Kangi Lugola kuchukiwa na askari, ukweli wawekwa hadharani. Huenda wanyonge wakakumbuka utawala wake

Hayo Maneno kamwambie Mwenyeketi wa CCM maana ndo aliyemteua na kumtumbua..japo naunga mkono Ukimweka Lugola,Mchemba na Kitwanga..Lugola aliganya vizuri kwa zaidi ya 60%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Lugola nenda Lugola, sisi wanyonge tunakulilia.

Siku zote nabii hakubaliki kwao na ukitaka kuchukiwa sana basi simamia haki, Lugola alikuwa ni moja ya mawaziri makini waliosimamia haki Wizara ya Mambo ya Ndani.

Siri ya Lugola kuchukiwa na askari hadi kufikia hatua ya kushangilia alipotumbuliwa hizi hapa.

1. Kangi Lugola alikuwa waziri wa kwanza wa mambo ya ndani kufyeka kichaka cha rushwa kwenye magari ,ikumbukwe kabla ya Lugola kila kosa kwenye gari lilikuwa linatozwa shs 30,000!

Yaani gari haina indicator elfu 30
Gari halina rangi elfu 30

Tairi imeenda upande elfu 30

Yaani trafiki alikuwa na uwezo wa kukusome makosa 10x30,000 =300,000 hiyo anaondoka nayo asubuhi asubuhi tu!
Lugola aliamuru makosa yote hayo yako chini ya kosa moja tu la ubovu wa gari na mwenye gari anatakiwa alipe elfu 30 tu badala ya laki 3! Kwa hali hii askari wala rushwa (Chadema) watampenda Lugola?

2. Kabla ya Lugola ilikuwa ukiwekwa mahabusu weekend hutoki kwa sababu hamna dhamana, lakini waziri huyu shujaa alikuja kuamuru dhamana zitolewe hadi siku ya Jumapili!

Je kwa hali hii Polisi watapenda?

3. Ni Waziri shujaa Kangi Lugola aliamuru bodaboda zote ziondolewe kwenye vituo vya Polisi. Kumbukeni bodaboda zilikuwa zinarudikwa kwenye vituo vya polisi hadi kituo chenyewe kinakuwa hakionekani. Lengo la kitendo hiki ni kutengeneza mazingira ya rushwa na ufisadi ili askari wapige dili.

Kwa hali hii wanyonge watamchukia Lugola?

4. Kabla ya Lugola mabasi ilikuwa ni marufuku kuendelea na safari baada ya saa sita usiku. Hali hii ilileta usumbufu na gharama kubwa kwa abiria na kwenda kinyume na Sera ya viwanda na uchumi wa kati.

Lugola alifyeka kichaka hiki kwa kuwaambia askari wakae sawa magari yatembee usiku kucha na wananchi hawawezi kupangiwa muda wa kusafiri na majambazi.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

5. Chini ya Waziri Lugola matukio ya utekaji, mauaji na ujambazi yalipungua sana nchini. Wote ni mashahidi wa hili muda wote mabasi yamesafiri usiku kucha hamna basi hata moja lililotekwa.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

Nenda Lugola ila huenda kilichokuponza pia ni kuwa upande wa maslahi ya wananchi sana na kupuuza kulea rushwa za maaskari tulizozizoea tangu uhuru, lakini wahenga walisema tenda wema uende zako usingoje shukrani ila uwe na hakika Lugola siku ya kiama utavishwa taji na wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa,yawezekana ukawa sahihi,lakini unamaanisha kwamba hata Mh.rais naye ni Chadema na ndiyo maana akamtumbua huyu mtenda haki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Lugola nenda Lugola, sisi wanyonge tunakulilia.

Siku zote nabii hakubaliki kwao na ukitaka kuchukiwa sana basi simamia haki, Lugola alikuwa ni moja ya mawaziri makini waliosimamia haki Wizara ya Mambo ya Ndani.

Siri ya Lugola kuchukiwa na askari hadi kufikia hatua ya kushangilia alipotumbuliwa hizi hapa.

1. Kangi Lugola alikuwa waziri wa kwanza wa mambo ya ndani kufyeka kichaka cha rushwa kwenye magari ,ikumbukwe kabla ya Lugola kila kosa kwenye gari lilikuwa linatozwa shs 30,000!

Yaani gari haina indicator elfu 30
Gari halina rangi elfu 30

Tairi imeenda upande elfu 30

Yaani trafiki alikuwa na uwezo wa kukusome makosa 10x30,000 =300,000 hiyo anaondoka nayo asubuhi asubuhi tu!
Lugola aliamuru makosa yote hayo yako chini ya kosa moja tu la ubovu wa gari na mwenye gari anatakiwa alipe elfu 30 tu badala ya laki 3! Kwa hali hii askari wala rushwa (Chadema) watampenda Lugola?

2. Kabla ya Lugola ilikuwa ukiwekwa mahabusu weekend hutoki kwa sababu hamna dhamana, lakini waziri huyu shujaa alikuja kuamuru dhamana zitolewe hadi siku ya Jumapili!

Je kwa hali hii Polisi watapenda?

3. Ni Waziri shujaa Kangi Lugola aliamuru bodaboda zote ziondolewe kwenye vituo vya Polisi. Kumbukeni bodaboda zilikuwa zinarudikwa kwenye vituo vya polisi hadi kituo chenyewe kinakuwa hakionekani. Lengo la kitendo hiki ni kutengeneza mazingira ya rushwa na ufisadi ili askari wapige dili.

Kwa hali hii wanyonge watamchukia Lugola?

4. Kabla ya Lugola mabasi ilikuwa ni marufuku kuendelea na safari baada ya saa sita usiku. Hali hii ilileta usumbufu na gharama kubwa kwa abiria na kwenda kinyume na Sera ya viwanda na uchumi wa kati.

Lugola alifyeka kichaka hiki kwa kuwaambia askari wakae sawa magari yatembee usiku kucha na wananchi hawawezi kupangiwa muda wa kusafiri na majambazi.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

5. Chini ya Waziri Lugola matukio ya utekaji, mauaji na ujambazi yalipungua sana nchini. Wote ni mashahidi wa hili muda wote mabasi yamesafiri usiku kucha hamna basi hata moja lililotekwa.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

Nenda Lugola ila huenda kilichokuponza pia ni kuwa upande wa maslahi ya wananchi sana na kupuuza kulea rushwa za maaskari tulizozizoea tangu uhuru, lakini wahenga walisema tenda wema uende zako usingoje shukrani ila uwe na hakika Lugola siku ya kiama utavishwa taji na wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndugu yako hakuna kitu.
Alikuwa anataka kujifanya Amiri Jeshi.Mh.Rais kamsaidia sana kwa kumtumbua maana alipokuwa anaelekea kuna siku Makamanda wangemnasa Vibao hadharani.
 
Ulaji rushwa wao ndiyo ungewafanya wamnase kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
Makamanda wana utaratibu wao wa kukosolewa.Hata mh.Rais alidokeza kwamba "huwezi kumtukana Brigedia hadharani".
Yeye alikuwa haelewi hili au alikuwa anataka Makamanda wamtii kuliko wanavyomtii Amiri Jeshi Mkuu.
Nina imani angekuwa Wizara ya Ulinzi asingemaliza hata Mwezi Mmoja.
 
Nenda Lugola nenda Lugola, sisi wanyonge tunakulilia.

Siku zote nabii hakubaliki kwao na ukitaka kuchukiwa sana basi simamia haki, Lugola alikuwa ni moja ya mawaziri makini waliosimamia haki Wizara ya Mambo ya Ndani.

Siri ya Lugola kuchukiwa na askari hadi kufikia hatua ya kushangilia alipotumbuliwa hizi hapa.

1. Kangi Lugola alikuwa waziri wa kwanza wa mambo ya ndani kufyeka kichaka cha rushwa kwenye magari ,ikumbukwe kabla ya Lugola kila kosa kwenye gari lilikuwa linatozwa shs 30,000!

Yaani gari haina indicator elfu 30
Gari halina rangi elfu 30

Tairi imeenda upande elfu 30

Yaani trafiki alikuwa na uwezo wa kukusome makosa 10x30,000 =300,000 hiyo anaondoka nayo asubuhi asubuhi tu!
Lugola aliamuru makosa yote hayo yako chini ya kosa moja tu la ubovu wa gari na mwenye gari anatakiwa alipe elfu 30 tu badala ya laki 3! Kwa hali hii askari wala rushwa (Chadema) watampenda Lugola?

2. Kabla ya Lugola ilikuwa ukiwekwa mahabusu weekend hutoki kwa sababu hamna dhamana, lakini waziri huyu shujaa alikuja kuamuru dhamana zitolewe hadi siku ya Jumapili!

