Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 6,916
- 7,517
Tokea amtusi CAG ndani ya bunge kwa kutegemea kuungwa mkono na chama chake na baadae wakamgeuka huyu jamaa amekuwa haonekani sana.
Kabla ya hapo alikuwa ndie Waziri anayeongoza kwa kuitisha press conference kila uchao alikuwa hakauki kwenye media na vikiki uchwara.
Baada ya kujulikana alikuwa akitetea ufisadi wa sare za Polisi ambao ulisemwa na Rais mwenyewe jamaa amekuwa mpole ile kasi na mikwara imepungua hafla kwani ulimi wake mwenyewe ndio umemnyoosha.
Kabla ya hapo alikuwa ndie Waziri anayeongoza kwa kuitisha press conference kila uchao alikuwa hakauki kwenye media na vikiki uchwara.
Baada ya kujulikana alikuwa akitetea ufisadi wa sare za Polisi ambao ulisemwa na Rais mwenyewe jamaa amekuwa mpole ile kasi na mikwara imepungua hafla kwani ulimi wake mwenyewe ndio umemnyoosha.