Kanga

Manyawera

JF-Expert Member
Aug 16, 2017
567
1,103
200070_3914d45478eb4550b3d3a42ee7d68769.jpg
 
Haya ni dalili ya udhaifu wa jamii katika maadili na heshima. Kitu kama hiki kinaonekana ni kawaida tu. Fikiria unatembea na na watoto wako au mzazi wako na wote manaona mandishi kama haya !!
 
Kama wamefikia mahali pa kuvua nguo zote wakaweka begani ati ni msisimko wa ngoma mtaani mchana peupe wadhani wataogopa kuivaa?? Weka sokoni uone
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom