Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Kama wewe ni mtumiaji na msafiri utakubaliana na mimi kwamba wavunjaji wakubwa wa Sheria za barabarani ni Serikali, magari ya ST hayafwati Sheria zozote, hayasimami kwenye taa, yanatanua, huko kwenye kibao cha 50 km/saa wanakwenda wanavyotaka, angalau Waziri aliyepita alikuwa anadili nao lakini huyu wa sasa hivi labda anafanya vizuri kwenye mambo mengine hilo silijui kjn kwenye kudhibiti magari ya ST barabarani hakuna kitu anafanya, sijui kwa nini Raisi Magufuli huwa Mawaziri wazuri anawapotezea, I mean huyu wa sasa anafanya nini sasa hapo Wizarani.
MH. KANGI LUGOLA "NINJA"
"Madereva wa viongozi wa serikali watakao sababisha ajali kwa kisingizio cha kuambiwa kuongeza speed na viongozi wa serikali kipindi wanawaendesha kuchukuliwa hatua kali za kisheria"
Ni kauli ya waziri wa mambo ya ndani mh.kangi lugola NINJA
MH. KANGI LUGOLA "NINJA"
"Madereva wa viongozi wa serikali watakao sababisha ajali kwa kisingizio cha kuambiwa kuongeza speed na viongozi wa serikali kipindi wanawaendesha kuchukuliwa hatua kali za kisheria"
Ni kauli ya waziri wa mambo ya ndani mh.kangi lugola NINJA