Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. Kangi Lugola, amesema kuwa kauli ya Rais John Magufuli kuruhusu kilimo pembezoni mwa mto isipotoshwe watu wakanza kwenda kuvamia vyanzo vya maji na kuanza kulima. Hakuna anayeruhusiwa kwenda kwenye chanzo cha maji.
"Kauli ya Rais isije ikapotoshwa wakavamia maeneo na kuanza kulima, hakuna anayeruhusiwa kwenda kwenye chanzo cha maji".
Hayo ameyasema leo kwenye vikao vya Bunge vinavyoendelea mjini Dodoma.
========
kirerenya wrote;
Naibu waziri ofisi ya makamu wa rais muungano na mazira mh Kangi Lugola leo bungeni amekuwa akiitetea kauli hiyo huku akisema rais hajavunja sheria na kwamba ametumia sheria ya mazingira namba 20 kifungu 57.
Kifungu hicho cha 57 kinampa rais au waziri kutoa kibali kibali cha kulima au kuendesha shughuli za kibinadamu katika eneo la mita sitini kando ya mto.
View attachment 626631
Mheshimiwa Lugola ameendelea kufafanua kuwa rais amewaagiza kuandaa mpango wa kuwaruhusu wananchi hao kulima katika eneo hilo bila kuathiri mazingira.
"Kauli ya Rais isije ikapotoshwa wakavamia maeneo na kuanza kulima, hakuna anayeruhusiwa kwenda kwenye chanzo cha maji".
Hayo ameyasema leo kwenye vikao vya Bunge vinavyoendelea mjini Dodoma.
========
kirerenya wrote;
Baada ya rais kutoa ya kauli ya kuruhusu wananchi walime mpaka mtoni kusudi maji yakija yachukue mazao yao.
Naibu waziri ofisi ya makamu wa rais muungano na mazira mh Kangi Lugola leo bungeni amekuwa akiitetea kauli hiyo huku akisema rais hajavunja sheria na kwamba ametumia sheria ya mazingira namba 20 kifungu 57.
Kifungu hicho cha 57 kinampa rais au waziri kutoa kibali kibali cha kulima au kuendesha shughuli za kibinadamu katika eneo la mita sitini kando ya mto.
View attachment 626631
Mheshimiwa Lugola ameendelea kufafanua kuwa rais amewaagiza kuandaa mpango wa kuwaruhusu wananchi hao kulima katika eneo hilo bila kuathiri mazingira.