chanzo cha hawa kina Lugola kumdhihaki CAG.

Kiongozi mkubwa kama Spika wa Bunge kwa akili ya kawaida hakupaswa kutamka maneno anayoendelea kutamka kuhusu taarifa ya CAG! Juzi tumemskia akirudia tena kwamba yaliyomo kwenye taarifa ya CAG hayawezi kuwa sahihi kwa asilimia mia. Hapo hapo anajikanyaga kwamba mengine yako yalivyo kwasababu ya kukosa viambatisho tu as if ni jambo dogo hilo. Hivi mkaguzi anakagua nini kama hakuna documents husika?! Mbona yeye Bungeni huwa anarejea kwenye kanuni ambazo ziko docommented? Na bahati nzuri kwa aliyesikiliza ile press ya mwkt wa PAC ndo kathibitisha udhaifu wa kiongozi Mkuu wa bunge kwamba kumbe baada ya ukaguzi afisa masuhuri wanapewa tena siku 21 kuleta vielelezo kudefend makosa yaliyobainika. Haya hata huku tuliko vichochoroni tunaona, wakija external auditors documents zinazokosekana siku husika mnapewa muda wa kuziwasilisha.

Haya yote Muheshimiwa hayajui? Kwanini amechagua kumdhihaki CAG na kazi yake yote!?

Kwanini kina Chenge na seniors wengine wanamkalia kimya? Wanaka kimya kwa maslahi ya nani?

Mimi wasiwasi wangu tu ipo siku Prof atachoka hizi taarabu ataamua kujikalia pembeni maana hana atakachopoteza, tukifika hapa lazima atawekwa mtu wa kuelekezwa cha kufanywa na huenda hapa ndo tutaanza kusikia mbwembwe za pesa zimetumika vizuri isipokuwa tu kwa taasisi za washindani wao.

Hapa kivuruge wa yote ni huyu asiyejua kwanini mirembe ilijengwa Dodoma lakini pia hawa kina Chenge na wazee wengine walipaswa kumkemea mapema na kumuonya juu ya madhara ya dhihaka zake kwa CAG. Hawa wazee kukaa kimya ni kukosa hekima.
 
Katika hili swala wakumlaumu sio Kangi Lugola, huyo anafahamika ni mropokajia na sampuli ya watu kama yeye wanakawaida ya kuongea wasiyoweza kutekeleza.

Hapa lawama zote mimi nazielekeza kwa spika wa Bunge na kwa wabunge wote wakongwe wa CCM kama kina Chenge, Zungu, na seniors wengine waliomo mle bungeni.

Hawa naweza kusema nao wameprove failure kwa asilimia kubwa.

Katika Jamii zetu tunaamini uzee ni dawa na palipo na wazee hapaharibiki kitu lakini hali imekuwa tofauti kabisa

Ndugai ndio chanzo cha hawa kina Lugola kumdhihaki CAG.

Kiongozi mkubwa kama Spika wa Bunge kwa akili ya kawaida hakupaswa kutamka maneno anayoendelea kutamka kuhusu taarifa ya CAG! Juzi tumemskia akirudia tena kwamba yaliyomo kwenye taarifa ya CAG hayawezi kuwa sahihi kwa asilimia mia. Hapo hapo anajikanyaga kwamba mengine yako yalivyo kwasababu ya kukosa viambatisho tu as if ni jambo dogo hilo. Hivi mkaguzi anakagua nini kama hakuna documents husika?! Mbona yeye Bungeni huwa anarejea kwenye kanuni ambazo ziko docommented? Na bahati nzuri kwa aliyesikiliza ile press ya mwkt wa PAC ndo kathibitisha udhaifu wa kiongozi Mkuu wa bunge kwamba kumbe baada ya ukaguzi afisa masuhuri wanapewa tena siku 21 kuleta vielelezo kudefend makosa yaliyobainika. Haya hata huku tuliko vichochoroni tunaona, wakija external auditors documents zinazokosekana siku husika mnapewa muda wa kuziwasilisha.

Haya yote Muheshimiwa hayajui? Kwanini amechagua kumdhihaki CAG na kazi yake yote!?

Kwanini kina Chenge na seniors wengine wanamkalia kimya? Wanaka kimya kwa maslahi ya nani?

Mimi wasiwasi wangu tu ipo siku Prof atachoka hizi taarabu ataamua kujikalia pembeni maana hana atakachopoteza, tukifika hapa lazima atawekwa mtu wa kuelekezwa cha kufanywa na huenda hapa ndo tutaanza kusikia mbwembwe za pesa zimetumika vizuri isipokuwa tu kwa taasisi za washindani wao.

