Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Mbunge huyo bingwa wa hoja kama ukawa amesema kama waziri ametenga ruzuku za wa vuvi katika bajeti yake atajiuzuru ubunge wake na kumpa waziri cheki ya milion 50,mbunge huyo amesema serikali ya ccm haiwapi ruzuku wavuvi hivyo amewataka watenge ruzuku za wavuvi haraka sana