Je kwa hali hii Polisi watapenda?

3. Ni Waziri shujaa Kangi Lugola aliamuru bodaboda zote ziondolewe kwenye vituo vya Polisi. Kumbukeni bodaboda zilikuwa zinarudikwa kwenye vituo vya polisi hadi kituo chenyewe kinakuwa hakionekani. Lengo la kitendo hiki ni kutengeneza mazingira ya rushwa na ufisadi ili askari wapige dili.

Kwa hali hii wanyonge watamchukia Lugola?

4. Kabla ya Lugola mabasi ilikuwa ni marufuku kuendelea na safari baada ya saa sita usiku. Hali hii ilileta usumbufu na gharama kubwa kwa abiria na kwenda kinyume na Sera ya viwanda na uchumi wa kati.

Lugola alifyeka kichaka hiki kwa kuwaambia askari wakae sawa magari yatembee usiku kucha na wananchi hawawezi kupangiwa muda wa kusafiri na majambazi.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

5. Chini ya Waziri Lugola matukio ya utekaji, mauaji na ujambazi yalipungua sana nchini. Wote ni mashahidi wa hili muda wote mabasi yamesafiri usiku kucha hamna basi hata moja lililotekwa.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

Nenda Lugola ila huenda kilichokuponza pia ni kuwa upande wa maslahi ya wananchi sana na kupuuza kulea rushwa za maaskari tulizozizoea tangu uhuru, lakini wahenga walisema tenda wema uende zako usingoje shukrani ila uwe na hakika Lugola siku ya kiama utavishwa taji na wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyemteua kabaini Lugola ameshiriki ufisadi we unalizungumziaje hili?

Mamlaka iliyomteua inamjua kuliko sisi tunaoona anatusaidia, kumbuka kabla hajateuliwa walimjua, baada ya kumteua wamemfatilia wamebaini hafai na wamemtengua sasa we ulitakaje?

Kuna matukio mengi ya watu kutekwa kupotea we unazungumziaje hili?
Kuna mambo mengi ya hovyo we hukuyaona pia? Kudhalilisha wateule wenzake we unaonaje hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyemteua kabaini Lugola ameshiriki ufisadi we unalizungumziaje hili?

Mamlaka iliyomteua inamjua kuliko sisi tunaoona anatusaidia, kumbuka kabla hajateuliwa walimjua, baada ya kumteua wamemfatilia wamebaini hafai na wamemtengua sasa we ulitakaje?

Kuna matukio mengi ya watu kutekwa kupotea we unazungumziaje hili?
Kuna mambo mengi ya hovyo we hukuyaona pia? Kudhalilisha wateule wenzake we unaonaje hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukatai awajibishwe ila ana mazuri yake lazima yasemwe.


Tatizo chadema hawataki hata kuyasema mazuri ya mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makamanda wana utaratibu wao wa kukosolewa.Hata mh.Rais alidokeza kwamba "huwezi kumtukana Brigedia hadharani".
Yeye alikuwa haelewi hili au alikuwa anataka Makamanda wamtii kuliko wanavyomtii Amiri Jeshi Mkuu.
Nina imani angekuwa Wizara ya Ulinzi asingemaliza hata Mwezi Mmoja.
Hamna namna yoyote ya kumkosoa mla rushwa zaidi ya kumuweka hadharani , safi sana Lugola kwa kuwanyoosha makamanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna namna yoyote ya kumkosoa mla rushwa zaidi ya kumuweka hadharani , safi sana Lugola kwa kuwanyoosha makamanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kangi ndio alikuwa anataka kuwapiga Watanzania Trilioni.Sasa yupo chini ya Makamanda kwa uchunguzi.
Ole wake huyo ndugu yako akanyage magereza maana huko ndio atajuta kwa nini aliwatukana Maafisa wa Magereza.
 
Nenda Lugola nenda Lugola, sisi wanyonge tunakulilia.

Siku zote nabii hakubaliki kwao na ukitaka kuchukiwa sana basi simamia haki, Lugola alikuwa ni moja ya mawaziri makini waliosimamia haki Wizara ya Mambo ya Ndani.

Siri ya Lugola kuchukiwa na askari hadi kufikia hatua ya kushangilia alipotumbuliwa hizi hapa.