Hapa kivuruge wa yote ni huyu asiyejua kwanini mirembe ilijengwa Dodoma lakini pia hawa kina Chenge na wazee wengine walipaswa kumkemea mapema na kumuonya juu ya madhara ya dhihaka zake kwa CAG. Hawa wazee kukaa kimya ni kukosa hekima.
Umenena vyema mkuu...lkn sidhani kwa serikali ya OneMan army kufuata budget
 
Kwenye ilani ya chama hakuna mahali inasema ili kutetea hoja unaweza kuweka rehani mwili wako kwa kuvua nguo...

Ajaribu aone...


Cc: mahondaw
 
Hivi uchi wa Kangi Lugola una thamani ipi hata awaahidi watanzania uchi wake dhidi ya pesa zao.
Mimi nadhani ili kuumaliza huu mjadala kistaarabu ni busara Kangi Lugola ajitokeze hadharani na kuvua nguo tu basi.
Nadhani alitaka kuonyesha uchi huo pale bungeni kwa wale aliowaahidi. Mimi ningemkatalia hapohapo na kumdai atoe documents hizo kabla hajafyatuka kichwani
 
Katika hili swala wakumlaumu sio Kangi Lugola, huyo anafahamika ni mropokajia na sampuli ya watu kama yeye wanakawaida ya kuongea wasiyoweza kutekeleza.

Hapa lawama zote mimi nazielekeza kwa spika wa Bunge na kwa wabunge wote wakongwe wa CCM kama kina Chenge, Zungu, na seniors wengine waliomo mle bungeni.

Hawa naweza kusema nao wameprove failure kwa asilimia kubwa.

Katika Jamii zetu tunaamini uzee ni dawa na palipo na wazee hapaharibiki kitu lakini hali imekuwa tofauti kabisa

Ndugai ndio chanzo cha hawa kina Lugola kumdhihaki CAG.

Kiongozi mkubwa kama Spika wa Bunge kwa akili ya kawaida hakupaswa kutamka maneno anayoendelea kutamka kuhusu taarifa ya CAG! Juzi tumemskia akirudia tena kwamba yaliyomo kwenye taarifa ya CAG hayawezi kuwa sahihi kwa asilimia mia. Hapo hapo anajikanyaga kwamba mengine yako yalivyo kwasababu ya kukosa viambatisho tu as if ni jambo dogo hilo. Hivi mkaguzi anakagua nini kama hakuna documents husika?! Mbona yeye Bungeni huwa anarejea kwenye kanuni ambazo ziko docommented? Na bahati nzuri kwa aliyesikiliza ile press ya mwkt wa PAC ndo kathibitisha udhaifu wa kiongozi Mkuu wa bunge kwamba kumbe baada ya ukaguzi afisa masuhuri wanapewa tena siku 21 kuleta vielelezo kudefend makosa yaliyobainika. Haya hata huku tuliko vichochoroni tunaona, wakija external auditors documents zinazokosekana siku husika mnapewa muda wa kuziwasilisha.

Haya yote Muheshimiwa hayajui? Kwanini amechagua kumdhihaki CAG na kazi yake yote!?

Kwanini kina Chenge na seniors wengine wanamkalia kimya? Wanaka kimya kwa maslahi ya nani?

Mimi wasiwasi wangu tu ipo siku Prof atachoka hizi taarabu ataamua kujikalia pembeni maana hana atakachopoteza, tukifika hapa lazima atawekwa mtu wa kuelekezwa cha kufanywa na huenda hapa ndo tutaanza kusikia mbwembwe za pesa zimetumika vizuri isipokuwa tu kwa taasisi za washindani wao.

Hapa kivuruge wa yote ni huyu asiyejua kwanini mirembe ilijengwa Dodoma lakini pia hawa kina Chenge na wazee wengine walipaswa kumkemea mapema na kumuonya juu ya madhara ya dhihaka zake kwa CAG. Hawa wazee kukaa kimya ni kukosa hekima.
Hao vijisenti wanatafuta vijisenti zaidi hawana mpango na magwanda ya kila Lugola

Kama yangesemwa na mpinzani ungemsikia sipika akimkoromea. Uelewe kuwa ukiwa ni mwenzetu hukosei. Wale upande wa pili ndio waropokaji. Sisi ni ndioooooooo jina la ukoo wetu.
 
Back
Top Bottom