Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mgombea mwenzie ktk ccm ambaye alipata taarifa kwamba anamchafua ndipo bwana kangi akaamua kumuwinda na kumshushia vitasa vya kutosha.
Mwaka huu tutaona mengi!
Naona ni fasheni mpya sasa vitasa kwa kwenda mbele
1.Wassira-(wahasira)
2.Ndugai-(ndugu why/ndugu ai wewe)
3.kangi lugola-(kaanga ugolo)
4....?
hakuna namna sasa
4. Ni aeshi Hilary wa sumbawanga kamtia mwenzie vitasa vya kutosha tu kisa kaambiwa hajasoma. Kisabwite nae mambo ni yaleyale
....tumechoka sasa.enhee mana hamna namna tena (kwa sauti ya mizengo pinda)Watwangane tuu, maana hamna namna...
ndio. hakuna namnawapigwe tu!!!
Kumbe ndicho alichomaanisha Mh. PM wetu?
Weka picha mkuu!