1. Kangi Lugola alikuwa waziri wa kwanza wa mambo ya ndani kufyeka kichaka cha rushwa kwenye magari ,ikumbukwe kabla ya Lugola kila kosa kwenye gari lilikuwa linatozwa shs 30,000!

Yaani gari haina indicator elfu 30
Gari halina rangi elfu 30

Tairi imeenda upande elfu 30

Yaani trafiki alikuwa na uwezo wa kukusome makosa 10x30,000 =300,000 hiyo anaondoka nayo asubuhi asubuhi tu!
Lugola aliamuru makosa yote hayo yako chini ya kosa moja tu la ubovu wa gari na mwenye gari anatakiwa alipe elfu 30 tu badala ya laki 3! Kwa hali hii askari wala rushwa (Chadema) watampenda Lugola?

2. Kabla ya Lugola ilikuwa ukiwekwa mahabusu weekend hutoki kwa sababu hamna dhamana, lakini waziri huyu shujaa alikuja kuamuru dhamana zitolewe hadi siku ya Jumapili!

Je kwa hali hii Polisi watapenda?

3. Ni Waziri shujaa Kangi Lugola aliamuru bodaboda zote ziondolewe kwenye vituo vya Polisi. Kumbukeni bodaboda zilikuwa zinarudikwa kwenye vituo vya polisi hadi kituo chenyewe kinakuwa hakionekani. Lengo la kitendo hiki ni kutengeneza mazingira ya rushwa na ufisadi ili askari wapige dili.

Kwa hali hii wanyonge watamchukia Lugola?

4. Kabla ya Lugola mabasi ilikuwa ni marufuku kuendelea na safari baada ya saa sita usiku. Hali hii ilileta usumbufu na gharama kubwa kwa abiria na kwenda kinyume na Sera ya viwanda na uchumi wa kati.

Lugola alifyeka kichaka hiki kwa kuwaambia askari wakae sawa magari yatembee usiku kucha na wananchi hawawezi kupangiwa muda wa kusafiri na majambazi.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

5. Chini ya Waziri Lugola matukio ya utekaji, mauaji na ujambazi yalipungua sana nchini. Wote ni mashahidi wa hili muda wote mabasi yamesafiri usiku kucha hamna basi hata moja lililotekwa.

Kwa hili wanyonge watamchukia Lugola?

Nenda Lugola ila huenda kilichokuponza pia ni kuwa upande wa maslahi ya wananchi sana na kupuuza kulea rushwa za maaskari tulizozizoea tangu uhuru, lakini wahenga walisema tenda wema uende zako usingoje shukrani ila uwe na hakika Lugola siku ya kiama utavishwa taji na wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, huo ni upande wa mazuri. Yameondoa sana kero!
Ongezea na hili: marufuku kwa traffic kupiga tochi magari kwa kujificha na kurusha kwenye simu. Kama kuna kero kubwa na iliyowapa jeuri polisi ni hii. Na baada ya marufuku walinywea sana na kujifunza kuongea kiustaarabu!
 
Hatukatai awajibishwe ila ana mazuri yake lazima yasemwe.


Tatizo chadema hawataki hata kuyasema mazuri ya mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Chadema imekujaje hapo?
Na kwanini uwapangie Chadema cha kusema? Kwan lazima waseme mawazo kama yako?
All in all Lugola katumbuliwa na aliyemteua kasema kwann kamtumbua.
Kuendele kumpamba au kumponda haitasaidia kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi
Mawaziri wengi wametumbuliwa lkn hawakuchukuliwa hatua za kisheria.

Iweje huyu TAKUKURU wamchunguze!

Inasikitisha sana.


Unforgetable
Hii ya takukuru mimi naiunga mkono! Maana najua hakuna pesa ya serikari iliyoliwa! Mimi Kuhusu takukuru naunga mkono 100% ili wamsafishe make najua lugora hajawa fara kiasi hicho. Lowasa alisafishwa na chadema nahuyu nae takukuru acha wafanye kazi yao ili abaki mweupe.
 
Mnyonge siyo mtu fukara bali ni mtu ASIYEJITAMBUA.

Kwa mfano Chadema ni chama cha matajiri kwa mujibu wa katiba yao lakini wasiojitambua......kwahiyo wale ni WANYONGE tu!
Unaizungumziaje serikali ya wanyonge na rais wa wanyonge
 
Back
Top Bottom