Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kama risasi zilikuwa zikipigwa kiholela kwa nini dereva wa Lissu hakupigwa na risasi hata moja?- Waziri Kangi
Hii kauli anauliza waziri mwenye dhamana ya ulinzi baada ya kukanusha uwepo wa cctv kamera baada ya mwaka na miezi 7.
Lakini hajasema pia kama huwa hakuna walinzi? Na kamera kweli hazipo hata kwa Karemani & Tulia?
Na hajashangaa madereva wa Mwigulu na Kigwangala wametoka wazima kwenye gari ila anashangaa kwa Lissu?
Inamaana anataka kusema aliyepiga risasi ni dereva? Inamaana jeshi limeahindwa kuwakamata wapigaji risasi?
Na hataki kusema wale askari waliondolewa na nani? Yaani aliyetoa amri askari kuondolewa eneo lile.
Hii kauli anauliza waziri mwenye dhamana ya ulinzi baada ya kukanusha uwepo wa cctv kamera baada ya mwaka na miezi 7.
Lakini hajasema pia kama huwa hakuna walinzi? Na kamera kweli hazipo hata kwa Karemani & Tulia?
Na hajashangaa madereva wa Mwigulu na Kigwangala wametoka wazima kwenye gari ila anashangaa kwa Lissu?
Inamaana anataka kusema aliyepiga risasi ni dereva? Inamaana jeshi limeahindwa kuwakamata wapigaji risasi?
Na hataki kusema wale askari waliondolewa na nani? Yaani aliyetoa amri askari kuondolewa eneo lile.