mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
wana JF,
Tukio lilotokea leo mbele ya macho yangu limenifanya nisiweze kulivumilia mpaka nikaandika. Leo majira ya saa nne na robo pale makumbusho stand, mimeshuhudia traffic akimwingiza konda ndani ya gari kwa kumsukuma na kumsindikiza kwa makonde na mbata, wakati huo mwingine akiwa amefungwa pingu mkono mmoja kwenye nguzo ya gari, ilibidi nishuke nikaulizia kulikoni leo kuna nini mbona traffic wako wengi na pia wanafanya kazi kwa vitisho sana, nikaambiwa leo wanafanya ukaguzi hawa wana maksa mbali mbali kama vile usafi wa gari na konda mwenyewe kama una makosa unapelekwa polisi kwa hatua zaidi.
Hili la usafi nakubaliana nalo kabisam hata la ubora wa magari pia, lakini hili la kupigwa na kufungwa pingu bado kizungu mkuti, makonda na madreva wanaotolewa kwenye magari hawana siraha kabisa, wengine hata miili yao ya kinyonge hawa nguvu lakini vitendo vya udhalilishwaji vinavotokea ni zaidiya ukaguzi.
Mh, Lugola kama traffic wamepewa rungu ya kuwa wanapiga watu na kuwafunga kazi basi kuna siku watakosa msaada kama wamaopigwa nao wakiamua wafanye wanachofanyiwa.
Kwa taarifa ya leo kama kuna watu wamepelekwa kulala ndani (makonda na Madreva) nendeni mkawaulize mjihakikishie niliyoyasema kama yametokea kweli, kama wameachiwa nendeni makumbusho mkapeleleze.
Msiniulize picha maana ningeweza kuunganisha kuwa nimeingilia polisi
Tukio lilotokea leo mbele ya macho yangu limenifanya nisiweze kulivumilia mpaka nikaandika. Leo majira ya saa nne na robo pale makumbusho stand, mimeshuhudia traffic akimwingiza konda ndani ya gari kwa kumsukuma na kumsindikiza kwa makonde na mbata, wakati huo mwingine akiwa amefungwa pingu mkono mmoja kwenye nguzo ya gari, ilibidi nishuke nikaulizia kulikoni leo kuna nini mbona traffic wako wengi na pia wanafanya kazi kwa vitisho sana, nikaambiwa leo wanafanya ukaguzi hawa wana maksa mbali mbali kama vile usafi wa gari na konda mwenyewe kama una makosa unapelekwa polisi kwa hatua zaidi.
Hili la usafi nakubaliana nalo kabisam hata la ubora wa magari pia, lakini hili la kupigwa na kufungwa pingu bado kizungu mkuti, makonda na madreva wanaotolewa kwenye magari hawana siraha kabisa, wengine hata miili yao ya kinyonge hawa nguvu lakini vitendo vya udhalilishwaji vinavotokea ni zaidiya ukaguzi.
Mh, Lugola kama traffic wamepewa rungu ya kuwa wanapiga watu na kuwafunga kazi basi kuna siku watakosa msaada kama wamaopigwa nao wakiamua wafanye wanachofanyiwa.
Kwa taarifa ya leo kama kuna watu wamepelekwa kulala ndani (makonda na Madreva) nendeni mkawaulize mjihakikishie niliyoyasema kama yametokea kweli, kama wameachiwa nendeni makumbusho mkapeleleze.
Msiniulize picha maana ningeweza kuunganisha kuwa nimeingilia polisi